Madaraka na utajiri ndio mambo mawili ya msingi kwa jamii:Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi
Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Principal Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore) Delivered at: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Hotuba ya 1: madaraka na utajiri ndio mambo mawili ya msingi kwa jamii Hotuba ya 2: Gaza – uthibitisho wa kutelekezwa taqwa na waislamu wote ulimwengu mzima Taqwa ni mfumo kamili wa maisha ndani…
Vita vya maneno kati ya Misri na Israel vinaendelea baada ya Tel Aviv kuihusisha Cairo na Oktoba 7
Mvutano wa kidiplomasia kati ya Misri na utawala wa Kizayuni wa Israel umeongezeka kufuatia matamshi yenye utata yaliyotolewa na waziri wa Israel ya kuihusisha Cairo na matukio ya Oktoba 7. Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetoa taarifa ya kulaani ilichokiita matamshi ya “kuaibisha” na “ya kutowajibika” ya waziri wa fedha wa mrengo wa…
Madhumuni ya kusimamisha uadilifu katika jamii kwa mwanasosholojia na Qur’an: Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi
Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Principal Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore) Delivered at: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Hotuba ya ijumaa – 2nd February, 2024 Hotuba ya 1 : Madhumuni ya kusimamisha uadilifu katika jamii kwa mwanasosholojia na Qur’an Hotuba ya 2: Kushiriki katika uchaguzi ni unyakuzi wa haki za uimamu Taqwa…