Ubeberu wa kimataifa

Makumi ya magaidi wakufurishaji waangamizwa nchini Burkina Faso

Makumi ya magaidi wakufurishaji waangamizwa nchini Burkina Faso

Jeshi la Burkina Faso limetangaza kuwa, limeangamiza magaidi 100 wakufurishaji katika operesheni za kijeshi lilizofanya kwa nyakati tofauti katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika. Shirika la habari la Tasnim limenukuu taarifa ya jeshi la Burkina Faso ikitoa ufafanuzi kwa kusema, operesheni zilizoangamiza magaidi hao 100 wakufurishaji zimefanyika kwenye maeneo mbalimbali na kwa nyakati tofauti…

Russia: Tutazipiga na chini sarafu za dola na euro kwa kushirikiana na waitifaki wetu

Russia: Tutazipiga na chini sarafu za dola na euro kwa kushirikiana na waitifaki wetu

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, Moscow inaimarisha ushirikiano wake wa kiuchumi na nchi marafiki zake na kwamba ina uhakika kwa ushirikiano huo itaweza kuziangusha sarafu za dola na euro kwani sarafu hizo ni sumu. Kwa mujibu wa ripoti ya leo Jumamosi ya shirika la habari la IRNA, Alexander Pankin amesema hayo…

Salami: Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan umo mbioni kujizatiti kwa silaha dhidi ya Wazayuni

Salami: Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan umo mbioni kujizatiti kwa silaha dhidi ya Wazayuni

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesema kuwa, mapambano dhidi ya utawala haramu wa Israel yamefika hadi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuongeza kuwa, hivi sasa eneo hilo limo mbioni kujizatiti kwa silaha kwa ajili ya kukabiliana na Wazayuni maghasibu. Brigedia Jenerali Hussein Salami sambamba…

Kiwewe cha Marekani kwa kuzidi kuongezeka nguvu za China

Kiwewe cha Marekani kwa kuzidi kuongezeka nguvu za China

Marekani ambayo imeingia kiwewe kutokana na kuzidi kuongezeka nguvu za China, imeahidi kuchukua hatua za kukabiliana na Beijing katika kipindi cha wiki na miezi ijayo karibu na kisiwa cha Taiwan, kwa tamaa ya kupunguza kasi ya nguvu za kijeshi na kiuchumi za China. Edward “Ned” Price, msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Marekani…

Uhusiano wa Uturuki na Israel walipiga jambia kwa nyuma taifa la Palestina

Uhusiano wa Uturuki na Israel walipiga jambia kwa nyuma taifa la Palestina

Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Harakati ya Ukombozi wa Wananchi wa Palestina amelaani vikali hatua ya Uturuki ya kurejesha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel. Jumatano iliyopita, Uturuki na utawala wa Kizayuni zilikubaliana kufufua uhusiano baina yao baada ya kusimama kwa muda wa miaka minne. Mwaka 2018 Uturuki ilisimamisha uhusiano…

Yemen yaonya kuhusu harakati za kutia shaka za askari wa US, Ufaransa

Yemen yaonya kuhusu harakati za kutia shaka za askari wa US, Ufaransa

Bunge la Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen limetadharisha kuhusu harakati na nyendo za kutiliwa shaka za wanajeshi wa Marekani na Ufaransa katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu. Katika taarifa, Bodi ya Uongozi ya Bunge la Yemen imesema harakati hizo za wanajeshi wa Marekani na Ufaransa ambao ni waungaji…

Oman yasisitizia msimamo wake wa kutoruhusu ndege za Israel kutumia anga yake

Oman yasisitizia msimamo wake wa kutoruhusu ndege za Israel kutumia anga yake

Oman imesisitizia msimamo wake wa kukataa kuruhusu ndege za utawala wa haramu wa Israel kuruka katika anga yake. Wakati Oman ikiendelea kusisitizia msimamo wake huo, gazeti moja ya Kiebrania limedai kwamba, eti mashinikizo ya Iran ndiyo yanayoufanya utawala wa Oman kung’ang’ania msimamo huo. Gazeti la Israel Hayom lilidai katika chapisho lake jana kwamba, msimamo huo…

Mazungumzo ya vyama; njia ya kuikwamua Iraq katika mgogoro

Mazungumzo ya vyama; njia ya kuikwamua Iraq katika mgogoro

Rais, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge pamoja na vyama kadhaa vya siasa vya nchi hiyo wametoa taarifa wakisisitizia ulazima wa kukomeshwa aina yoyote ile ya mzozo na mvutano katika mitaa na barabara za nchi hiyo. Aidha wamesisitizia umuhimu wa kufanyika mazungumzo kwa ajili ya kuikwamua nchi hiyo na mgogoro wa sasa unaoikabili. Iraq imeendelea…