Ubeberu wa kimataifa

Putin aionya Ukraine isijaribu kumiliki makombora ya masafa marefu

Putin aionya Ukraine isijaribu kumiliki makombora ya masafa marefu

Rais Vladimir Putin wa Russia ameionya Ukraine kuwa itakabiliwa na mashambulio makali zaidi iwapo itathubutu kupokea makombora ya masafa marefu kutoka nchi za Magharibi. Akiungumza katika mahojiano na Televisheni ya Russia 1 leo Jumapili, Rais Putin ameashiria uwezekano wa Ukraine kupokea makombora ya masafa marefu na kusema: “Iwapo itakabidhiwa makombora hayo, basi tutatumia silaha zetu,…

Balozi wa Iran atoa Pongezi kwa bunge la Iraq kwa kupitisha sheria inayoharamisha uhusiano na utawala wa Kizayuni

Balozi wa Iran atoa Pongezi kwa bunge la Iraq kwa kupitisha sheria inayoharamisha uhusiano na utawala wa Kizayuni

Balozi mpya wa Iran nchini Iraq, Mohammad Kazem al-Sadegh, amewapongeza wabunge wa Bunge la Iraq kwa kuipigia kura sheria inayoharamisha uhusiano na utawala ghasibu wa Kizayuni. Al-Sadegh aliandika katika ukurasa wake wa kibinafsi wa Twitter: “Tunawapongeza wawakilishi wa taifa ndugu la Iraq katika bunge kwa kuipigia kura sheria ya kihistoria inayoharamisha uhusiano na utawala huo…

Watu 35 wamefariki na kujeruhiwa katika mlipuko wa soko la Aden kusini mwa Yemen

Watu 35 wamefariki na kujeruhiwa katika mlipuko wa soko la Aden kusini mwa Yemen

Mlipuko wa bomu karibu na soko katika mji wa Aden kusini mwa Yemen umesababisha vifo vya takriban watu watano na wengine 30 kujeruhiwa, kwa mujibu wa takwimu za hivi punde. Faraan: Mlipuko wa bomu uiotukia katika soko la mji wa Aden ambao ni mji mkuu wa serikali yenye uhusiano na Riyadh, hadi sasa umesababisha mauaji ya…

Umoja wa Mataifa wasikitishwa na hatua ya Mali ya kujitoa katika kikosi cha kupambana na ugaidi

Umoja wa Mataifa wasikitishwa na hatua ya Mali ya kujitoa katika kikosi cha kupambana na ugaidi

Umoja wa Mataifa umesikitishwa na uamuzi wa nchi ya Mali ya kujiondoa katika kikosi cha kundi la nchi tano za eneo la Sahel linalojulikana kama G5 ambalo lilibuniwa mwaka 2014 kwa ajili ya kupambana na ugaidi katika eneo hilo. Bi Martha Pobee, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya siasa barani Afrika…

Kiongozi wa Korea Kaskazini naye pia vilevile hamtaki Biden

Kiongozi wa Korea Kaskazini naye pia vilevile hamtaki Biden

Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani, Jake Sullivan alisema Washington haikuona dalili yoyote ya Korea Kaskazini kutaka kufanya mkutano wa pande mbili kati ya kiongozi wa Marekani Kim Jong Un na Rais wa Marekani Joe Biden. Sullivan anasafiri hadi Asia Mashariki na Rais wa Marekani Joe Biden, alipoulizwa kwenye ndege ikiwa Pyongyang inataka mkutano…

Moscow: Pfizer na Moderna walihusika katika mpango wa kijeshi wa kibaolojia nchini Ukraine

Moscow: Pfizer na Moderna walihusika katika mpango wa kijeshi wa kibaolojia nchini Ukraine

Afisa wa Wizara ya Ulinzi ya Urusi alisema kuwa rais wa sasa wa Marekani amesimamia binafsi uendeshaji wa maabara za kibaolojia nchini Ukraine, akiongeza kuwa makampuni ya dawa ya Pfizer na Moderna pia yalihusika katika mpango huo. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Fars, licha ya jitihada za Marekani na washirika wake…

Kauli zenye kulaani kuuawa kishahidi mwandishi wa habari wa Al-Jazeera wa Kipalestina na wanamgambo wa Kizayuni.

Kauli zenye kulaani kuuawa kishahidi mwandishi wa habari wa Al-Jazeera wa Kipalestina na wanamgambo wa Kizayuni.

Pande mbalimbali zimesisitiza ulazima wa ufufunguzi wa mashtaka dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa mauaji ya mwandishi wa habari wa Al-Jazeera. Shirin Nasri Abu Aqleh mwandishi habari Mpalestina wa Televisheni ya Al Jazeera ya Qatar ameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel alipokuwa akiakisi machafuko katika kambi ya wakimbizi Wapalestina mjini Jenin. Kwa mujibu…

Jordan: Masjidul-Aqswa ni mali ya Waislamu, Israel yatakiwa kutoitahini subira ya Waislamu bilioni 2

Jordan: Masjidul-Aqswa ni mali ya Waislamu, Israel yatakiwa kutoitahini subira ya Waislamu bilioni 2

Kamati ya Palestina katika Bunge la Jordan imesisitiza kuwa, Waislamu wana mamlaka mutlaki kwa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa ulioko Palestina inayokaliwa kwa mabavu. Kamati hiyo imeuonya utawala ghasibu wa Israel na kuutaka usiitahini subira ya Waislamu bilioni 2 ulimwenguni. Msimamo huo wa Kamati ya Palestina katika Bunge la Jordan umetolewa kufuatia matamshi ya Naftali Bennett, Waziri…