Shahsia Muhimu

Afisa wa kijeshi na mkuu wa operesheni ya ISIS, tawi la Khorasan auwawa mjini Kabul

Afisa wa kijeshi na mkuu wa operesheni ya ISIS, tawi la Khorasan auwawa mjini Kabul

Msemaji wa Taliban alitangaza kuwa Taliban Qari Fateh, ambaye ni afisa mkuu wa kijeshi na afisa wa operesheni wa tawi la Khorasan la ISIS aliuawawa mjini Kabul. Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Jamuhuri, Jumanne hii msemaji wa Taliban Zabihullah Mujahid alitoa taarifa na kusema kuwa kutokana na oparesheni ya vikosi maalum…

Misingi Mitatu Mikuu ya Uimamu – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Misingi Mitatu Mikuu ya Uimamu – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Februari 25, 2023 Hotuba ya 1: Misingi Mitatu Mikuu ya Uimamu Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja na kuwasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu katika misingi…

Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi – Imam Musa Al-Kadhim (a), Ruwaza Njema inayofaakuigwa

Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi – Imam Musa Al-Kadhim (a), Ruwaza Njema inayofaakuigwa

Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Februari 17, 2023   Hotuba ya 1: Uimamu, somo muhimu lililofumbiwa macho Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja na kuwasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu katika misingi…

Taqwa ndio mbinu bora ya kulinda Ubinadamu – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Taqwa ndio mbinu bora ya kulinda Ubinadamu – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan                                                          …

Misikiti ni sehemu ya mahusiano ya kijamii na Sehemu Muwafaka kwa ajili ya kuufikia utukufu wa kiroho – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Misikiti ni sehemu ya mahusiano ya kijamii na Sehemu Muwafaka kwa ajili ya kuufikia utukufu wa kiroho – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Januari 27, 2023   Mahubiri ya 1: Misikiti ni sehemu ya mahusiano ya kijamii na Sehemu Muwafaka kwa ajili ya kuufikia utukufu wa kiroho Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi…

Uhusiano kati ya mumini na Imam ni uhusiano muhimu zaidi lakini uliotelekezwa – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Uhusiano kati ya mumini na Imam ni uhusiano muhimu zaidi lakini uliotelekezwa – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Januari 20, 2023 Hotuba ya 1: Rabetu – Uhusiano kati ya mumini na Imam ni uhusiano muhimu zaidi lakini uliotelekezwa Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu,…

Je, Mwanamfalme wa Saudia anaogopa nini kutangaza hadharani uhalalishaji wa mahusiano na Wazayuni?

Je, Mwanamfalme wa Saudia anaogopa nini kutangaza hadharani uhalalishaji wa mahusiano na Wazayuni?

Baraza la mawaziri la Netanyahu liko mbioni kutangaza kuhalalisha mahusiano yake na Saudi Arabia, lakini Riyadh hadi sasa imeshughulikia suala hili kwa fimbo. Kwa kuundwa baraza la mawaziri la Netanyahu, inaonekana utawala wa Kizayuni uko mbioni kuharakisha kwa uwazi kuurejesha uhusiano na Riyadh baada ya maendeleo makubwa ya uhalalishaji usio rasmi na Wasaudi hususan kuwepo…

Kura ya Alyoum: Biden hatoingia katika kamari hatari ya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran

Kura ya Alyoum: Biden hatoingia katika kamari hatari ya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran

Gazeti la ‘Raei Alyoum’ lilichapisha dokezo na kuandika kwamba ni kweli Washington na Tel Aviv zinaweza kupanga vita dhidi ya Iran; Lakini vita kama hivyo, vikianza, vitasimama tu na mwishowe mchokozi atakua ni mwenye kushindwa, na majibu ya Iran na washirika wake yatakuwa ni yenye uchungu mwingi. Gazeti la ‘Raei Alyoum’, kwa kuchapisha dokezo lililoandikwa…