Shahsia Muhimu

Wasia wa Shahidi Khizr Adnan

Wasia wa Shahidi Khizr Adnan

“Esraa Al-Bahisi” ripota wa Habari ameripoti kuhusu wasia ulioandikwa na mfungwa wa Kipalestina na shahidi mwanajeshi Khizr Adnan kabla ya kuuawa shahidi. Usia ulioandikwa na shahidi Sheikh Khizr Adnan kwa mkewe, watoto wake na watu wote waliodhulumiwa wa Palestina ni kama ifuatavyo: Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema “Wale walioamini hawana khofu juu…

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aonana na Sayyid Hassan Nasrullah mjini Beirut

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aonana na Sayyid Hassan Nasrullah mjini Beirut

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana Ijumaa alionana na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah na kujadiliana naye masuala muhimu ya pande mbili, ya kieneo na ya kimataifa. Mwandishi wa televisheni ya al Alam ameripoti habari hiyo kutoka mjini Beirut na kuongeza kuwa, mazungumzo hayo baina…

Maandamano ya maelfu ya Wazayuni yanaendelea katika ardhi za Palestina

Maandamano ya maelfu ya Wazayuni yanaendelea katika ardhi za Palestina

Maelfu ya Wazayuni wameendelea na maandamano yao ya kumpinga waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu, katika miji ya Quds na Tel Aviv licha ya kuweko sherehe za miaka 75 ya kuasisiwa utawala haramu na pandikizi wa Israel. Tangu miezi minne nyuma, Wazayuni wanafanya maandamano kila wiki kupinga marekebisho ya serikali ya Benjamin Netanyahu…

Shambulio la silaha dhidi ya ofisi ya chama cha Erdogan mjini Istanbul

Shambulio la silaha dhidi ya ofisi ya chama cha Erdogan mjini Istanbul

Vyombo vya habari vya Uturuki viliripoti kwamba watu wasiojulikana waliokuwa na silaha walishambulia moja ya ofisi za uchaguzi za chama tawala cha Haki na Maendeleo mjini Istanbul. Gazeti la “Daily Sabah” liliripoti Jumamosi kwamba ofisi ya uchaguzi ya Chama tawala cha Haki na Maendeleo cha Uturuki mjini Istanbul ililengwa na kundi la watu wasiojulikana wenye…

Maelezo ya makubaliano ya kubadilishana wafungwa wa Yemen kutoka kwa maneno ya mkuu wa kamati ya masuala ya wafungwa wa Yemen

Maelezo ya makubaliano ya kubadilishana wafungwa wa Yemen kutoka kwa maneno ya mkuu wa kamati ya masuala ya wafungwa wa Yemen

Mkuu wa Kamati ya Wafungwa wa Serikali ya Kitaifa ya Wokovu ya Yemen amesisitiza kuwa Mabadilishano ya wafungwa wa Yemen ni oparesheni ya pili kwa ukubwa ni zoezi la kubadilishana wafungwa lililofanyika kupitia Umoja wa Mataifa na zoezi hili lilidumu kwa mda wa siku 3. Katika oparesheni hii, zaidi ya wafungwa 700 kutoka jeshi na…

Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria: Mashambulio ya Israel bila shaka yatajibiwa

Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria: Mashambulio ya Israel bila shaka yatajibiwa

Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria ameeleza kuwa, ziara za pamoja za viongozi wa Damascus na nchi za Kiarabu ni kwa irada na matakwa ya pande zote, na kusisitiza kwamba, jibu la Syria kwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni ni jambo lisiloepukika. Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria, Faisal Al-Maqdad, aliyetembelea Algiers jana,…

Mjumbe wa Baraza Kuu la Yemen: Tumejiweka tayari kwa chaguo lolote lile itakaloamua Saudia

Mjumbe wa Baraza Kuu la Yemen: Tumejiweka tayari kwa chaguo lolote lile itakaloamua Saudia

Mjumbe wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesema, “tumejiweka tayari kwa machaguo yote; ikiwa muungano wa Saudia utataka suluhu, sisi ni watu wa suluhu na ikiwa wanataka vita pia, sisi tumepata uzoefu wake kwa miaka minane”. Siku mbili zilizopita, jumbe za Saudi Arabia na Oman ziliwasili mji mkuu wa Yemen, Sana’a kwa lengo la kukutana…

Mkuu wa CIA: Marekani imesikitishwa na kuboreka uhusiano wa Saudia na Iran, Syria

Mkuu wa CIA: Marekani imesikitishwa na kuboreka uhusiano wa Saudia na Iran, Syria

Mkurugenzi wa Shirika Kuu la Kijasusi la Marekani, CIA, William Burns ameripotiwa kusikitishwa na hatua ya Saudi Arabia kufikia mapatano ya kurejesha uhusiano na Iran na Syria huku weledi wa mambi wakiashiria kupungua kwa ushawishi wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi. Kwa mujibu wa gazeti la Wall Street Journal, mkuu huyo wa ujasusi nchini…