Ubeberu wa kimataifa

Sanaa: Huku mashambulizi yakiendelea huko nchini Yemen baadhi ya nchi za Kiarabu zadhihirisha hisia zake kwa kuwahurumia wananchi wa Ukraine kwa kulipuliwa na mabomu

Sanaa: Huku mashambulizi yakiendelea huko nchini Yemen baadhi ya nchi za Kiarabu zadhihirisha hisia zake kwa kuwahurumia wananchi wa Ukraine kwa kulipuliwa na mabomu

Kwa mujibu wa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen, baadhi ya nchi za Kiarabu zimeisahau Yemen kwa muda wa miaka 7 na sasa zinaruhusu usajili wa viza kwa Wananchi wa Ukraine. Kwa mujibu wa Huduma ya Kimataifa ya Shirika la Habari la Fars, afisa wa Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen leo…

Kuzuiliwa kwa Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi

Kuzuiliwa kwa Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi

Vikosi vya utawala dhalimu vilivamia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuwatia mbaroni baadhi ya raia. Kwa mujibu wa idhaa ya kimataifa ya Shirika la Habari la Fars, vikosi vya utawala wa Kizayuni vilishambulia maeneo tofauti ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan asubuhi ya leo na kuwatia mbaroni raia kadhaa…

Russia imefichua kuwa Marekani inawasafirisha magaidi wa ISIS au Daesh kutoka Syria na kuwaingiza Ukraine

Russia imefichua kuwa Marekani inawasafirisha magaidi wa ISIS au Daesh kutoka Syria na kuwaingiza Ukraine

Idara ya Usalama wa Nje ya Nchi ya Russia- SVR RF- imesema kuwa, Marekani inatuma magaidi Ukraine kutoka Syria. Taarifa ya SVR-RF imesema magaidi hao wa ISIS wamekuwa wakipata mafunzo maalumu katika kituo kimoja cha kijeshi kilicho Syria kinyume cha sheria na baada ya kupata mafunzo wanaepelekwa Ukraine. Taarifa hiyo imesema: “Mwishoni mwa mwaka 2021,…

Mashambulizi dhidi ya Waislamu wa Yemen Yaendelea Saudia ikiwa mhusika mkuu

Mashambulizi dhidi ya Waislamu wa Yemen Yaendelea Saudia ikiwa mhusika mkuu

Vyombo vya habari vimeripoti kuwa ndege za kivita za muungano vamizi wa Saudia huko Yemen jana ziliendelea kuyashambulia maeneo mbalimbali ya raia Waisalmu katika mikoa tofauti ya Yemen. Televisheni ya al Masira imeripoti kuwa, ndege za kivita za muungano vamizi huko Yemen zinazoongozwa na Saudi Arabia jana zilishambulia maeneo ya raia katika mikoa ya Saada…

Wapalestina 190 watiwa mbaroni na askari wa Israel ndani ya muda wa mwezi mmoja

Wapalestina 190 watiwa mbaroni na askari wa Israel ndani ya muda wa mwezi mmoja

Jumuiya ya Ulaya ya kutetea na kuunga mkono Quds tukufu (Jerusalem) imetangaza kuwa katika kipindi cha mwezi mmoja, askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamevamia mji huo wa Baitul Muqaddas unaokaliwa kwa mabavu na kuwatia nguvuni Wapalestina zaidi ya 190 wakazi wa mji huo. Hujuma na mashambulio ya askari wa utawala wa Kizayuni…

Moscow: Ipo hatari ya makabiliano ya moja kwa moja kati ya Urusi na NATO

Moscow: Ipo hatari ya makabiliano ya moja kwa moja kati ya Urusi na NATO

Kuna hatari ya makabiliano ya moja kwa moja kati ya Urusi na NATO, lakini Moscow inatafuta kutatua suala hilo kwa njia za kidiplomasia, alisema naibu waziri wa mambo ya nje. Kwa mujibu wa Idhaa ya Kimataifa ya Shirika la Habari la Fars, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia alisema Jumatano mchana, saa za…

Maendeleo ya hivi punde nchini Ukraine, Urusi ipo tayari kwa sehemu ya pili ya mazungumzo

Maendeleo ya hivi punde nchini Ukraine, Urusi ipo tayari kwa sehemu ya pili ya mazungumzo

Mashambulizi ya makombora na mizinga ya Urusi katika miji ya Ukraine yanaendelea, na ripoti kuwa mji wa Kherson ulioko kusini mwa Ukraine umetekwa na vikosi vya Urusi. Shirika la Kimataifa la Habari la Fars – Mapigano nchini Ukraine yameingia siku ya saba leo, Jumatano, huku mashambulio ya makombora na mizinga ya Urusi yakiendelea. Vyanzo vya…

Ayyatullah Khamenei: Tunaunga mkono usitishaji wa vita nchini Ukraine

Ayyatullah Khamenei: Tunaunga mkono usitishaji wa vita nchini Ukraine

Ayatullah Ali Khamenei amesema hayo leo kwa mnasaba wa maadhimisho ya kubaathiwa na kupewa Utume Mtume Muhammad (saw) na kubainisha kwamba: Kinyume na maoni ya wale wanaoichukulia dini kuwa tofauti na siasa, maisha na serikali, kilele cha harakati ya utume wa mtume Muhammad ni uundaji wa serikali. Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa,…