Uchambuzi wa Kisiasa

Je, utawala wa Kizayuni unakaribia malengo yake kwa kitendo cha ugaidi?! Vyombo vya habari vya Israeli vinajibu

Je, utawala wa Kizayuni unakaribia malengo yake kwa kitendo cha ugaidi?! Vyombo vya habari vya Israeli vinajibu

Baada ya kuuawa Ismail Haniyeh, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas mjini Tehran, vyombo vya habari vya Israel vimechunguza iwapo mauaji hayo yameufanya utawala huo kuwa karibu na malengo yake tangu kuanza kwa vita dhidi ya Ghaza, yaani kuangamizwa Hamas. Kwa mujibu wa ripoti ya Al-Alam, ikinukuu Al Jazeera, vyombo vya habari vya utawala…

Tume ya uchaguzi nchini Uganda yatangaza tarehe ya uchaguzi mkuu wa 2026

Tume ya uchaguzi nchini Uganda yatangaza tarehe ya uchaguzi mkuu wa 2026

Tume ya Uchaguzi ya Uganda (EC) imetangaza ramani ya uchaguzi iliyorekebishwa ikitangaza tarehe ya uchaguzi wa rais na wabunge wa 2026. Jaji Simon Byabakama, mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi  amesema uteuzi wa wagombea urais na ubunge utafanywa kati ya Septemba 17 na Oktoba 3, 2025. Byabakama alisema kampeni hizo zitaanza wiki ya pili ya Oktoba…

Watu watatu wameuawa nchini Nigeria katika maandamano ya kupinga gharama kubwa ya maisha

Watu watatu wameuawa nchini Nigeria katika maandamano ya kupinga gharama kubwa ya maisha

Takriban waandamanaji watatu wameuawa katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria siku ya Alhamisi, katika maandamano ya kupinga kupanda kwa gharama ya maisha na utawala mbovu. Msemaji wa polisi wa jimbo la Kaduna, Mansur Hassan, amesema polisi waliwarushia waandamanaji mabomu ya kutoa machozi na sio risasi za moto. Pia polisi walifyatua gesi ya kutoa machozi katika…

Kinyang’anyiro cha Israeli Afrika: Uuzaji maji, silaha na uwongo

Kinyang’anyiro cha Israeli Afrika: Uuzaji maji, silaha na uwongo

Israel inajaribu kuandika historia upya kwa malengo ya kugusa mioyo ya Waafrika wa kawaida, Je itafanikiwa? Kwa miaka mingi, Kenya imetumika kama lango la Israeli kwa Afrika. Israel imekuwa ikitumia uhusiano mkubwa wa kisiasa, kiuchumi na kiusalama kati ya mataifa hayo mawili kama njia ya kupanua ushawishi wake katika bara hilo na kuyageuza mataifa mengine…

Huyu ndiye Ismail Haniyeh, Kiongozi Mkuu wa Kisiasa wa HAMAS aliyeuawa shahidi Tehran

Huyu ndiye Ismail Haniyeh, Kiongozi Mkuu wa Kisiasa wa HAMAS aliyeuawa shahidi Tehran

Jumanne usku ya tarehe 30 Julai 2024, Ismail Haniyeh Kiongozi wa Tawi la Kisiasa la Harakati ya HAMAS ameuawa shahidi akiwa na mlinzi wake mmoja hapa Tehran. Ufuatao hapa chini ni wasifu kwa muhtasari wa maisha yake. Ismail Haniyeh alizaliwa mwaka 1962 katika kambi moja ya wakimbizi ya Ukanda wa Ghaza. Ukata na njaa iliyotokana…

Afisa wa zamani wa CIA: Mauaji ya Haniyeh yalifanywa kwa ujuzi na msaada wa Amerika na Uingereza

Afisa wa zamani wa CIA: Mauaji ya Haniyeh yalifanywa kwa ujuzi na msaada wa Amerika na Uingereza

Afisa huyo mstaafu wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) akielezea juu ya kuuawa shahidi Ismail Haniyeh, kiongozi wa kisiasa wa Hamas, kuwa ni kuvuka mstari mwekundu na kuongeza kuwa mauaji haya yalitekelezwa kwa ujuzi na uungaji mkono wa Uingereza na Marekani. Larry Johnson alisisitiza katika sehemu nyingine ya mahojiano haya: “Nasema hivi kwa sababu…

Rwanda na DRC zakubaliana kusitisha mapigano mashariki mwa Congo

Rwanda na DRC zakubaliana kusitisha mapigano mashariki mwa Congo

Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Rwanda wamefikia makubaliano ya kusitisha mapigano mashariki mwa DRC kuanzia Agosti 4 ya mwezi ujao katika mkutano uliofanyika mjini Luanda Angola. Hayo yametangazwa na ofisi ya rais wa Angola, nchi ambayo imekuwa mpatanishi katika duru kadhaa za mazungumzo ya kumaliza uhasama kati ya…

Maoni ya Ikulu ya White House kuhusiana na mauaji ya Ismail Haniyeh

Maoni ya Ikulu ya White House kuhusiana na mauaji ya Ismail Haniyeh

Msemaji wa Ikulu ya Marekani ametangaza kuwa taasisi hiyo iliarifiwa kuhusu kuuawa shahidi Ismail Haniyeh, kiongozi wa kisiasa wa Hamas mjini Tehran, lakini ikakataa kutoa maelezo zaidi. Kwa mujibu wa ripoti ya IRNA kutoka CNN siku ya Jumatano, baada ya kuuawa Ismail Haniyeh na kuuawa shahidi, msemaji wa Ikulu ya White House alisema kuwa Ikulu…