Ubeberu wa kimataifa

Malengo ya safari ya Rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Imarati, ni yapi ?

Malengo ya safari ya Rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Imarati, ni yapi ?

Isaac Herzog, rais wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, jana Jumapili tarehe 30 Januari aliwasili mjini Abu Dhabi katika safari ya kwanza rasmi ya kuutembelea Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati. Safari ya Herzog nchini Imarati ni ya kwanza kufanywa na rais wa utawala wa Kizayuni katika nchi hiyo ya Kiarabu. Kabla ya kuelekea huko,…

Harakati za pembetatu za Saudia, UAE na utawala wa Kizayuni dhidi ya Yemen zazidi kuongezeka

Harakati za pembetatu za Saudia, UAE na utawala wa Kizayuni dhidi ya Yemen zazidi kuongezeka

Shambulizi lililofanywa hivi majuzi la makombora na ndege zisizo na rubani za jeshi la Yemen na harakati ya Ansarullah dhidi ya Imarati limeonyesha kuwa harakati za pembetatu ya Saudi Arabia, Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Yemen zimeongezeka. Shambulizi hilo lilifanyika kujibu jinai na uhalifu unaoendelea kufanywa na Saudia Arabia na washirika…

Makabiliano makali kati ya majeshi ya Wananchi wa Yemen na muungano wa Saudia katika mkoa wa Shabwa

Makabiliano makali kati ya majeshi ya Wananchi wa Yemen na muungano wa Saudia katika mkoa wa Shabwa

‘Wadi al-Nahr’sehemu ipatikanayo katika eneo la Bayhan magharibi mwa mkoa wa Shabwa wa Yemen leo hii imeshuhudia makabiliano makali kati ya vikosi vya jeshi na Kamati za Wananchi wa Yemen kwa upande mmoja, na washiriki wa UAE kwa uungaji mkono wa Jeshi la Wanahewa la Saudia wakiwa upande mwingine. Mashambulizi ya anga ya muungano wa…

Marekani yajipanga kutumia meli zisizo na nahodha katika eneo la Asia Magharibi

Marekani yajipanga kutumia meli zisizo na nahodha katika eneo la Asia Magharibi

Kamanda wa manowari ya tano ya Marekani (FIFTH Fleet), kikosi hicho kinalenga kupanua wigo wa utumiaji meli zisizo na nahodha na zinazojiendesha zenyewe katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati). Brad Cooper amesema, jeshi la majini la Marekani linajiandaa kutumia meli zisizo na nahodha katika eneo la Asia Magharibi kwa ajili ya kuifanyia kazi…

Naibu Kamanda wa Jeshi Asuta Vitisho vya Kijeshi vya Israeli

Naibu Kamanda wa Jeshi Asuta Vitisho vya Kijeshi vya Israeli

TEHRAN – Naibu Kamanda wa Jeshi la Iran Brigedia Jenerali Mohammad Hossein Dadras alipuuza vitisho vya kijeshi vya Israeli dhidi ya taifa lake, lakini wakati huo huo alionya juu ya jibu kali la Iran kwa hatua yoyote ya kipumbavu ya Tel Aviv. Utawala wa Kizayuni wa Israel hauwezi kuwa sawa na Iran madarakani, Jenerali Dadras…

Kamanda wa IRGC: Hakuna Maeneo Salama kwa Maadui

Kamanda wa IRGC: Hakuna Maeneo Salama kwa Maadui

TEHRAN – Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Meja Jenerali Hossein Salami amesema kuwa, maadui wa Iran wamedhoofika sana na wameshindwa kiasi kwamba hakuna eneo salama lililobaki kwao. “Sisi ni washindi leo na hivi ndivyo ukweli ulivyo uwanjani,” Jenerali Salami alisema, akihutubia katika hafla huko Tehran Jumapili jioni. “Leo hii, mapanga…

Ushindi wa Abu Hawash baada ya kushikwa mateka kwa siku 141 za vita “bila ya chochote tumboni”

Ushindi wa Abu Hawash baada ya kushikwa mateka kwa siku 141 za vita “bila ya chochote tumboni”

Shirika la habari la Palestina lilizungumza na Shirika la Habari la Ma’an kuhusu kesi ya Hisham Abu Hawash, ambaye alikuwa kwenye mgomo wa kula kwa siku 141, ilifungwa baada ya shinikizo kubwa kwa nchi ya Israeli. Shirika hilo lilisisitiza kuwa, makubaliano yalifikiwa kuashiria kwamba Abu Hawash ataachiliwa huru Februari tarehe 26 bila kuongezwa muda na…

Amerika, EU Waonya Wanajeshi Wa Sudan Dhidi Ya Kutwaa Uwaziri Mkuu

Amerika, EU Waonya Wanajeshi Wa Sudan Dhidi Ya Kutwaa Uwaziri Mkuu

AMERIKA, Uingereza, Norway na Umoja wa Ulaya (EU) zimeonya vikali wanajeshi wa Sudan dhidi ya kuteua mwanajeshi kuwa waziri mkuu kufuatia kujiuzulu kwa kiongozi wa kiraia Abdallah Hamdok wiki iliyopita. Mataifa hayo, kupitia taarifa ya pamoja, jana yalisema kuwa hayataunga mkono waziri mpya iwapo atakuwa mwanajeshi. Mataifa hayo yalitoa wito wa kuendelea kwa maandalizi ya…