Uchambuzi wa Kisiasa

Sheikh Juma Ngao amshauri Rais Ruto kutokana na kujihusisha na mambo ya Kundi la Wahouthi

Sheikh Juma Ngao amshauri Rais Ruto kutokana na kujihusisha na mambo ya Kundi la Wahouthi

Kenya imeonywa dhidi ya kuingilia mzozo wa Yemen unaohusisha vikosi vya serikali na kundi la Wahouthi. Akizungumza mjini Mombasa siku ya Alhamisi, mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Waislamu Kenya (KEMNAC) Sheikh Juma Ngao, alisema hatua hiyo itaweka Kenya katika hatari na hatari kubwa kutoka kwa waasi. Alisema Kenya imekuwa na uhusiano wa karibu na…

Mahojiano ya Rais William Ruto: Kenya ina nafasi gani katika jukwaa la kimataifa?

Mahojiano ya Rais William Ruto: Kenya ina nafasi gani katika jukwaa la kimataifa?

Redi Tlhabi anajadili jukumu la Kenya kama mshirika wa Marekani na mshirika wa usalama na Rais William Ruto. Rais wa Marekani Joe Biden alimkaribisha Rais wa Kenya William Ruto katika ziara ya kwanza rasmi ya rais wa Afrika tangu 2008. Viongozi hao wawili walijadili ushirikiano wa kina kuhusu uwekezaji wa Marekani katika biashara ya Kenya,…

Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa mapinduzi kwa wanafunzi wa Marekani wanaounga mkono taifa madhulumu la Palestina

Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa mapinduzi kwa wanafunzi wa Marekani wanaounga mkono taifa madhulumu la Palestina

Kulingana na Rais wa Chuo Kikuu cha Amir Kabir, Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuunga mkono harakati za wanafunzi wa Marekani wanaounga mkono taifa la Palestina ni jambo lenye kuwapa nguvu na kuwatia moyo wale wapenda uhuru. Makundi ya muqawama ya Palestina yalianzisha operesheni ya kushtukiza maarufu kama kimbunga…

Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya washirika wa Wagner katika Afrika ya Kati

Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya washirika wa Wagner katika Afrika ya Kati

Wizara ya Fedha ya Marekani ilitangaza Alhamisi kwamba imeziweka kampuni mbili za Jamhuri ya Afrika ya Kati kwenye orodha yake ya vikwazo. kampuni hizo zimekua na uhusiano na Kundi la Russia la Wagner. Kwa mujibu wa taarifa ya Idara ya Hazina ya Marekani, makampuni haya mawili yenye majina ya Saarlo Mining Industries na Saarlo Economic…

Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo lazima jaribio la waasi wa M23

Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo lazima jaribio la waasi wa M23

Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetangaza kuwa, limezima jaribio jengine la waasi wa M23 la kuutwaa mji wa Sake ulioko Kivu Kaskazini, wakati mapigano yakiripotiwa kwenye miji mingine ya Rutshuru na Lubero. Taarifa zaidi zinasema kuwa, mizinga na aina nyingine za kombora zilitumiwa na pande zote mbili, huku jeshi la serikali likivurumisha mabomu…

Marekani, Umoja wa Ulaya Waichagua Kenya Kujiunga Katika Mapambano Dhidi ya wa Houthi

Marekani, Umoja wa Ulaya Waichagua Kenya Kujiunga Katika Mapambano Dhidi ya wa Houthi

Marekani na Umoja wa Ulaya zaichagua Kenya kujiunga na Ushelisheli katika kukabiliana na washukiwa wa baharini kando ya Bahari ya Hindi. Hii ni baada ya nchi kadhaa kuzua taharuki kutokana na vitisho vinavyotolewa na kundi la wa Houthi kutoka nchini Yemen na wengine kutoka Somalia. Kulingana na Jeshi la Wanamaji la Umoja wa Ulaya, Kenya…

Mashauriano ya nchi za Umoja wa Ulaya kuhusu vikwazo dhidi ya utawala wa Kizayuni

Mashauriano ya nchi za Umoja wa Ulaya kuhusu vikwazo dhidi ya utawala wa Kizayuni

Israel kuwekewa vikwazo na Umoja wa Ulaya kutokana na jinai zake Rafah Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ireland amesema kuwa, kwa mara ya kwanza Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Umoja wa Ulaya wamejadili kwa kina uwezekano wa kuuwekea vikwazo utawala wa Kizayuni iwapo hautatekeleza amri ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) ya…

Polisi wa Uingereza wamewakamata waandamanaji wanaounga mkono Palestina

Polisi wa Uingereza wamewakamata waandamanaji wanaounga mkono Palestina

Maandamano ya wanafunzi wa Marekani na Ulaya ya kusitisha uchokozi wa utawala ghasibu wa Israel katika ukanda wa Ghaza na kukata uhusiano wa kielimu na vyuo vikuu vya utawala huo ghasibu kwa mabavu yanaendelea. Licha ya mapigano hayo na kukamatwa kwao, hali iliyopelekea kupigwa marufuku kuendelea na masomo, wanafunzi hao walisisitiza kuwa maandamano hayo yameongeza…