Ubeberu wa kimataifa

Tanzania yaunga mkono juhudi za amani za Uturuki, asema Rais Samia Suluhu Hassan

Tanzania yaunga mkono juhudi za amani za Uturuki, asema Rais Samia Suluhu Hassan

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alisema kuwa nchi yake inaunga mkono juhudi za Uturuki za kutafuta suluhu na amani kwa mizozo ya kimataifa. “Vilevile tunaunga mkono wito wa dharura wa kusitishwa kwa mapigano kwa manufaa ya watu wa Gaza,” asema Hassan. “Pia tunaunga mkono wito wa dharura wa kusitishwa kwa mapigano kwa manufaa ya…

Mali yakata uhusiano wa kidiplomasia na Ukraine baada ya shambulio la kigaidi

Mali yakata uhusiano wa kidiplomasia na Ukraine baada ya shambulio la kigaidi

Mali imetangaza kuwa inakata uhusiano wa kidiplomasia na Ukraine baada ya Ukraine kukiri kuhusika katika shambulio la kigaidi la hivi karibuni katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika. Msemaji wa Serikali ya Mpito ya Mali, Kanali Abdoulaye Maiga amesema katika taarifa yake kuwa serikali hiyo imegundua, kwa mshtuko mkubwa, matamshi ya kushangaza yaliyotolewa na  Andriy Yusov, msemaji wa Shirika…

Shahidi Haniyah  ameidhinisha kuangamizwa kwa Israel: Ustad Syed Jawad Naqvi

Shahidi Haniyah ameidhinisha kuangamizwa kwa Israel: Ustad Syed Jawad Naqvi

Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika: Msikiti wa Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Hotuba ya Ijumaa – 2 Agosti 2024   Hotuba ya Kwanza: Tayyib na Halal vinapaswa kuwa msingi wa maisha yetu ya kiuchumi Hotuba ya Pili: Shahidi Haniyah h ameidhinisha kuangamizwa kwa Israel…

Jeshi la SEPAH latoa taarifa kuhusu kuuawa shahidi Ismail Haniya

Jeshi la SEPAH latoa taarifa kuhusu kuuawa shahidi Ismail Haniya

Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) limetoa taarifa nambari tatu inayoeleza na kubainisha jinsi Ismail Haniya, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS alivyouawa hapa mjini Tehran. Taarifa ya SEPAH inaeleza kuwa, jinai hiyo ya kigaidi iliyopelekea kuuawa shahidi Ismail Haniya ilipangwa na kutekelezwa…

Kinyang’anyiro cha Israeli Afrika: Uuzaji maji, silaha na uwongo

Kinyang’anyiro cha Israeli Afrika: Uuzaji maji, silaha na uwongo

Israel inajaribu kuandika historia upya kwa malengo ya kugusa mioyo ya Waafrika wa kawaida, Je itafanikiwa? Kwa miaka mingi, Kenya imetumika kama lango la Israeli kwa Afrika. Israel imekuwa ikitumia uhusiano mkubwa wa kisiasa, kiuchumi na kiusalama kati ya mataifa hayo mawili kama njia ya kupanua ushawishi wake katika bara hilo na kuyageuza mataifa mengine…

Huyu ndiye Ismail Haniyeh, Kiongozi Mkuu wa Kisiasa wa HAMAS aliyeuawa shahidi Tehran

Huyu ndiye Ismail Haniyeh, Kiongozi Mkuu wa Kisiasa wa HAMAS aliyeuawa shahidi Tehran

Jumanne usku ya tarehe 30 Julai 2024, Ismail Haniyeh Kiongozi wa Tawi la Kisiasa la Harakati ya HAMAS ameuawa shahidi akiwa na mlinzi wake mmoja hapa Tehran. Ufuatao hapa chini ni wasifu kwa muhtasari wa maisha yake. Ismail Haniyeh alizaliwa mwaka 1962 katika kambi moja ya wakimbizi ya Ukanda wa Ghaza. Ukata na njaa iliyotokana…

Afisa wa zamani wa CIA: Mauaji ya Haniyeh yalifanywa kwa ujuzi na msaada wa Amerika na Uingereza

Afisa wa zamani wa CIA: Mauaji ya Haniyeh yalifanywa kwa ujuzi na msaada wa Amerika na Uingereza

Afisa huyo mstaafu wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) akielezea juu ya kuuawa shahidi Ismail Haniyeh, kiongozi wa kisiasa wa Hamas, kuwa ni kuvuka mstari mwekundu na kuongeza kuwa mauaji haya yalitekelezwa kwa ujuzi na uungaji mkono wa Uingereza na Marekani. Larry Johnson alisisitiza katika sehemu nyingine ya mahojiano haya: “Nasema hivi kwa sababu…

Maoni ya Ikulu ya White House kuhusiana na mauaji ya Ismail Haniyeh

Maoni ya Ikulu ya White House kuhusiana na mauaji ya Ismail Haniyeh

Msemaji wa Ikulu ya Marekani ametangaza kuwa taasisi hiyo iliarifiwa kuhusu kuuawa shahidi Ismail Haniyeh, kiongozi wa kisiasa wa Hamas mjini Tehran, lakini ikakataa kutoa maelezo zaidi. Kwa mujibu wa ripoti ya IRNA kutoka CNN siku ya Jumatano, baada ya kuuawa Ismail Haniyeh na kuuawa shahidi, msemaji wa Ikulu ya White House alisema kuwa Ikulu…