
Hotuba ya Mtume, Manifesto ya Muongozo Katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi
Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Machi 31, 2023 HOTUBA YA KWANZA: HOTUBA YA MTUME, MANIFESTO YA MUONGOZO KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI. Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja…

Ni Kwanini Wasomi Wengi Hufuatilia Habari za Mwandamo wa Mwezi – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi
Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Machi 24, 2023 HOTUBA YA KWANZA: FUNGA NI KWA AJILI YA UTAKASO, QURAN NI KWA AJILI YA KUPALILIA Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu,…

Aghalabu ya nchi za Kiislamu zatangaza Alhamisi kuwa siku ya kwanza ya Ramadhani
Nchi nyingi za Kiislamu katika eneo la Asia Magharibu au Mashariki ya Kati zimetangaza Alhamisi, Machi 23, kuwa mwanzo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Kamati ya Istihlal (kuutafuta mwezi mwandamo) ya Ofisi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu imetangaza kuwa Alhamisi ya kesho 23 Machi itakuwa siku ya…

Namna Ya Kusaidiana Katika Wema na Ucha Mungu – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi
Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Machi 17, 2023 HOTUBA YA 1:NAMNA YA KUSAIDIANA KATIKA WEMA NA UCHA MUNGU Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja na kuwasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu katika…

Mwandani Bora ni Hulka Njema – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi
Hotuba ya Ijumaa – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Machi 10, 2023 HOTUBA YA 1: UCHA MUNGU KATIKA URITHI NI KUWATENDEA HAKI MAYATIMA. Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja na…

Ubora Wa Mtu Kwa utu Sio Kwa Rangi Ya Ngozi Yake – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi
Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Machi 3, 2023 Hotuba ya 1: Ubora Wa Mtu Kwa utu Sio Kwa Rangi Ya Ngozi Yake Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja na kuwasisitizieni…

Waislamu watakiwa kususia tende za Israel mwezi wa Ramadhani
Kampeni mpya ya kususia utawala wa Kizayuni imezinduliwa ili kuwataka Waislamu barani Ulaya na maeneo mengine duniani kuangalia lebo za matunda hasa tende na kuepuka kununua tende za utawala haramu wa Israel katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. Waislamu wanapaswa kuhakikisha kuwa hawafuturu kwa bidhaa za “ubaguzi wa rangi,” waandaaji wa kampeni hiyo wamesema. “Kwa kuchagua…

Misingi Mitatu Mikuu ya Uimamu – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi
Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Februari 25, 2023 Hotuba ya 1: Misingi Mitatu Mikuu ya Uimamu Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja na kuwasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu katika misingi…