Ulimwengu wa Kiislamu

UN yataka dunia iwasaidie wakimbizi Waislamu wa Rohingya

UN yataka dunia iwasaidie wakimbizi Waislamu wa Rohingya

Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuwasaidia kwa hali na mali wakimbizi Waislamu wa Rohingya walioko nchini Bangladesh. Noeleen Heyzer alitoa mwito huo Alkhamisi usiku katika siku ya nne ya safari yake ya kuitembelea Bangladesh na kusisitiza kuwa, Wabangladesh wameendelea kuwa wakarimu kwa wakimbizi Warohingya, na…

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran akutana na Rais wa Zanzibar

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran akutana na Rais wa Zanzibar

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu7 ya Iran aliyeko ziarani nchini Tanzania leo amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Hussein Mwinyi wa Zanzibar na wawili hao wamesitizia udharura wa kuimarishwa ushirikiano baina ya pande mbili. Rais Hussein Mwinyi wa Zanzibar ameashiria katika mazungumzo yake na Hussein Amir-Abdollahian kuhusu uhusiano mkongwe baina ya…

Amir Abdullahian : Afrika ni miongoni mwa vipaumbele katika diplomasia ya kiuchumi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

Amir Abdullahian : Afrika ni miongoni mwa vipaumbele katika diplomasia ya kiuchumi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

Waziri wa Mashauri ya Kigeni amelitaja bara la Afrika kuwa ni miongoni mwa vipaumbele vikuu vya diplomasia ya uchumi ya Iran na akiashiria nafasi maalumu ya Tanzania katika siasa za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, akasisitiza juu ya kufanyika kikao cha kamisheni ya pamoja kati ya nchi hizo mbili. Waziri wa Mambo ya…

Jeshi la Iran laendeleza mazoezi ya ndege za kivita zisizo na rubani

Jeshi la Iran laendeleza mazoezi ya ndege za kivita zisizo na rubani

Mazoezi ya Pamoja ya Ndege Zisizo na Rubani (droni) 1401 ya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yameendelea kwa siku ya pili leo ambapo droni za kivita zimefanikiwa kutekeleza oparesheni zao kwa mafanikio. Mazoezi hayo ambayo yalianza Jumatano yanajumuisha droni za kivita 150 na yanafanyika kote katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Katika mazoezi…

HAMAS: Jukumu la kambi ya muqawama ni kuifuta Israel katika uso wa dunia

HAMAS: Jukumu la kambi ya muqawama ni kuifuta Israel katika uso wa dunia

Kiongozi mmoja mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, jukumu kuu la kambi ya muqawama ni kuhakikisha ardhi zote za Palestina zinakombolewa na hiyo maana yake ni kufutwa katika uso wa dunia, utawala pandikizi wa Kizayuni ambao unazikalia kwa mabavu ardhi za Palestina. Shirika la habari la FARS limemnukuu Mahmoud…

Hamas yaishukuru Iran kwa kuunga mkono ukombozi wa Palestina

Hamas yaishukuru Iran kwa kuunga mkono ukombozi wa Palestina

Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuunga mkono harakati za ukombozi wa Palestina. Mahmoud al-Zahar ameyasema hayo Jumatatu katika mahojiano na Radio ya Al Aqsa. Amesema Iran imekuwa ikiunga mkono harakati dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel ambao unakalia kwa mabavu ardhi…

Zaidi ya nusu karne sasa tangu kufanyika jinai ya kuchomwa moto Msikiti wa al-Aqswa

Zaidi ya nusu karne sasa tangu kufanyika jinai ya kuchomwa moto Msikiti wa al-Aqswa

Jumapili ya jana tarehe 21 Agosti ilisadifiana na kutimia mwaka wa 53 tangu kuchomwa moto Msikiti mtakatifu wa al-Aqswa, kibla cha kwanza cha Wiaslamu, jinai ambayo ilifanywa na utawala vamizi wa Israel ambapo walimwengu walibakia kuwa watazamaji tu na kutoonyesha radiamali yoyote kwa kitendo hicho cha kinyama. Tarehe 21 Agosti 1969 Mzayuni mmoja aliuchoma moto…

Hotuba ya Ijumaa – 19th August 2022, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hotuba ya Ijumaa – 19th August 2022, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

 Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore)  Imetolewa: Msikiti wa Baitul Ateeq  Lahore – Pakistan   HOTUBA ya 1:  Talaka ni sehemu ya Ucha Mungu  Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na nawasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu katika misingi ya Uchaji Mungu. Tambueni kuwa ucha…