Ulimwengu wa Kiislamu

KHUTBA YA KWANZA KATIKA MUNASABA WA SHAHADA YA BIBI FATMA ZAHRA(SA)

KHUTBA YA KWANZA KATIKA MUNASABA WA SHAHADA YA BIBI FATMA ZAHRA(SA)

  MAJLIS ZA BIBI FATMA ZAHRA(SA) Hujjat al-Islam na Muslim Syed Jawad Naqvi Mudeer wa Jamia Urwatul Wuthqah Msikiti wa Baitul Atiq Lahore Pakistan 3 Desemba 2024   فقالت فاطمۃ الزہرا سیدۃ نساء العالمین علیہا السلام فَجَعَلَ اللهُ الإيمانَ تَطْهيراً لَكُمْ مِنَ الشِّرْكِ، وَالصَّلاةَ تَنْزِيهاً لَكُمْ عَنِ الكِبْرِ، والزَّكاةَ تَزْكِيَةً لِلنَّفْسِ وَنَماءً في الرِّزْق، والصِّيامَ…

Taqwa pamoja na marafiki, ndugu wanaopotosha katika njia sahihi: Ustadh Syed Jawad Naqvi

Taqwa pamoja na marafiki, ndugu wanaopotosha katika njia sahihi: Ustadh Syed Jawad Naqvi

Hujjatul Islam Ustadh Syed Jawad Naqvi (Kiongozi mkuu  Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa na: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Khutba ya Ijumaa – 29 Novemba 2024 Khutba ya 1: Taqwa pamoja na marafiki, ndugu wanaopotosha katika njia sahihi Taqwa ina umuhimu mkubwa wakati wa kuamiliana na watu wengine, kwani mahusiano haya ni…

Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Duniani watoa wito wa kusaidiwa taifa la Palestina

Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Duniani watoa wito wa kusaidiwa taifa la Palestina

Umoja wa Maulamaa wa Kiislamu Duniani umezitaka nchi za Kiislamu kuchukua hatua ya kulisaidia taifa la Palestina dhidi ya jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel. Sheikh Ali al-Qaradaghi, Mkuu wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Duniani (IUMS) jana Alkhamisi aliashiria jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kuutaka…

Balozi wa Sudan: Israel na vikundi vyake vya wakala vinamchango katika vita nchini Sudan

Balozi wa Sudan: Israel na vikundi vyake vya wakala vinamchango katika vita nchini Sudan

Balozi wa Sudan mjini Tehran amesema kuwa, kinachoendelea Sudan ni jinai kubwa na kusema kuwa, Israel na makundi ya wawakilishi wake katika eneo hilo ndio wanaoendesha mizozo ya hivi sasa nchini Sudan. Abdul Aziz Hasan Saleh Taha, balozi wa Sudan mjini Tehran, alielezea matukio ya hivi punde nchini Sudan katika mkutano na waandishi wa habari…

Ujumbe wa kutambulishwa kwa Katibu Mkuu mpya wa Hizbullah nchini Lebanon

Ujumbe wa kutambulishwa kwa Katibu Mkuu mpya wa Hizbullah nchini Lebanon

Mkakati wa kumtangaza Katibu Mkuu mpya wa Hizbullah ilikuwa hatua kubwa ya Hezbullah katika kuvuruga mpango uliobuniwa na utawala wa Kizayuni katika wiki za hivi karibuni. Baadhi ya vyanzo vya usalama viliamini kuwa jina la Katibu Mkuu mpya wa Hezbollah linapaswa kuwekwa siri kwa ajili kuhifadhi usalama wake. Hatahivyo Hizbullah haikufanya hivo (kuweka siri jina…

Hamas yathibitisha rasmi kuuawa kwa Yahya al-Sinwar

Hamas yathibitisha rasmi kuuawa kwa Yahya al-Sinwar

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ilithibitisha rasmi kuuawa shahidi Yahya Sanwar, mkuu wa ofisi ya kisiasa ya harakati hio. “Khalil al-Hayya”, mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Hamas katika Ukanda wa Gaza, mchana wa leo (Ijumaa), katika ujumbe uliotangazwa kwenye mtandao wa “Al-Aqsa”, alithibitisha rasmi kuuawa shahidi “Yahya Al-Sinwar” , aliyekua mkuu…

Al-Shabab nchini Somalia: Risasi na mabomu haziwezi kuzika itikadi

Al-Shabab nchini Somalia: Risasi na mabomu haziwezi kuzika itikadi

Mashambulizi ya serikali ya Somalia dhidi ya al-Shabab yanadorora kwa sababu ya mbinu za mgawanyiko zilizowekwa. Mwezi Agosti, waziri mkuu wa Somalia, Hamza Abdi Barre, alifanya mkutano katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu kuadhimisha mwaka wa pili wa kuundwa kwa baraza lake la mawaziri. Kwa kawaida, moja ya maswala ya kibonye moto yaliyoibuliwa katika hafla…

CNN: Utumiaji wa Iran wa zana za mafuta ishara mbaya kwa Marekani

CNN: Utumiaji wa Iran wa zana za mafuta ishara mbaya kwa Marekani

CNN iliandika katika ripoti yake kwamba Iran ina hiyari ya kufanya uamuzi unaoweza kusababisha kupanda kwa bei ya mafuta kwa viwango vya juu zaidi ikilinganishwa na rekodi za awali, na ongezeko hili litakuwa na madhara makubwa kwa Marekani na uchumi wa dunia nzima. Kufuatia wasiwasi wa kusita kwa usambazaji wa mafuta ya Iran, bei ya…