Ubeberu wa kimataifa

Jenerali Qaani: Waliomuua Jenerali Qasim Soleimani hawatawahi kuwa katika amani na usalama

Jenerali Qaani: Waliomuua Jenerali Qasim Soleimani hawatawahi kuwa katika amani na usalama

Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC alisema:Leo hii, ikiwa kauli mbiu ni kuifikia Quds Tukufu na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tutafika, na lengo hili ni lengo lenye uhakika. Na lengo letu kuu katika hatua hii ni kuifikia serikali ya ulimwengu ya Hazrat Mahdi (as) na kufikia uwepo wenye baraka wa Imamu wa Zama,…

Waislamu Marekani watoa wito wa kukomeshwa ujasusi dhidi ya jamii yao

Waislamu Marekani watoa wito wa kukomeshwa ujasusi dhidi ya jamii yao

Kundi kubwa la kutetea haki za Waislamu nchini Marekani limetoa wito wa kusitishwa ujasusi unaofanya dhidi ya jamii ya wafuasi wa dini hiyo na kuchukuliwa hatua kali kwa wahusika wa vitendo hiyo. Ni baada ya kufichuliwa habari zaidi za ujasusi unaofanywa dhidi ya taasisi za Kiislamu za Marekani ikiwemo misikiti ambazo zinakabidhiwa kwa makundi yanayopiga…

Iran Yalaani Mashambulizi ya Israel dhidi ya Latakia ya Syria

Iran Yalaani Mashambulizi ya Israel dhidi ya Latakia ya Syria

TEHRAN (FNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesikitishwa na mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya maghala ya chakula na dawa huko Latakia ya Syria, na kuutaja utawala wa Kizayuni kuwa chanzo cha ukosefu wa utulivu katika eneo hilo. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Saeed Khatibzadeh mnamo Jumatano…

Baqeri Kani: Hatua kadhaa katika suala la uondoaji vikwazo

Baqeri Kani: Hatua kadhaa katika suala la uondoaji vikwazo

Ali Bagheri Kani, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na ambaye ni kiongozi wa ujumbe wa Iran katika mazungumzo ya nyuklia ya JCPOA amesema; kutokana na mazungumzo ya karibuni mjini Vienna, zimepigwa hatua nzuri katika suala la uondoaji vikwazo. Bw. Kani katika mazungumzo ya Vienna amesema kuwa; katika kipindi…

Kuondolewa vikwazo Iran; siri ya mafanikio ya mazungumzo ya Vienna

Kuondolewa vikwazo Iran; siri ya mafanikio ya mazungumzo ya Vienna

Mazungumzo ya nyuklia ya Iran na kundi la 4+1 linaloundwa na mataifa ya Russia, China, Uingereza, Ufaransa pamoja Ujerumani yaliendelea tena leo huko Vienna Austria maudhui kuu ikiwa ni suala la kuondolewa vikwazo na kutilia mkazo mapendekezo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu masuala mawili muhimu, yaani uhakika kwamba vikwazo vimeondolewa na dhamana yake….

Iran yasikitishwa na mauaji yaliyofanywa na magaidi Burkina Faso

Iran yasikitishwa na mauaji yaliyofanywa na magaidi Burkina Faso

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametangaza kufungamana na familia za raia wa Burkina Faso ambao waliuawa katika hujuma ya kigaidi hivi karibuni. Katika taarifa leo Jumatatu, Saeed Khatibzadeh Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amebainisha masikitiko yake makubwa kutokana na kupoteza maisha raia wa Burkina Faso katika hujuma…

Jeshi la Yemen: Mkoa wa al Jawf umeshakombolewa kikamilifu

Jeshi la Yemen: Mkoa wa al Jawf umeshakombolewa kikamilifu

Msemaji wa Jeshi la Yemen amesema kuwa, mkoa wa al Jawf wa nchi hiyo umeshakombolewa kikamilifu kilichobakia ni mabaki ya hapa na pale tu ya wavamizi na mamluki wao. Brigedia Jenerali Yahya Saree amesema hayo na kuongeza kuwa, vikosi vya ulinzi vya Yemen vimeendesha operesheni ya Fajr al Swahra (Mapambazuko ya Jangwani) na kufanikiwa kukomboa…

Rais wa Lebanon Aoun atoa wito wa kufanyika kwa mazungumzo ‘ya dharura’ ya kitaifa

Rais wa Lebanon Aoun atoa wito wa kufanyika kwa mazungumzo ‘ya dharura’ ya kitaifa

Beirut, Lebanon – Rais wa Lebanon Michel Aoun ametoa wito wa kufanyika kwa mazungumzo ya “haraka” ya kitaifa kati ya vyama tawala vya nchi hiyo huku akilaani miezi kadhaa ya kupooza kisiasa serikalini. “Uvurugaji wa kimakusudi, wa kimfumo na usio na msingi unaosababisha kuvunjika kwa taasisi na serikali lazima ukome,” Aoun alisema katika hotuba ya…