Ulimwengu wa Kiislamu

Afisa wa Hamas: Ukingo wa Magharibi umekuwa kitovu cha muqawama

Afisa wa Hamas: Ukingo wa Magharibi umekuwa kitovu cha muqawama

Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mji wa Jenin vimekuwa hifadhi na nguzo ya muqawama. Vijana na makundi ya muqawama ya Palestina yametangaza mara kadhaa kuwa, mapambano baina yao na utawala haramu wa Israel unaoikalia Quds kwa mabavu yako wazi kote Palestina…

Mkusanyiko wa kulalamikia kufukuzwa nchini Ufaransa Imam wa Swala ya Jamaa

Mkusanyiko wa kulalamikia kufukuzwa nchini Ufaransa Imam wa Swala ya Jamaa

Mwenendo wa chuki dhidi ya Uislamu na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu katika mataifa ya Ulaya hususan Ufaransa ungali unaendelea. Katika fremu hiyo, Baraza la Utawala la Ufaransa, limeidhinisha hukumu ya kufukuzwa nchini humo Hassan Iquioussen Imam wa Swala ya Jamaa mwenye asili ya Morocco kwa tuhuma za kueneza chuki dhidi ya Mayahudi. Pamoja na…

Hotuba ya Ijumaa – 2nd September 2022, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hotuba ya Ijumaa – 2nd September 2022, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

 Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore)  Imetolewa: Msikiti wa Baitul Ateeq  Lahore – Pakistan   Hotuba ya 1:  Kitendo cha mama kunyonyesha mtoto ni sehemu ya ucha Mungu.  Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na nawasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu katika misingi ya Uchaji Mungu….

Kugonga mwamba juhudi za Israel za kuanzisha uhusiano wa kawaida na Pakistan

Kugonga mwamba juhudi za Israel za kuanzisha uhusiano wa kawaida na Pakistan

Viongozi kadhaa wa kidini, kisiasa, wanafikra na wasomi wa Kipakistan wamesema katika kongamano la kifikra kuhusu Palestina kwamba, juhudi za hivi karibuni za Marekani na vibaraka wake za kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya Pakistan na Israel zimegonga mwamba. Mkutano wa Kamati ya Kuunga Mkono Jumuiya ya Palestina nchini Pazkistan ulifanyika Ijumaa iliyopita ya Septemba…

Nigeria yaomba kuwa na ushirikiano wa kijeshi na Iran

Nigeria yaomba kuwa na ushirikiano wa kijeshi na Iran

Mwanadiplomasia mstaafu na mzoefu wa Nigeria Babaji Umar Misau amesema, ana matumaini kuwa nchi yake itaendelea kuwa na ushirikiano mzuri na wenye manufaa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambayo rafiki yake wa zamani kama ilivyokuwa kwa miongo mingi. Misau ambaye ni balozi wa zamani wa Nigeria katika nchi za Burkina Faso, Kenya na Somalia, amezungumzia umuhimu…

Watu 20 wauawa Somalia katika shambulio la kigaidi la al-Shabab

Watu 20 wauawa Somalia katika shambulio la kigaidi la al-Shabab

Watu wasiopungua 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi la al-Shabab katikati mwa Somalia. Duru za usalama zinasema kuwa, shambulio hilo la al-Shabab lililolenga mabasi kadhaa katika mji wa Hiran katikati mwa Somalia limetokea Jumamosi ya leo na kwamba, wanawake na watoto ni miongoni mwa waliouawa katika shambulio hilo. Taarifa zaidi…

Kiongozi Muadhamu: Jamhuri ya Kiislamu ilirejesha nyuma majoka yenye vichwa saba ya Uistikbari

Kiongozi Muadhamu: Jamhuri ya Kiislamu ilirejesha nyuma majoka yenye vichwa saba ya Uistikbari

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ikipata ilhamu ya Ahlu-Beiti (as) iliyashinda na kuyarejesha nyuma majoka yenye vichwa saba ya Uistikbari na ikasonga mbele kimaendeleo. Ayatullah Sayyiid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema hayo leo alipoonana na wajumbe wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Beiti (as)…

Iran: Matukio ya karibuni ya Ukraine ni matunda ya uingiliaji wa Marekani

Iran: Matukio ya karibuni ya Ukraine ni matunda ya uingiliaji wa Marekani

Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa, Marekani na nchi za Magharibi zinataka kutekeleza siasa zao za kibeberu katika maeneo yote hassasi na ya kiistratijia duniani na kwamba matukio ya Ukraine ni matunda ya mtazamo huo wa kiistikbari wa Magharibi. Shirika la habari la FARS limemnukuu Brigedia Jenerali Mohammad-Reza Gharaei Ashtiani akisema hayo jana wakati alipoonana na…