Ubeberu wa kimataifa

Waziri wa Ulinzi wa Russia: Vikosi vya nyuklia vilianza shughli zake kulingana na amri ya Putin

Waziri wa Ulinzi wa Russia: Vikosi vya nyuklia vilianza shughli zake kulingana na amri ya Putin

Waziri wa Ulinzi wa Russia alitangaza kuanza kwa majukumu ya vikosi vya kimkakati vya nchi hiyo kufuatia amri ya Rais Vladimir Putin wa Russia. Kulingana na vyanzo vya habari, Waziri wa Ulinzi wa Urusi alitangaza alasiri ya Jumatatu tarehe 28/2/2022 kwa majira ya Tehran: “Kwa kufuatia agizo la Rais, nyadhifa za Kamanda wa Kikosi cha…

Mazungumzo ya Russia na Ukraine mjini Belarus hayajulikani hatima yake

Mazungumzo ya Russia na Ukraine mjini Belarus hayajulikani hatima yake

Televisheni ya taifa ya Russia imetangaza kuwa duru ya kwanza ya mazungumzo kati ya wajumbe wa nchi hiyo na Ukraine imemalizika nchini Belarus, lakini haijafahamika iwapo mazungumzo hayo yataendelea au la. Mazungumzo yana lengo la kuzima moto wa vita vilivyoanza Alkhamisi iliyopita kati ya nchi hizo mbili. Awali mkuu wa timu ya mazungumzo ya Russia huko…

Jeshi la Yemen laitungua droni ya pili ya Marekani katika mkoa wa Ma’rib

Jeshi la Yemen laitungua droni ya pili ya Marekani katika mkoa wa Ma’rib

Jeshi la Yemen likishirikiana na vikosi vya kujitolea vya wananchi zimeitungua ndege ya pili isiyo na rubani iliyoundwa na Marekani. Katika miezi kadhaa iliyopita, jeshi la Yemen limefanikiwa kuzitungua droni kadhaa za muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia zilizokuwa zikitekeleza operesheni za hujuma katika maeneo mbalimbali ya ardhi ya Yemen. Msemaji wa vikosi…

Usambazaji wa silaha 10,000 na maagizo ya uhamasishaji wa raia

Usambazaji wa silaha 10,000 na maagizo ya uhamasishaji wa raia

Maafisa wa Ukraine wanasambaza bunduki kwa raia, na mapigano makali yanaendelea katika baadhi ya miji ya mpakani. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Fars ; Takriban ndani ya masaa 18 baada ya kuanza kwa operesheni maalum ya kijeshi ya Urusi katika eneo la Denbas, maafisa wa Ukraine walisambaza bunduki kwa raia, na…

Umoja wa Afrika waamuru kusitishwa kwa mgogoro wa Ukraine

Umoja wa Afrika waamuru kusitishwa kwa mgogoro wa Ukraine

Umoja wa Afrika umetoa mwito wa kusimamishwa haraka iwezekanavyo mgogoro wa Ukraine. Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, ambaye pia ni Rais wa Senegal Macky Sall, pamoja na Mwenyekiti wa Kamisheni ya AU, Moussa Faki Mahamat wametangaza kusikitishwa kwao na vita baina ya Russia na Ukraine huko mashariki mwa Ulaya. Taarifa ya viongozi hao iliyotolewa na…

Zelensky atoa wito kwa Putin wazungumze

Zelensky atoa wito kwa Putin wazungumze

Rais wa Ukraine alimtaka mwenzake wa Urusi wakae kwa ajili ya mazungumzo. Katika ujumbe wa video uliotumwa kwenye chaneli yake ya Telegram, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelinsky alimwalika mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin, kwa ajili ya kufanya mazungumzo. Zelensky alinukuliwa na Sputnik ; “Ninataka kumwomba Rais wa Shirikisho la Urusi kwa mara nyingine tena tukae…

Watu 137 wauawa katika siku ya kwanza ya vita vya Ukraine

Watu 137 wauawa katika siku ya kwanza ya vita vya Ukraine

Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amesema kuwa, watu 137 wameuawa katika siku ya kwanza tu ya vita vya Russia nchini mwake. limemnukuu Zelenskyy akisema hayo mapema leo Ijumaa na kuongeza kuwa, tangu vilipoanza vita vya pande zote za Russia dhidi ya nchi yake, watu 137 wameshauawa na 306 wamejeruhiwa katika kipindi cha chini ya masaa…

Antonio Guterres: Tutajitahidi kutatua mgogoro wa Ukraine bila umwagaji zaidi wa damu

Antonio Guterres: Tutajitahidi kutatua mgogoro wa Ukraine bila umwagaji zaidi wa damu

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema ofisi yake inafanya jitihada zote ili kutatua mgogoro wa Ukraine bila umwagaji zaidi wa damu. Akizungumza mjini New York, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameongeza kuwa, kuna haja ya kukutana na kukabiliana na changamoto hii pamoja kwa ajili ya amani, na kuokoa watu wa Ukraine…