Uchambuzi wa Kisiasa

Mwisho Wa Lami Kwa Sonko Kisiasa

Mwisho Wa Lami Kwa Sonko Kisiasa

CHAMA cha Wiper kimepata pigo kubwa baada ya Tume ya Uchaguzi (IEBC) kumzima aliyekuwa gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko kuwania kiti hicho katika Kaunti ya Mombasa. Kwenye kikao na wanahabari katika ukumbi wa Bomas of Kenya, Nairobi, Jumamosi, mwenyekiti wa tume hiyo Wafula Chebukati alisema Bw Sonko hajahitimu kuwania kiti chochote cha umma kwa…

Putin aionya Ukraine isijaribu kumiliki makombora ya masafa marefu

Putin aionya Ukraine isijaribu kumiliki makombora ya masafa marefu

Rais Vladimir Putin wa Russia ameionya Ukraine kuwa itakabiliwa na mashambulio makali zaidi iwapo itathubutu kupokea makombora ya masafa marefu kutoka nchi za Magharibi. Akiungumza katika mahojiano na Televisheni ya Russia 1 leo Jumapili, Rais Putin ameashiria uwezekano wa Ukraine kupokea makombora ya masafa marefu na kusema: “Iwapo itakabidhiwa makombora hayo, basi tutatumia silaha zetu,…

Ruto Aidhinishwa Rasmi Na IEBC Kuwania Urais

Ruto Aidhinishwa Rasmi Na IEBC Kuwania Urais

FARAAN: NAIBU Rais Willam Ruto Jumamosi ameidhinishwa kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9, 2022. Hii ni mara ya kwanza kwa mwanasiasa huyo ambaye alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa Mbunge wa Eldoret Kaskazini mnamo 1997, kujitosa rasmi katika kinyang’anyiro cha urais nchini. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati…

Kuongezeka kwa Umri wa kisheria wa ununuzi na umiliki wa silaha ya bunduki katika Jimbo la New York

Kuongezeka kwa Umri wa kisheria wa ununuzi na umiliki wa silaha ya bunduki katika Jimbo la New York

Wabunge wa jimbo la New York wamepitisha mswada wa kupiga marufuku uuzaji wa silaha za nusu-otomatiki kwa watu walio na umri wa chini ya miaka 21 Mswada huo unakuja chini ya wiki tatu baada ya mvulana wa miaka 18 kushambulia duka moja huko Buffalo, New York, na kuua watu 10, wengi wao wakiwa weusi. Seneti…

Pop Francis: Tunayakubali mazungumzo ya kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Pop Francis: Tunayakubali mazungumzo ya kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Katika kujibu ujumbe wa Kiongozi huyo Muadhamu wa Mapinduzi, Pop Francis amesema yafuatayo; “Salamu kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na wale viongozi wa kidini wa Iran; Vile vile sisi tunayakubali yale  ayasemayo kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu. Ayatollah A’rafi, mkurugenzi wa seminari hiyo, aliwasilisha ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kwa Pop…

Shambulio la roketi dhidi ya wanajeshi wa Marekani katika kambi ya Ayn al-Assad

Shambulio la roketi dhidi ya wanajeshi wa Marekani katika kambi ya Ayn al-Assad

Duru za Iraq zinasema kuwa roketi kadhaa zilirushwa katika kambi ya Ain al-Assad nchini Iraq, zikitaja milipuko kadhaa. Baadhi ya vyombo vya habari vya Iraq viliripoti Jumanne asubuhi kwamba milipuko ya kutisha ilisikika katika kambi ya Ain al-Assad, kambi ya kijeshi ya Marekani katika mkoa wa Anbar. Ripoti ambazo hazijathibitishwa zinaonyesha shambulio la kombora lililokuwa…

Balozi wa Iran atoa Pongezi kwa bunge la Iraq kwa kupitisha sheria inayoharamisha uhusiano na utawala wa Kizayuni

Balozi wa Iran atoa Pongezi kwa bunge la Iraq kwa kupitisha sheria inayoharamisha uhusiano na utawala wa Kizayuni

Balozi mpya wa Iran nchini Iraq, Mohammad Kazem al-Sadegh, amewapongeza wabunge wa Bunge la Iraq kwa kuipigia kura sheria inayoharamisha uhusiano na utawala ghasibu wa Kizayuni. Al-Sadegh aliandika katika ukurasa wake wa kibinafsi wa Twitter: “Tunawapongeza wawakilishi wa taifa ndugu la Iraq katika bunge kwa kuipigia kura sheria ya kihistoria inayoharamisha uhusiano na utawala huo…

Rasmi; Kurejesha uhusiano na utawala wa Kizayuni imekuwa ni kosa la jinai nchini Iraq, Bunge la Iraq lapitisha kwa kauli moja !

Rasmi; Kurejesha uhusiano na utawala wa Kizayuni imekuwa ni kosa la jinai nchini Iraq, Bunge la Iraq lapitisha kwa kauli moja !

kwa mujibu wa Shirika la Kimataifa la Habari la Fars, kurejeshwa kwa uhusiano na utawala wa Kizayuni imekuwa jinai nchini Iraq na Bunge la Iraq mnamo siku ya Alhamisi Tar. 26 Mei, limepitisha kwa kauli moja sheria inayoharamisha uhusiano na utawala wa Kizayuni. Rasmi; Kurejeshwa kwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Iraq kumekuwa jinai…