Shahsia Muhimu

Hotuba ya Ijumaa – 7th September 2022, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hotuba ya Ijumaa – 7th September 2022, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

 Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore)  Imetolewa: Msikiti wa Baitul Ateeq  Lahore – Pakistan   Hotuba ya 1: Uhusiano uliopo baina ya mwanadamu na matendo yake –  Taqwa katika mikataba Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na nawasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu katika misingi…

Hotuba ya Ijumaa – 30th September 2022, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hotuba ya Ijumaa – 30th September 2022, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

 Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore)  Imetolewa: Msikiti wa Baitul Ateeq  Lahore – Pakistan   Hotuba ya 1: Kosa la Mujtahid katika kukadiria riba Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na nawasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu katika misingi ya Uchaji Mungu. Tambueni kuwa ucha…

Hotuba ya Ijumaa – 23rd September 2022, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hotuba ya Ijumaa – 23rd September 2022, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

 Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore)  Imetolewa: Msikiti wa Baitul Ateeq  Lahore – Pakistan    Hotuba ya 1:  Riba huharibu maisha ya kiuchumi ya jamii Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na nawasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu katika misingi ya Uchaji Mungu. Tambueni kuwa…

Wafanyaziara milioni 24 washiriki matembezi Arbaeen ya Imam Hussein AS huko Karbala, Iraq

Wafanyaziara milioni 24 washiriki matembezi Arbaeen ya Imam Hussein AS huko Karbala, Iraq

Wafanyaziara milioni 24 wamekusanyika katika mji wa Karbala wa Iraq kuadhimisha Arbaeen, tukio la kila mwaka ambalo linaadhimisha siku ya 40 baada ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hussein (AS), Imam wa tatu wa madhehebu ya Shia. Mjumuiko wa Arbaeen huko Karbala Iraq, umetajwa kuwa mjumuiko mkubwa zaidi wa kidini ulimwenguni, unaowaleta pamoja mamilioni ya…

Jimbo la Karbala: Mahujaji kutoka nchi zaidi ya 80 wameshiriki katika Ziara ya Arbaeen mwaka huu

Jimbo la Karbala: Mahujaji kutoka nchi zaidi ya 80 wameshiriki katika Ziara ya Arbaeen mwaka huu

Msemaji wa Harakati ya Kitaifa ya Hikmat alifafanua kuwa lau isingekuwa ni swala la kuangaziwa moja kwa moja kuhusu ziara tukufu ya Arbaeen na mihemko ya mahujaji na wahudumu wao, wapotoshaji wasioufiki imani hii wangesema kuwa ni uzushi. Harakati ya hekima ya kitaifa ya Iraq imesisitiza kuwa, lau maadhimisho ya Arbaien ya Imam Hussein (AS)…

Kifo cha Malkia na Uhalifu wa Uingereza

Kifo cha Malkia na Uhalifu wa Uingereza

Kifo cha Malkia na Uhalifu wa Uingereza Na Ustad Syed Jawad Naqvi   Malkia hastahili maombolezo na huzuni kutoka kwa mataifa ya Kiislamu Alikuwa na umri wa miaka 96 alipofariki na alibaki madarakani kwa miaka 70 . Kwa mujibu wa habari Uingereza na nchi zote za jumuiya ya madola chini ya Uingereza ikiwa ni pamoja…

Rais wa Tanzania atoa wito wa upanuzi wa uhusiano wa kiuchumi na Iran

Rais wa Tanzania atoa wito wa upanuzi wa uhusiano wa kiuchumi na Iran

Rais wa Tanzania katika kikao na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuongezwa maingiliano ya kiuchumi na kibiashara kati ya nchi hizo mbili. Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliyewasili katika mji mkuu wa nchi hiyo wa Dodoma jana Ijumaa…

Tangazo la jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya mmoja wa viongozi wa Jihad ya Kiislamu ya Palestina

Tangazo la jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya mmoja wa viongozi wa Jihad ya Kiislamu ya Palestina

Mahakama ya utawala wa Kizayuni ilitoa mashtaka dhidi ya mmoja wa viongozi mashuhuri wa harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina na kumtuhumu kwa uchochezi dhidi ya utawala huo na ugaidi. Mahakama ya Ofar ya utawala wa Kizayuni ilitoa hati ya mashtaka dhidi ya Bassam Al-Saadi, mmoja wa viongozi mashuhuri wa Jihad ya Kiislamu, aliyetiwa…