Minasaba za Kiislamu

Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi – UADILIFU WA MTU BINAFSI NI CHACHU YA KUFIKIA UADILIFU WA KIJAMII

Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi – UADILIFU WA MTU BINAFSI NI CHACHU YA KUFIKIA UADILIFU WA KIJAMII

  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Agosti 11, 2023   HOTUBA YA KWANZA: UADILIFU WA MTU BINAFSI NI CHACHU YA KUFIKIA UADILIFU WA KIJAMII Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na…

Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi – UADILIFU UNAPASWA KUSIMIKWA KATIKA HULKA YA MWANADAMU

Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi – UADILIFU UNAPASWA KUSIMIKWA KATIKA HULKA YA MWANADAMU

  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Agosti 4, 2023   HOTUBA YA KWANZA: UADILIFU UNAPASWA KUSIMIKWA KATIKA HULKA YA MWANADAMU Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na nawasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu…

Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Wanaochoma moto Qur’ani kwa hakika wanajichoma moto wao wenyewe

Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Wanaochoma moto Qur’ani kwa hakika wanajichoma moto wao wenyewe

Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran ameeleza kuwa, wale wanaochoma moto nakala za Qur’ani Tukufu kwa hakika wanajichoma moto wao wenyewe na kusema: Si jambo rahisi kwa kila mtu kujua hakika ya Qur’ani ambayo ni roho na rehema ya Mwenyezi Mungu, na kufanya ukaidi dhidi ya neno la Mungu ni ishara ya roho ya…

KUVUNJA KUTOELEWA KWA UMMAH NDIO HATUA YA KWANZA KUELEKEA UOKOVU WAKE – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

KUVUNJA KUTOELEWA KWA UMMAH NDIO HATUA YA KWANZA KUELEKEA UOKOVU WAKE – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Julai 28, 2023   HOTUBA YA KWANZA: KUVUNJA KUTOELEWA KWA UMMAH NDIO HATUA YA KWANZA KUELEKEA UOKOVU WAKE Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na…

UADILIFU NDIO MSINGI ASASI WA UCHA MUNGU – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

UADILIFU NDIO MSINGI ASASI WA UCHA MUNGU – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Julai 14, 2023     HOTUBA YA KWANZA: UADILIFU NDIO MSINGI ASASI WA UCHA MUNGU Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na nawasisitizieni kuyasimamisha maisha…

Falsafa ya Kutoa Ushahidi wa Kweli – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Falsafa ya Kutoa Ushahidi wa Kweli – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Juni, 16 2023   HOTUBA YA KWANZA: FALSAFA YA KUTOA USHAHIDI WA KWELI Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja na kuwasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu…

Hotuba ya Ijumaa – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hotuba ya Ijumaa – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Mei, 26 2023 Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja na kuwasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu katika misingi ya Uchaji Mungu. Tambueni kuwa ucha Mungu ni…

Ilani ya maisha halisi ya Ali (a) sio sawa na maisha yaliojengeka  juu ya uwongo – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Ilani ya maisha halisi ya Ali (a) sio sawa na maisha yaliojengeka  juu ya uwongo – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Juni 6, 2023   HOTUBA ya 1: Rabetu – Agizo la kuanzisha mahusiano mema ya kijamii  Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na nawasisitizieni kuyasimamisha maisha…