Ulimwengu wa Kiislamu

Tume ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya Uingereza: Mfumo wa Marekani ni kinyume na haki za binadamu

Tume ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya Uingereza: Mfumo wa Marekani ni kinyume na haki za binadamu

Mkuu wa Tume ya Haki za Binadamu ya Kiislamu nchini Uingereza (IHRC) amesema kuwa mfumo wa utawala wa Marekani unapinga na kupiga vita haki za binadamu na kusisitiza kuwa, mfumo huo unawadhulumu hata raia wa Marekani kwenyewe. Massoud Shajareh amesema inasikitisha kuona kwamba Marekakni imezifanya haki za binadamu kuwa fimbo na kutangaza kuwa, Washington inatumia haki…

Iran: Utawala wa Kizayuni ndio adui namba moja wa umma wa Kiislamu

Iran: Utawala wa Kizayuni ndio adui namba moja wa umma wa Kiislamu

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni ndio adui nambari moja wa ulimwengu wa Kiislamu. Hossein Amir-Abdollahian alisema hayo jana Jumatatu mjini Ankara katika kikao na waandishi wa habari akiwa na mwenzake wa Uturuki, Mevlut Cavusoglu, ambapo pia amelipongeza taifa la Uturuki kwa kuunga mkono ukombozi wa Palestina. Amir…

Hotuba ya Ijumaa – 24 Juni 2022,  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hotuba ya Ijumaa – 24 Juni 2022,  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hotuba ya Ijumaa – 24 Juni 2022  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi  (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore)  Imetolewa: Msikiti wa Baitul ul Ateeq  Lahore – Pakistan    Hotuba ya 1:  Msiba wa mwanachuoni ni Kupenda Uongozi. Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu katika kumcha Mwenyezi Mungu na nawasisitizieni  kuyasimamisha maisha…

Waziri wa Ulinzi wa Yemeni: Hifadhi za silaha za kimkakati za nchi hiyo zinatosha kwa miongo kadhaa

Waziri wa Ulinzi wa Yemeni: Hifadhi za silaha za kimkakati za nchi hiyo zinatosha kwa miongo kadhaa

Waziri wa ulinzi wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemeni alisema kuwa “Hifadhi ya nchi ya silaha za balistiki na za kimkakati zinatosha kwa vita vya miongo mingi,” Kwa mujibu wa kituo cha Televisheni ya Al-Masira ya Yemen, Jenerali Mohammad Nasser Al-Atefi aliongeza siku ya Jumamosi: “Tunakubaliana na amani ambayo itahakikisha maslahi ya juu…

Wanaokwenda hijja kuchanjwa tena Uviko-19

Wanaokwenda hijja kuchanjwa tena Uviko-19

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limesema waliochanjwa chanjo ya Uviko-19 mwaka mmoja au miaka miwili iliyopita hawataruhusiwa kwenda hijja hadi watakaporudia kuchanja chanjo hiyo. Kauli hiyo imetolewa leo Jumamosi Juni 24,2022 na Mkurugenzi wa Hija wa Bakwata, Alhaj Haidari Kambwili, katika semina ya mahujaji inayofanyika ofisi za Makao Makuu ya Bakwata jijini Dar es…

Tanzania yaruhusiwa kusafirisha mahujaji 11,000

Tanzania yaruhusiwa kusafirisha mahujaji 11,000

Dar es Salaam. Wakati nchi ya Saudi Arabia ikiruhusu mahujaji milioni moja kote duniani kwenda kuhiji kwa mwaka huu,Tanzania imeruhusiwa kupeleka mahujaji 11,000. Hayo yamesemwa leo Jumamosi Juni 25,2022 na Mkurugenzi wa Hijja, Alhaji Haidari Kambwili, kwenye semina ya wanaojindaa na safari ya kwenda kuhiji,  iliyofanyika ofisi za makao makuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania…

Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Hamas alikutana na rais wa Lebanon

Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Hamas alikutana na rais wa Lebanon

Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) alikutana na rais wa Lebanon katika Ikulu ya Baabda. Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Hamas, Ismail Haniya, amekutana leo (Ijumaa) na Rais wa Lebanon Michel Aoun. Haniya alisema baada ya mkutano huo  ” alisisitiza kuwa utawala  haramu unaoukalia kwa mabavu …

Tanzania na Congo kushirikiana kukuza kilimo

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema kuwa serikali itaendelea kushirikiana na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) katika kuendeleza sekta ya kilimo hususan katika nyanja za utafiti, kubadilishana utaalamu na kuimarisha soko la mazao mbalimbali. Waziri amesema hayo jana Alhamisi Juni 23, 2022 wakati akizungumza na ujumbe kutoka DRC ulioongozwa na Gavana wa Jimbo la…