Uchambuzi wa Kisiasa

Kamanda wa IRGC: Hakuna Maeneo Salama kwa Maadui

Kamanda wa IRGC: Hakuna Maeneo Salama kwa Maadui

TEHRAN – Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Meja Jenerali Hossein Salami amesema kuwa, maadui wa Iran wamedhoofika sana na wameshindwa kiasi kwamba hakuna eneo salama lililobaki kwao. “Sisi ni washindi leo na hivi ndivyo ukweli ulivyo uwanjani,” Jenerali Salami alisema, akihutubia katika hafla huko Tehran Jumapili jioni. “Leo hii, mapanga…

Saudi Arabia yaituhumu Hizbullah ya Lebanon

Saudi Arabia yaituhumu Hizbullah ya Lebanon

Madai na tuhuma za Saudi Arabia dhidi ya Hizbullah ya Lebanon zinaendelea kutolewa katika hali ambayo, makundi ya kisiasa ya Lebanon yanajiandaa kwa ajili ya uchaguzi wa Bunge uliopangwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu (2022). Hujuma na tuhuma za utawala wa kifamilia wa Aal Saud dhidi ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya…

Umoja wa Mataifa waja na mikakati mipya ya kutatua mgogoro wa Sudan

Umoja wa Mataifa waja na mikakati mipya ya kutatua mgogoro wa Sudan

Televisheni ya Sky News ya lugha ya Kiarabu imetoa ufafanuzi kuhusu mpango mpya wa Umoja wa Mataifa wa kutatua mgogoro wa Sudan. Kwa mujibu wa televisheni hiyo, mpango mpya wa Umoja wa Mataifa wa kutatua mgogoro wa Sudan una vipengee vinne ambapo kipengee muhimu zaidi ni kuvunjwa Baraza la Utawala na nafasi yake kuchukuliwa na…

Sheikh Naim Qassem: Hizbullah itatoa jibu kali kwa Saudi Arabia

Sheikh Naim Qassem: Hizbullah itatoa jibu kali kwa Saudi Arabia

Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amelaani matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na mfalme wa Saudi Arabia kuhusu harakati hiyo na kusema kuwa, hatua hiyo inachochea machafuko nchini Lebanon na kwamba Hizbullah itatoa jibu kali kwa uchochezi huo. Sheikh Naim Qassem ambaye alikuwa akizungumza kwa mnasaba wa kukumbuka mwaka wa pili wa kuuawa…

Iran yaikashifu WSJ ya U.S kwa kuchapisha makala yasiyoridhisha

Iran yaikashifu WSJ ya U.S kwa kuchapisha makala yasiyoridhisha

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelikosoa vikali gazeti la Kimarekani la Wall Street Journal kwa kuchapisha makala ya kipumbavu na ya kihasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, wakati huu wa kuendelea kufanyika mazungumzo ya kuiondolea vikwazo Iran huko Vienna. Taarifa ya Ubalozi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa imesema kuwa, hatua ya gazeti…

Jenerali Qaani: Waliomuua Jenerali Qasim Soleimani hawatawahi kuwa katika amani na usalama

Jenerali Qaani: Waliomuua Jenerali Qasim Soleimani hawatawahi kuwa katika amani na usalama

Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC alisema:Leo hii, ikiwa kauli mbiu ni kuifikia Quds Tukufu na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tutafika, na lengo hili ni lengo lenye uhakika. Na lengo letu kuu katika hatua hii ni kuifikia serikali ya ulimwengu ya Hazrat Mahdi (as) na kufikia uwepo wenye baraka wa Imamu wa Zama,…

Nakhaale: Shahidi Suleimani ni alikua kiongozi wa wanamgambo wa Palestina na mtetezi wa kadhia ya Palestina.

Nakhaale: Shahidi Suleimani ni alikua kiongozi wa wanamgambo wa Palestina na mtetezi wa kadhia ya Palestina.

Ziyad Nakhaaleh, Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina amesema katika maadhimisho ya mwaka wa pili wa kuuawa shahidi Jenerali Haj Qassem Soleimani, Abu Mahdi al-Mohandes na masahaba wengine huko Beirut:Damu ya Shahidi Sulemani ilimwagika kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa kikwazo kikubwa kwa siasa za Marekani na utawala wa Kizayuni. Aliongeza kuwa:…

Sheikh Hammoud: Walioanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel wamejitia matatani

Sheikh Hammoud: Walioanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel wamejitia matatani

Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Muqawama amesema kuwa, walioanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel wamejitia matatani. Sheikh Maher Hammoud amesifu mchango na nafasi ya mashahidi Qassem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis katika kukabiliana na njama chafu za Marekani na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kueleza kwamba,…