Ulimwengu wa Kiislamu

Muungano vamizi wazidi kushambulia mji mkuu Sana’a na miji mingine

Muungano vamizi wazidi kushambulia mji mkuu Sana’a na miji mingine

Muungano vamizi unaoongozwa na Saudia na Imarati unaendelea kufanya jinai dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa nchi ya Kiarabu ya Yemen. Tangu mwezi Machi 2015 hadi hivi sasa, kila siku wananchi wasio na hatia wa Yemen wanamiminiwa mabomu na makombora na wavamizi wa nchi yao wanaoongozwa na Saudi Arabia na Umoja wa Falme za…

Sheikh Maher Hammoud; Imam Khamenei ni kiongozi wa kihistoria

Sheikh Maher Hammoud; Imam Khamenei ni kiongozi wa kihistoria

Sheikh Maher Hammoud, Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanazuoni wa Muqawama amesema katika mahojiano kwamba Imam Khamenei ni kiongozi wa kihistoria. Sheikh Maher Hammoud, katibu mkuu wa Muungano wa Wanazuoni wa Muqawama nchini Lebanon amezungumza na Radio Al-Noor kuhusu Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran siku ya Alhamisi. Katika mahojiano na ‘Al-Siyasah Al-Youm’ , Sheikh Maher…

Syria yapinga Hatua ya Israel ya kuwafukuza Wapalestina Sheikh Jarrah

Syria yapinga Hatua ya Israel ya kuwafukuza Wapalestina Sheikh Jarrah

Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Syria imetoa wito wa kukomeshwa hatua za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuharibu nyumba za Wapalestina na kuwafukuza katika ardhi na makazi yao wakieleza kwamba hatua hiyo ni uhalifu wa kivita. Taarifa hiyo ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Syria imetolewa baada ya walowezi wa Kizayuni kuendeleza…

Masuala muhimu katika mazungumzo ya “Sayyid Hassan Nasrallah” na Televisheni ya Al-Alam

Masuala muhimu katika mazungumzo ya “Sayyid Hassan Nasrallah” na Televisheni ya Al-Alam

Maneno ya Sayed Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah nchini Lebanon, katika mahojiano na kituo cha televisheni cha Al-Alam siku ya Jumanne, mazungumzo yake yalikuwa mazuri mno kiasi kwamba wale wenye kutafuta ukweli kuhusu maendeleo ya Lebanon na eneo hilo watafaidika zaidi na matamshi hayo. Wasikilizaji wa mahojiano ya “Sayed Hassan Nasrullah” na…

Iran yaadhimisha miaka 43 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Iran yaadhimisha miaka 43 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Leo Ijumaa tarehe 22 Bahman, sawa na tarehe 11 Februari, wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanaadhimisha sherehe za miaka 43 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini. Katika sherehe hizo mamilioni ya wananchi wa taifa hili watamiminika mabarabarani katika maandamano ya amani ya kumbukumbu ya ushindi wa mapinduzi ya Kiislamu, ambapo kwa mara…

Waziri Mkuu wa Mali alalamika dhidi ya uungaji mkono wa Ufaransa kwa magenge ya kigaidi

Waziri Mkuu wa Mali alalamika dhidi ya uungaji mkono wa Ufaransa kwa magenge ya kigaidi

Waziri Mkuu wa Mali, Choguel Kokalla Maiga, ameishutumu serikali ya kikoloni ya Ufaransa kwa vitendo vyake vilivyo dhidi ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika na kusema kuwa, Wafaransa walipaswa kutusaidia, lakini badala yake wanayasaidia magenge ya kigaidi yanayopigania kujitenga na wanazichochea nchi za Ulaya ziiwekee vikwazo nchi ya Mali. Ameishutumu vikali Ufaransa kwa kutoheshimu makubaliano…

jinai za muungano wa Saudia dhidi ya wagonjwa; Watoto 3,000 wa Yemen walio na saratani wanakabiliwa na hatari ya kifo

jinai za muungano wa Saudia dhidi ya wagonjwa; Watoto 3,000 wa Yemen walio na saratani wanakabiliwa na hatari ya kifo

Jinai za muungano vamizi wa Saudia na Imarati zimewakumba wagonjwa wa Yemen mara hii; Kwa namna fulani, mashambulizi ya muungano huo yamesababisha watoto 3,000 wa Yemeni wenye saratani kua katika hatari ya kupoteza uhai. Katika kuadhimisha Siku ya Saratani Duniani, Dk Taha Al-Mutawakil, Waziri wa Afya katika Serikali ya Wokovu ya Taifa la Yemen alisisitiza…

Saudi Arabia kufanya mageuzi na mabadiliko katika bendera ya taifa, kufuta jina la Allah na la Mtume

Saudi Arabia kufanya mageuzi na mabadiliko katika bendera ya taifa, kufuta jina la Allah na la Mtume

Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme nchini Saudia ambaye kimsingi ndiye kiongozi wa nchi hiyo ameendelea kufanya mageuzi nchini humo ambapo sasa bendera na wimbo wa taifa kufanyiwa marekebisho. Majlisi Shura ya Saudi Arabia ambayo ndio taasisi ya juu zaidi ya mashauriano ya utawala wa Kifalme imepasisha kwa wingi wa kura muswada wa…