Ubeberu wa kimataifa

Iran: Israel inapaswa kuharibu silaha zake za nyuklia na ijiunge na NPT

Iran: Israel inapaswa kuharibu silaha zake za nyuklia na ijiunge na NPT

Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel uharibu silaha zake za nyuklia na ujiunge haraka na Mkataba za Kuzuia Uzalishaji na Usambazaji wa Silaha za Nyuklia (NPT). Majid Takht Ravanchi alisema hayo katika Mkutano wa Kumi wa Kuangalia Upya Maazimio ya Nchi…

Wakenya waishitaki Uingereza kwa jinai za enzi za ukoloni

Wakenya waishitaki Uingereza kwa jinai za enzi za ukoloni

Kundi la raia wa Kenya limeifungulia mashitaka serikali ya Uingereza katika Mahakama ya Haki za Binadamu ya Ulaya, likitaka iwajibishwe kwa jinai ilizotenda dhidi ya wananchi wa Kenya enzi za ukoloni. Katika faili hilo, Wakenya hao wamesema mababu zao waliteswa na kukandamizwa na wakoloni Waingereza, mbali na kufukuzwa kwenye ardhi zao. Wakili Joel Kimutai Bosek anayeliwakilisha…

HAMAS yasisitizia msimamo wake wa kupinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Wazayuni

HAMAS yasisitizia msimamo wake wa kupinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Wazayuni

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS kwa mara nyingine tena imesisitiza kwamba, inapinga kuanzishwa uhusiano wa aina yoyote na utawala haramu wa Israel. Taarifa iliyotolewa na Kituo cha Upashaji Habari cha Palestina imeeleza kuwa, HAMAS inakanusha madai ya baadhi ya vyombo vya habari kwamba, imeafiki suala la kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya Uturuki…

Mgogoro wa kiuchumi barani Ulaya; kushadidi ufakiri wa chakula na fueli Uingereza

Mgogoro wa kiuchumi barani Ulaya; kushadidi ufakiri wa chakula na fueli Uingereza

Katika miezi ya hivi karibuni hali ya kiuchumi katika akthari ya mataifa ya bara Ulaya imezidi kuwa mbaya na kuzusha wasiwasi mkubwa miongoni mwa wakazi wa bara hilo. Sadiq Khan, Meya wa mji wa London ametoa indhari kuhusu kuweko msimu wa baridi usio na chakula wala joto majumbani. Meya huyo wa jiji la London ametangaza…

HAMAS: Jukumu la kambi ya muqawama ni kuifuta Israel katika uso wa dunia

HAMAS: Jukumu la kambi ya muqawama ni kuifuta Israel katika uso wa dunia

Kiongozi mmoja mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, jukumu kuu la kambi ya muqawama ni kuhakikisha ardhi zote za Palestina zinakombolewa na hiyo maana yake ni kufutwa katika uso wa dunia, utawala pandikizi wa Kizayuni ambao unazikalia kwa mabavu ardhi za Palestina. Shirika la habari la FARS limemnukuu Mahmoud…

Nasrullah: Ushindi wa mwaka 2000 wa Muqawama ulitamatisha mradi wa “Israel Kubwa”

Nasrullah: Ushindi wa mwaka 2000 wa Muqawama ulitamatisha mradi wa “Israel Kubwa”

Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, ushindi wa mwaka 2000 wa Muqawama ulihitimisha mradi wa “Israel Kubwa.” Sayyid Hassan Nasrullah ameyasema hayo katika hotuba ya ufungaji wa sherehe za kuadhimisha “Machipuo Arubaini” kwa mnasaba wa kutimia miaka 40 tangu ilipoasisiwa harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah. Nasrullah ameeleza kuwa kuna mafungamano makubwa baina ya…

Jeshi la Syria lauzuia msafara wa magari sita ya kijeshi wa askari wa Marekani

Jeshi la Syria lauzuia msafara wa magari sita ya kijeshi wa askari wa Marekani

Vikosi vya jeshi la Syria vimeuzuia msafara wa askari wa jeshi la Marekani kuvuka eneo la kaskazini mashariki ya nchi hiyo. Kwa mujibu wa shirika la habari la Syria SANA, msafara huo uliojumuisha magari sita ya kijeshi ya askari vamizi wa Marekani yakiandamana na gari moja la wanamgambo wa Kikurdi wa Syria wa kundi la…

Wanajeshi wa Israel waendeleza jinai katika maeneo tofauti ya Palestina

Wanajeshi wa Israel waendeleza jinai katika maeneo tofauti ya Palestina

Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wanaendelea na jinai zao dhidi ya Wapaelstina katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan. Kanali ya Telegram ya al Risala imesambaza mkanda wa video leo Jumanne unaoonesha jinai za wanajeshi makatili wa Israel na jinsi wanavyovamia na kufanya ukatili dhidi ya Wapalestina katika mji wa al Khalil wa…