Ulimwengu wa Kiislamu

Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama yasisitiza kuondolewa haraka vikwazo dhidi ya Syria

Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama yasisitiza kuondolewa haraka vikwazo dhidi ya Syria

Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama imetoa taarifa ikisisitiza udharura wa kuondolewa haraka iwezekanavyo vikwazo dhidi ya Syria katika kipindi hiki ambacho nchi hiyo inahitajia misaada kutokana na kukumbwa na janga la tetemeko la ardhi. Taarifa ya Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama imebainisha kwamba, vikwazo vya Marekani dhidi ya Syria ambavyo kimsingi vinakinzana wazi kabisa na hati ya…

Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa: Dunia yawatelekeza wahanga wa tetemeko la ardhi nchini Syria

Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa: Dunia yawatelekeza wahanga wa tetemeko la ardhi nchini Syria

Mkurugenzi wa Umoja wa Mataifa wa kutoa misaada alikiri kwamba jumuiya ya kimataifa imeshindwa kuwasaidia wahanga wa tetemeko la ardhi nchini Syria. Kabla ya hili, viongozi wa Syria walikuwa wamekosoa misimamo miwili ya nchi za Magharibi na kazi zao za kisiasa kuhusu misaada ya kibinadamu kwa wahanga wa tetemeko la ardhi nchini humo. Rais wa…

Idadi ya vifo katika tetemeko la ardhi la Uturuki yafikia 12,873

Idadi ya vifo katika tetemeko la ardhi la Uturuki yafikia 12,873

Makao Makuu ya Usimamizi wa Ajali na Matukio Yasiyotarajiwa ya Uturuki yametangaza Alhamisi hii asubuhi kwamba idadi ya hivi punde ya waliofariki kutokana na tetemeko baya la ardhi nchini humo, imefikia 12,873. Kwa mujibu wa mtandao wa “TRT” wa Uturuki, makao makuu ya usimamizi wa majanga ya Uturuki yametangaza kuwa idadi ya wahanga wa tetemeko…

Maandamano ya Wasudan ya kupinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel

Maandamano ya Wasudan ya kupinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel

Jumapili ya juzi tarehe 5 Februari wananchi wa Sudan waliandamana katika mji mkuu Khartoum kwa shabaha ya kupinga hatua ya utawala wa kijeshi nchini humo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel. Waandamanaji hao sambamba na kulaani safari ya siku ya Alhamisi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa utawala haramu wa…

Mazungumzo ya afisa wa Saudia na mjumbe wa Umoja wa Mataifa kuhusu Yemen

Mazungumzo ya afisa wa Saudia na mjumbe wa Umoja wa Mataifa kuhusu Yemen

Balozi wa Saudi Arabia nchini Yemen alikutana na mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo na kuzungumza kuhusu kuhitimisha vita vya Yemen. Mohammed bin Saeed Al Jaber, balozi wa Saudi Arabia nchini Yemen amekutana na Hans Grundberg, mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen mjini Riyadh na kuzungumzia kumalizika kwa vita vya Yemen….

Mkutano wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon na Bashar Assad

Mkutano wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon na Bashar Assad

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Lebanon ambaye alikwenda Damascus leo akiongoza ujumbe wa ngazi ya juu amekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Rais wa Syria. Abdullah Bouhabib, Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon, amewasili Damascus leo (Jumatano) akiongoza ujumbe wa ngazi za juu. Katika safari hii, alikutana na kuzungumza…

Dori la ucha Mungu katika maisha ya mwanadamu – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Dori la ucha Mungu katika maisha ya mwanadamu – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Februari 3, 2023 HOTUBA YA 1: DORI LA UCHA MUNGU KATIKA MAISHA YA MWANADAMU Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja na kuwasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu…

Mpango wa utawala wa Saudia wa kuunda makundi mengi ya wanamgambo kusini mwa Yemen

Mpango wa utawala wa Saudia wa kuunda makundi mengi ya wanamgambo kusini mwa Yemen

Idadi ya wanamgambo katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na UAE na Saudi Arabia nchini Yemen inazidi kuongezeka. Kundi linalojulikana kwa jina la “Baraza la Rais wa Yemen” limetangaza kuunda vikosi vipya kwa jina la “Homeland Shield Forces”, ambavyo vinajumuisha vikundi vya Kisalafi chini ya uungwaji mkono wa kifedha na kisiasa wa Riyadh, na kiongozi wake…