
Sudan kususia sarafu ya dola ya Marekani katika biashara na Russia
Sudan inatafakari kusitisha matumizi ya sarafu ya dola ya Marekani katika miamala yake ya kibiashara na Russia. Hayo yamesemwa na Hassan Mohammed Elghazali Eltijani Sirraj, Balozi wa Sudan nchini Russia katika mahojiano na shirika la habari la RIA Novosti na kuongeza kuwa, Khartoum ina hamu ya kuimarisha biashara na Russia. Kwa mujibu wa mwanadiplomasia huyo, Benki…

Makubaliano kati ya Tehran na Riyadh yapunguza mipango yakikhabithi ya Tel Aviv na chuki ya Amerika dhidi ya Iran
Wataalamu wa masuala ya Mashariki ya Kati wanaamini kuwa, kuhuishwa uhusiano kati ya Iran na Saudi Arabia kumelifikisha eneo hili katika sura mpya ya kimataifa, ambayo imesababisha kudorora kwa mahesabu ya Washington na kufeli kwa mipango ya Wazayuni na Wamarekani. Watafiti wa masuala ya kisiasa wanasema kuwa kwa kuunga mkono makubaliano kati ya Iran na…

Maoni tofauti kuhusu makubaliano kati ya Iran na Saudi Arabia
Taasisi na nchi mbalimbali zilikua na maoni tofauti kuhusu makubaliano kati ya Iran na Saudi Arabia. Qatar Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Qatar amempongeza Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran kwa kufikiwa kwa mapatano hayo. Siku ya Ijumaa, Mohammad bin Abdulrahman Al-Thani, katika mazungumzo ya simu na mwenzake wa Iran, alieleza kuridhishwa kwake…

Makubaliano ya kurejesha uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na Saudi Arabia
Iran na Saudi Arabia zimefikia makubaliano ya kurejesha uhusiano wao wa kidiplomasia na kufungua tena balozi, miaka saba baada ya kuvunjika uhusiano huo kutokana na masuala kadhaa. Makubaliano hayo yaliafikiwa Ijumaa katika mji mkuu wa China, Beijing, baada ya siku kadhaa za mazungumzo magumu kati ya Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Taifa la…

Raia wa Italia akataa kumfanyia Netanyahu kazi ya ukalimani
Mkalimani wa Kitaliano amekataa katakata kumfanyia kazi ya tarjumu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, na kumtaja mwanasiasa huyo kama mtu hatari. Olga Dalia Padoa awali alikubali ombi la kazi hiyo ya ukalimani alipoombwa na ubalozi wa Israel mjini Rome, lakini baadaye akasema kuwa ameghairi msimamo wake, na hatamfanyia ukalimani Benjamin Netanyahu ambaye…

Ubora Wa Mtu Kwa utu Sio Kwa Rangi Ya Ngozi Yake – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi
Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Machi 3, 2023 Hotuba ya 1: Ubora Wa Mtu Kwa utu Sio Kwa Rangi Ya Ngozi Yake Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja na kuwasisitizieni…

Shambulio la uwanja wa ndege wa Aleppo; Mashambulizi kwenye njia kuu ya misaada ya kibinadamu
Habari : Utawala wa kibaguzi wa Kizayuni ulilenga Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Aleppo kutoka upande wa Bahari ya Mediterania magharibi mwa Latakia kwa shambulio la kinyama la anga, shambulio lililosababisha uharibifu wa mali katika uwanja huo wa ndege na kuufanya kutotumika tena. Ni wazi kabisa kuwa uvamizi wa kibaguzi wa Israel ulianza kutoka…

Hamas: Jinai za utawala wa Kizayuni hazitawatia hofu watu wa Wapalestina
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa taarifa ikiilaani jinai za Wazayuni huko Jenin na kusisitiza kuwa: Jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel na mauaji yake dhidi ya raia wa Palestina kamwe hazitalitia hofu taifa hilo. Ni baada ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kushambulia mji wa Jenin katika Ukingo wa…