Mgogoro wa ukimya juu ya Gaza unatokana na Khabth (uchafu) katika jamii: Ustad Syed Jawad Naqvi
Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore) Imefikishwa katika: Msikiti Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Hotuba ya Ijumaa – 16 Agosti 2024 Hotuba ya Kwanza: Maana ya Tayyiba na Khabth kuelewa athari yake kijamii Hotuba ya Pili: Mgogoro wa ukimya juu ya Gaza unatokana na Khabth (uchafu) katika…