Minasaba za Kiislamu

Iran yakamilisha oparesheni ya kuwatuma waumini kwenda Hija

Iran yakamilisha oparesheni ya kuwatuma waumini kwenda Hija

Mkuu wa oparesheni ya kuwabeba Wairani wanaoenda kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu amesema oparesheni hiyo inakamilika usiku wa leo. Gholareza Rostamian mkuu wa oparesheni ya Hija katika viwanja vya ndege vya Iran ametoa taarifa kuhusu mchakato mzima wa kuwabeba Mahujaji kuelekea Saudia na kusema: “Tokea tuanzishe oparesheni ya kuwabebe waumini kuekelea Hija, hadi sasa…

Ufuatiliaji wa hali ya hivi punde ya mahujaji wa Kiirani Katika mazungumzo kati ya Amir Abdullahian na mkuu wa Shirika la Hijja na Ziara

Ufuatiliaji wa hali ya hivi punde ya mahujaji wa Kiirani Katika mazungumzo kati ya Amir Abdullahian na mkuu wa Shirika la Hijja na Ziara

Katika mazungumzo ya simu na mkuu wa shirika la Hija na ziara, Waziri wa Mambo ya Kigeni Bw. Amir Abdullahian  alifahamishwa kuhusu hali ya hivi punde ya mahujaji wa Iran na kueleza nukta muhimu zifuatazo. Katika mazungumzo ya Dkt. Hussein Amir-Abdullahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi ya Iran, Sayed Sadiq Husseini, Mkuu wa…

Hotuba ya Ijumaa – 24 Juni 2022,  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hotuba ya Ijumaa – 24 Juni 2022,  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hotuba ya Ijumaa – 24 Juni 2022  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi  (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore)  Imetolewa: Msikiti wa Baitul ul Ateeq  Lahore – Pakistan    Hotuba ya 1:  Msiba wa mwanachuoni ni Kupenda Uongozi. Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu katika kumcha Mwenyezi Mungu na nawasisitizieni  kuyasimamisha maisha…

Saudi Arabia yaondoa sharti la kuvaa barakoa ndani ya msikiti mtukufu wa makka

Saudi Arabia yaondoa sharti la kuvaa barakoa ndani ya msikiti mtukufu wa makka

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudia iliondoa sharti la matumizi ya barakoa katika maeneo yenye msongamano wa wtu wengi isipokua ndani ya Masjid al-Haram na Masjid al-Nabi. Shirika rasmi la habari la Saudi Arabia ‘Wass’ limemnukuu afisa mmoja katika Wizara ya Mambo ya Ndani akisema kuwa vikwazo vingine vya kujikinga dhidi ya ugonjwa huo…

Mmoja auawa na polisi nchini Nigeria katika maandamano ya Siku ya Al-Quds Duniani

Mmoja auawa na polisi nchini Nigeria katika maandamano ya Siku ya Al-Quds Duniani

Polisi wa Nigeria wamemuua mtu mmoja na kuwajeruhi wengine kadhaa katika shambulizi lililofanywa dhidi ya waandamanaji wa Siku ya Al-Quds Duniani huko Zaria, Jimbo la Kaduna. Takriban mtu mmoja aliuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa wakati polisi walipowafyatulia risasi wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) wakati wa maandamano ya Siku ya Dunia ya Al-Quds…

Kiongozi Muadhamu: Kuhudhuria kwa wananchi katika maandamano ya leo ni utetezi wa kweli wa Al-Quds / Mipango ya mapatano na Wazayuni imebatilishwa / Kipofu hawezi tena kuwa kipofu!

Kiongozi Muadhamu: Kuhudhuria kwa wananchi katika maandamano ya leo ni utetezi wa kweli wa Al-Quds / Mipango ya mapatano na Wazayuni imebatilishwa / Kipofu hawezi tena kuwa kipofu!

Katika Hotuba yake ya Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Ali Khamenei alizungumza katika siku hii inayosadifiana na Siku ya Kimataifa ya Quds iliyorushwa moja kwa moja na kupitia televisheni akisema; ‘Salamu kwa taifa lao kuu la Iran, ambalo limeunda historia siku hii ya…

Maandamano ya Siku ya Quds Duniani yafanyika mjini Tehran yakihudhuriwa na watu mbali mbali wenye matabaka tofauti kutoka kote nchini.

Maandamano ya Siku ya Quds Duniani yafanyika mjini Tehran yakihudhuriwa na watu mbali mbali wenye matabaka tofauti kutoka kote nchini.

Kwa mujibu wa ripoti hii, mwaka huu, baada ya mapumziko ya miaka miwili ya kufanya maandamano ya hadhara ya Siku ya Quds Duniani kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Corona, uratibu wa kimsingi ulifanyika ili kuandaa maandamano makubwa yatakayofanyika kwa wakati mmoja sawia na maandamano ya mji wa Tehran, katika zaidi ya miji 900. Maandamano…

Siku ya Kimataifa ya Quds na matukio mapya ya kistratijia katika uwanja wa Palestina

Siku ya Kimataifa ya Quds na matukio mapya ya kistratijia katika uwanja wa Palestina

Kama dalili zinavyoonyesha, mwaka huu Wapalestina wataadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds kwa msisimko na shauku maalumu. Huenda ni msisimuko na shauku hiyo ndiyo inayapa maadhimisho ya mwaka huu ya Siku ya Kimataifa ya Quds sifa maalumu na ya kipekee. Inaonekana kuna mambo kadhaa ambayo yameibua msisimko katika uwanja huo. La kwanza ni kuwa katika…