Uchambuzi wa Kisiasa

Raisi awasili nchini Qatar, na kulakiwa na Emir mjini Doha

Raisi awasili nchini Qatar, na kulakiwa na Emir mjini Doha

Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo amewasili mji mkuu wa Qatar, Doha na kulakiwa na kiongozi wa nchi hiyo, Emir Tamim bin Hamad al-Thani. Baada ya kulakiwa rasmi katika uwanja wa ndege, viongozi hao wawili wamefanya mazungumzo kuhusu masuala ya uhusuano wa nchi mbili, kieneo na kimataifa. Katika safari hiyo ya…

Mali imeitaka Ufaransa kuwaondoa askari wake walioko nchini haraka iwezekanavyo

Mali imeitaka Ufaransa kuwaondoa askari wake walioko nchini haraka iwezekanavyo

Serikali ya mpito ya Mali imeitaka Ufaransa kuwaondoa bila kuchelewa askari wake wa operesheni Barkhane na Takuba nchini Mali. Takwa hilo la Mali linakuja masaa machache tu baada ya tangazo la Rais Emmanuel Macron na washirika wake la kuwaondoa askari wa nchi zao kutoka Mali katika miezi michache ijayo. Akitangaza uamuzi huo kupitia televisheni ya…

Nigeria ; Waislamu waandamana kulaani mauaji ya kimbari nchini Yemen na jinai za muungano vamizi uliopo chini ya uongozi wa Saudi Arabia

Nigeria ; Waislamu waandamana kulaani mauaji ya kimbari nchini Yemen na jinai za muungano vamizi uliopo chini ya uongozi wa Saudi Arabia

Katika kuitikia wito wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Waislamu nchini Nigeria wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Abuja, kulaani jinai za muungano vamizi unaoongozwa na utawala wa Saudi Arabia ambao umeendelea kutenda jinai na mauaji ya kimbari nchini Yemen. Waandamanaji hao wakiwa wamebeba mabango na maberamu yenye jumbe mbalimbali wametangaza himaya na uungaji…

Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini: Hivi karibuni tutachukua hatua dhidi ya ubaguzi wa rangi wa Israel

Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini: Hivi karibuni tutachukua hatua dhidi ya ubaguzi wa rangi wa Israel

Faraan : Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini alikosoa vikali utawala huo ghasibu na ubaguzi wake wa rangi dhidi ya Wapalestina. Kulingana na Fars News Agency International Group; Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Nalidi Bandur katika hotuba yake mbele ya bunge aliukosoa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa uvamizi wake…

HAMAS yatoa jibu kwa Australia : HAMAS ni harakati ya kitaifa ya ukombozi inayopambana dhidi ya madhalimu kwa mujibu wa sheria za kimataifa

HAMAS yatoa jibu kwa Australia : HAMAS ni harakati ya kitaifa ya ukombozi inayopambana dhidi ya madhalimu kwa mujibu wa sheria za kimataifa

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani vikali hatua ya serikali ya Australia ya kuitambua harakati hiyo ya muqawama inayopigania ukombozi wa Palestina kuwa ni kundi na kigaidi. Taarifa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS  ikmesisitiza kuwa, Israel ndio inayopaswa kutangazwa kuwa utawala wa kigaidi kutokana na jinai zake za kila…

Ali Khamenei : Uongozi wa Muqawama Asia Magharibi wayakata makali majigambo ya ubeberu

Ali Khamenei : Uongozi wa Muqawama Asia Magharibi wayakata makali majigambo ya ubeberu

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, muqawama unaokua na kuzidi kupata nguvu katika eneo la Asia Magharibi umesambaratisha kiburi na majigambo ya ubeberu. Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema hayo leo sambamba na kukaribia kumbukumbu ya harakati ya kihistoria ya wananchi wa Tabriz ya 29 Bahman 1356 Hijria Shamshia (18 Februari 1978) wakati alipozungumza kwa…

Muungano vamizi wazidi kushambulia mji mkuu Sana’a na miji mingine

Muungano vamizi wazidi kushambulia mji mkuu Sana’a na miji mingine

Muungano vamizi unaoongozwa na Saudia na Imarati unaendelea kufanya jinai dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa nchi ya Kiarabu ya Yemen. Tangu mwezi Machi 2015 hadi hivi sasa, kila siku wananchi wasio na hatia wa Yemen wanamiminiwa mabomu na makombora na wavamizi wa nchi yao wanaoongozwa na Saudi Arabia na Umoja wa Falme za…

Mwamko na vuguvugu la watu wa Bahrain dhidi ya utawala wa Al Khalifa,  kumbukumbu ya miaka 11

Mwamko na vuguvugu la watu wa Bahrain dhidi ya utawala wa Al Khalifa, kumbukumbu ya miaka 11

Februari 14, 2022 inasadifiana na kumbukumbu ya miaka 11 ya mwamko na vuguvugu la watu wa Bahrain dhidi ya utawala wa Al Khalifa.Mchambuzi wa mambo kutoka  Marekani, Graham Fuller ameangazia hali ya Waislamu wa Bahrain na kusema: “Waislamu wa Bahrain ni watu waliosahauliwa.”  Mtazamo huu kuhusu Waislamu wa Bahrain umeonekana waziwazi katika miaka 11 iliyopita. Watu…