Ubeberu wa kimataifa

Mahakama: Ni kinyume cha sheria kwa UK kuwapeleka Rwanda watafuta hifadhi

Mahakama: Ni kinyume cha sheria kwa UK kuwapeleka Rwanda watafuta hifadhi

Mahakama ya Juu ya Uingereza imesema mpango wa serikali ya London wa kuwapeleka nchini Rwanda wakimbizi na waomba hifadhi walioko nchini humo unakiuka sheria. Mahakama hiyo imetoa uamuzi huo leo Jumatano ikisisitiza kuwa, mpango huo unawaweka katika hali hatarishi wakimbizi hao, hasa kwa kuzingatia kuwa baadhi yao waliikimbia nchi yao ya Rwanda na kuwarejesha huko…

Siku ya 40 baada ya operesheni ya kimbunga cha Al-Aqsa / idadi ya mashahidi kupitia uvamizi wa utawala wa Kizayuni nchini Palestina yafikia elfu 11 / askari wa utawala wa Kizayuni wawasili katika hospitali ya al-Shifa huko Ghaza.

Siku ya 40 baada ya operesheni ya kimbunga cha Al-Aqsa / idadi ya mashahidi kupitia uvamizi wa utawala wa Kizayuni nchini Palestina yafikia elfu 11 / askari wa utawala wa Kizayuni wawasili katika hospitali ya al-Shifa huko Ghaza.

Jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina, K.M.V mashambulizi katika maeneo ya makazi, na vilevile hospitali bado zinaendelea katika siku ya 40 baada ya operesheni ya kimbunga cha Al-Aqsa, kiasi kwamba wanajeshi wa Kizayuni wakiwa chini ya wingu kubwa la mashambulizi ya anga waliingia katika hospitali ya al-Shifa iliyoko Ghaza baada ya siku…

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Ulimwenguni: Kila dakika 10 mtoto huuawa huko Gaza

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Ulimwenguni: Kila dakika 10 mtoto huuawa huko Gaza

Huku akieleza kuwa katika hali ya wastani mtoto mmoja huuawa kila dakika katika Ukanda wa Gaza, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani alionya kuwa hakuna sehemu yoyote Gaza iliyo salama na hakuna aliye salama. Mkurugenzi Mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus ameliambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Ijumaa kwamba wastani…

Kukataa kwa mawaziri wa mambo ya nje wa Kundi la G7 katika kuomba kusitishwa kwa mapigano mjini Gaza

Kukataa kwa mawaziri wa mambo ya nje wa Kundi la G7 katika kuomba kusitishwa kwa mapigano mjini Gaza

Mawaziri wa mambo ya nje wa kundi la G7 walisema katika taarifa kwamba wanaunga mkono kusitishwa kwa mapigano ya kibinadamu huko mjini Gaza, lakini walijizuia kutoa wito wa kusitishwa kwa mapigano hayo. Mawaziri wa mambo ya nje wa G7 walisema katika taarifa siku ya Jumatano kwamba wanaunga mkono kusitishwa kwa misaada ya kibinadamu katika mzozo…

Ufaransa yaimarisha hatua za usalama kwa Wayahudi

Ufaransa yaimarisha hatua za usalama kwa Wayahudi

Katika kipindi hiki ambapo nchi nyingi za Magharibi zinaendelea kuunga mkono utawala wa Kizayuni, Rais wa Ufaransa ameamuru kutumwa kwa askari 10,000 wa polisi ili kulinda maeneo ya Mayahudi nchini humo. “Gerald Darmanin”, ambaye ni Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa, huku akionya kuhusu ongezeko la vitendo vya hujuma dhidi ya Wayahudi katika nchi…

Njama ya pamoja ya Washington-Tel Aviv ya kuwaondoa Hamas mamlakani

Njama ya pamoja ya Washington-Tel Aviv ya kuwaondoa Hamas mamlakani

Bloomberg ilifichua njama za utawala wa Kizayuni na Marekani za kutaka kuwaondoa Hamas madarakani na kupeleka vikosi vya kulinda amani huko Ghaza. Utawala wa Kizayuni kwa dhana ya kuangamiza harakati ya Hamas, umekuwa ukiendelea kuushambulia Ukanda wa Gaza kwa muda wa siku 26 na kuua maelfu ya Wapalestina, na hauko tayari kutoa wito wa kusitishwa…

Rabi wa Kiyahudi: Tunaomba kwa ajili ya kuangamia kwa Israeli

Rabi wa Kiyahudi: Tunaomba kwa ajili ya kuangamia kwa Israeli

Rabi mmoja wa Marekani ambaye ni mwanachama wa harakati ya chuki dhidi ya Uzayuni anasema: Utawala wa Kizayuni ulianzisha serikali yake kwa kuwaibia Waarabu.Sisi Mayahudi wa kidini tunamuomba Mwenyezi Mungu kila siku kwa ajili ya mwisho wa haraka wa Israel. Rabi huyo wa Israel ajulikanaye kama David Weiss, ambaye ni mjumbe wa shirika la kimataifa…

Kuidhinisha zana muhimu ya ulimwengu wa Kiislamu dhidi ya utawala wa Kizayuni

Kuidhinisha zana muhimu ya ulimwengu wa Kiislamu dhidi ya utawala wa Kizayuni

Wataalamu wa masuala ya uchumi wa nchi za Kiarabu wanaamini kuwa, vikwazo dhidi ya utawala wa Kizayuni na waungaji mkono wake vinapaswa kuwa vya kina na vya muda mrefu na kuwa kanuni na utamaduni wa jumla wa kuunga mkono kadhia ya Palestina. Gazeti la Al-Siyasah la Kuwait liliandika kuwa idadi kadhaa ya raia na wachumi…