Uwahabi

Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani kwenye bandari inayokaliwa kwa mabavu iliyomo mashariki mwa Yemen; Meli ya mafuta ya kigeni yatoroka

Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani kwenye bandari inayokaliwa kwa mabavu iliyomo mashariki mwa Yemen; Meli ya mafuta ya kigeni yatoroka

Vyanzo vya habari viliripoti mlipuko huo katika bandari ya al-Dabbah huko Hadramaut nchini Yemen, ambayo iko chini ya uvamizi wa muungano vamizi wa Saudi na Imarati. Vyanzo vya habari viliripoti mlipuko huo katika bandari ya Al-Dabbah, iliyoko mashariki mwa mji wa Makla, mji mkuu wa mkoa wa Hadhramout (Yemen Mashariki); Bandari ambayo inakaliwa na muungano…

Taasisi ya “Democracy For The Arab World Now” yamkosoa Biden kwa kumpa kinga Bin Salman

Taasisi ya “Democracy For The Arab World Now” yamkosoa Biden kwa kumpa kinga Bin Salman

Taasisi isiyo ya kiserikali ya “Democracy For The Arab World Now” imekosoa hatua ya Rais Joe Biden wa Marekani ya kumpatia kinga ya kutoshtakiwa mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman. Taasisi hiyo imeitaja hatua hiyo ya Biden kuwa ni natija ya siasa na sheria zisizo sahihi. Mrithi huyo wa kiti…

Amnesty International yaikosoa Marekani kwa kumpa kinga muuaji Bin Salman

Amnesty International yaikosoa Marekani kwa kumpa kinga muuaji Bin Salman

Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeukosoa utawala wa Rais wa Marekani, Joe Biden, baada ya Ikulu ya White House kutangaza kwamba mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman “ana kinga” inayozuia kushtakiwa katika kesi zinazohusiana na mauaji ya mwandishi wa habari Jamal Khashoggi. Shirika hilo pia limeikosoa Riyadh kwa…

Kuongezeka maradufu watu wanaokatwa vichwa nchini Saudi Arabia

Kuongezeka maradufu watu wanaokatwa vichwa nchini Saudi Arabia

Serikali ya Saudia inatumia vibaya kimya cha madola makubwa na jamii ya kimataifa, kuzidisha kukata vichwa watu kwa visingizio tofauti kiasi kwamba, idadi ya watu waliotekelezewa adhabu ya kifo na ukoo wa Aal Saud mwaka huu, tayari hivi sasa ni maradufu ya waliokatwa vichwa mwaka jana nchini humo. Baada ya kukatwa vichwa watu wengine wawili,…

Haki za taifa la Iran zimekiukwa kwa vikwazo vya Marekani dhidi ya IRIB, Press TV

Haki za taifa la Iran zimekiukwa kwa vikwazo vya Marekani dhidi ya IRIB, Press TV

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Nasser Kan’ani, amelaani uamuzi wa hivi karibuni wa Marekani wa vikwazo vinavyolenga Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) na Televisheni ya Press TV akisema ni ukiukaji wa haki za taifa la Iran. Katika ujumbe kupitia Twitter siku ya Ijumaa, Kan’ani amesema vikwazo…

Marekani yampa kinga Muhammad bin Salman kwa mauaji ya Khashoggi

Marekani yampa kinga Muhammad bin Salman kwa mauaji ya Khashoggi

Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imempa kinga Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia ili asishtakiwe kwa mauaji ya Jamal Khashoggi mwandishi habari mkosaji mkuu wa utawala wa Aal Saud. Bin Salman amepewa kinga hiyo licha ya ahadi ya awali ya Rais Joe Biden ya kumwajibisha mtawala huyo wa…

Iraq yawatia nguvuni magaidi 15 wa Daesh

Iraq yawatia nguvuni magaidi 15 wa Daesh

Vikosi vya usalama vya Iraq vimewatia mbaroni magaidi 15 wa kundi la Daesh katika mikoa sita ya nchi hiyo. Mamluki waliosalia wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wangali wanaendesha harakati zao katika mikoa ya Baghdad, Salahuddin, Diyala, Kirkuk, Nainawa na al Anbar huko Iraq. Idara ya Usalama wa Taifa ya Iraq jana Ijumaa…

Kusambaratika miundombinu ya uchumi wa Afghanistan katika miaka 20 ya kukaliwa kwa mabavu na Marekani

Kusambaratika miundombinu ya uchumi wa Afghanistan katika miaka 20 ya kukaliwa kwa mabavu na Marekani

Waziri wa Uchumi wa serikali ya wanamgambo wa Taliban nchini Afghanistan amesema kuwa, miaka 20 ya kukaliwa kwa mabavu nchi hiyo na wanajeshi wa Marekani ndio sababu kuu ya kusambaratika miundombinu ya uchumi wa nchi hiyo. Qari Din Muhammad Hanif ameeleza kuwa, katika kipindi cha miaka 20 cha uwepo wa majeshi vamizi ya Marekani nchini…