Ubeberu wa kimataifa

Mkuu wa zamani wa CIA: Republicans ni chama cha siasa hatari zaidi kuliko ISIS, Al Qaeda

Mkuu wa zamani wa CIA: Republicans ni chama cha siasa hatari zaidi kuliko ISIS, Al Qaeda

Mkuu wa zamani wa shirika la ujasusi la Marekani CIA amsema Republicans ni chama hatari zaidi za siasa. Gazeti la New York Post limechapisha makala ya uchambuzi iliyoandikwa na Callie Patterson ambaye amemnukuu mkuu wa zamani wa CIA Michael Hayden akisema, leo Warepublican wamekuwa hatari zaidi kuliko DAESH (ISIS), Al Qaeda na wengineo; wamekuwa watu hatari…

Muungano vamizi wa Saudia waendelea kukiuka usitishaji vita nchini Yemen

Muungano vamizi wa Saudia waendelea kukiuka usitishaji vita nchini Yemen

Muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia umeendelea kukiuka makubaliano ya usitishaji viita ambapo katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita umekiuka usitishaji vita huo mara 202. Usitishaji vita wa muda wa miezi miwili ulianza kutekelezwa Aprili mwaka huu na mwezi Juni mwaka huu Hans Grunberg, mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya…

Mali yasema Ufaransa inasaidia magaidi, yaitisha kikao Baraza la Usalama

Mali yasema Ufaransa inasaidia magaidi, yaitisha kikao Baraza la Usalama

Mali imeliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kufanya mkutano wa dharura ili kusitisha kile inachokitaja kuwa ni “vitendo vya uchokozi” vinavyofanywa na Ufaransa kwa kukiuka mamlaka yake, kuunga mkono makundi ya magaidi wakufurishaji na ujasusi. Barua iliwasilishwa kwa waandishi wa habari na Wizara ya Mambo ya Nje ya Mali siku ya Jumatano baada…

Kufanyika kikao cha Kamisheni ya Pamoja ya Kiuchumi ya Iran na Pakistan mjini Islamabad

Kufanyika kikao cha Kamisheni ya Pamoja ya Kiuchumi ya Iran na Pakistan mjini Islamabad

Kikao cha 21 cha Kamisheni ya Pamoja ya Kiuchumi ya Iran na Pakistan kilianza Jumatano ya jana katika mji mkuu wa Pakistan Islamabad ambapo ujumbe wa Iran katika kikao hicho unaongozwa na Rostam Qassemi, Waziri wa Barabara na Ujenzi wa Miji. Katika kikao cha ufunguzi jana asubuhi, maafisa wa Iran na Pakistan walibainisha uhusiano mzuri…

HAMAS: Marekani ni mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

HAMAS: Marekani ni mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

Mousa Mohammed Abu Marzook, Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Marekani ni mshirika wa jinai zinazofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina. Mousa Abu Marzook amesema hayo katika radiamali yake kwa taarifa zilizosambaa zinazodai kuweko mawasiliano ya siri ya Marekani…

Shirika la WHO lapeleka misaada ya kibinadamu Yemen

Shirika la WHO lapeleka misaada ya kibinadamu Yemen

Shirika la Afya Duniani (WHO) liimepeleka msaada wa dharura wa vifaa vya matibabu ikiwemo maabara kwa lengo la kuinua uwezo wa timu zinazotoa huduma za waathirika wa mafuriko waliopata kiwewe na wahaka. Hatua hiyo imeelezwa kuwa ni katika kuchukua hatua za dharura kusaidia jamii zilizoathiriwa na mafuriko nchini Yemen. Hiyo ni kwa mujibu wa taarifa…

HAMAS: Ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ni juhudi za kushindwa kufuta alama za Kiislamu Quds

HAMAS: Ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ni juhudi za kushindwa kufuta alama za Kiislamu Quds

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani vikali kuendelea kupasishwa mipango ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kkwa mabavu za Palestina. Taarifa ya Hamas imesisitiza kuwa, ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika maeneo ya Palestina ni juhudi za Israel baada ya kushindwa njama zake za kufuta…

Ansarullah ya Yemen: Marekani imeua mamilioni ya watu katika maeneo mbalimbali duniani

Ansarullah ya Yemen: Marekani imeua mamilioni ya watu katika maeneo mbalimbali duniani

Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameashiria jinai za Marekani dhidi ya raia katika maeneo tofauti ya dunia na kusema kuwa, Washington imeua mamilioni ya watu katika pembe tofauti ulimwenguni. Hizam al-Assad, mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameandika katika ukurasa wake wa mtandao wa…