Ubeberu wa kimataifa

Burkina Faso yatoa sababu za kujiondoa kutoka kwa ECOWAS

Burkina Faso yatoa sababu za kujiondoa kutoka kwa ECOWAS

Waziri Mkuu wa Burkina Faso, Kilim de Tambala, alitangaza siku ya Alhamisi kwamba nchi yake inakataa mtazamo wa ukoloni mamboleo, na kwa sababu hii, ilijiondoa kwenye kongamano la kiuchumi la ECOWAS. Waziri Mkuu wa Burkina Faso alisema kuwa nchi yake, licha ya kuwa mwanachama mwanzilishi wa ECOWAS, ilijiondoa kwa sababu ilikataa maoni ya ukoloni mamboleo….

Marekani yajenga kambi ya kijeshi nchini Ivory Coast

Marekani yajenga kambi ya kijeshi nchini Ivory Coast

Baada ya kuondoa vikosi vyake kutoka kambi nchini Niger, Jeshi la Marekani linapanga kujenga kambi ya kijeshi kaskazini magharibi mwa Ivory Coast. Tovuti ya “Mondafrique” ilitangaza kwamba mamlaka ya Ivory Coast iliruhusu Merika kujenga kambi ya kijeshi huko Udiini, iliyoko kaskazini magharibi mwa nchi, lakini muhtasari wa mustakabali wa kambi hii mpya ya Amerika huko…

Umoja wa Mataifa yatoa wito kwa Kenya kujizuia dhidi ya waandamanaji

Umoja wa Mataifa yatoa wito kwa Kenya kujizuia dhidi ya waandamanaji

Msemaji huyo wa Umoja wa Mataifa alitangaza kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres anavitaka vikosi vya polisi vya Kenya vizuiwe mbele ya waandamanaji katika mji mkuu wa nchi hiyo. “Tunafuatilia kinachoendelea Nairobi na Kenya, na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ni wazi ana wasiwasi mkubwa kuhusu ghasia zilizoripotiwa kuhusiana na maandamano…

Kutoweka watoto katika Ukanda wa Gaza

Kutoweka watoto katika Ukanda wa Gaza

Kwa mujibu wa ripoti mpya zilizochapishwa na shirika la kimataifa linaloitwa “Save the Children”, watoto wapatao elfu 21 wa Kipalestina wametoweka huko Ukanda wa Gaza, ambapo watoto elfu 17 wametenganishwa na familia zao kutokana na vurugu zilizosababishwa na vita, hasa operesheni za hivi karibuni za utawala wa Kizayuni katika ukanda huo. Watoto wengine elfu nne…

Mahakama yathibitisha kifungo cha maisha kwa waziri mkuu wa zamani wa Burundi

Mahakama yathibitisha kifungo cha maisha kwa waziri mkuu wa zamani wa Burundi

Mahakama nchini Burundi imethibitisha kifungo cha maisha jela dhidi ya jenerali Alain Guillaume Bunyoni waziirii mkuu wa zamani wa nchi hiyo. Alipatikana na hatia mwezi Disemba mwaka jana kwa makosa mengi ya jinai ikiwa ni pamoja na kujaribu kupindua serikali, kumiliki utajiri kinyume cha sheria, kuhujumu uchumi na vitisho kwa maisha ya rais na taasisi…

“siri” na mpango wa Netanyahu kusalia madarakani yafichuka

“siri” na mpango wa Netanyahu kusalia madarakani yafichuka

Gazeti la Israel la Ma’ariv lilichapisha mahojiano yake na mwanasiasa wa Israel kuhusu mpango wa siri wa Benjamin Netanyahu wa kusalia madarakani kwa kuahirisha uchaguzi wa 2026. Katika tovuti yake, Gazeti hili lilichapisha mahojiano yake pamoja na mwanasiasa wa Israel mwenye mafungamano na chama cha Likud ambaye hapo awali alifanya kazi na waziri mkuu anayekalia…

Afrophobia tishio kwa ndoto ya Afrika

Afrophobia tishio kwa ndoto ya Afrika

Kuna haja ya kuikumbatia tena ndoto ya umoja wa Afrika na kudai uhuru wa kusafiri kwa Waafrika wote ndani ya bara hili. Akiongea katika Jukwaa la Mkurugenzi Mtendaji wa Afrika mjini Kigali, Rwanda,  tajiri mkubwa zaidi barani Afrika, na bilionea wa Nigeria Aliko Dangote, alilalamika kwamba anakabiliwa na vizuizi vingi zaidi vya kuzunguka Afrika hata…

Kwa nini Washington ilighairi mkutano wake na Tel Aviv kuhusu Iran?

Kwa nini Washington ilighairi mkutano wake na Tel Aviv kuhusu Iran?

Tovuti ya Marekani ya “Axios” ilitangaza kuhairishwa kwa mkutano muhimu wa maafisa wa ngazi za juu wa Washington na maafisa wa utawala wa Kizayuni kuhusiana na Iran. Tovuti ya Axios ilinukuu maafisa wa Marekani wakisema: Kufuatia shambulio la Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu dhidi ya Rais wa Marekani Joe Biden kuhusu mauzo ya silaha,…