Uwahabi

Wanazuoni wa Bahrain wanaosota jela: Tunatumai Papa Francis atazungumza neno la haki

Wanazuoni wa Bahrain wanaosota jela: Tunatumai Papa Francis atazungumza neno la haki

Wanazuoni wa Bahrain wanaosota kwenye jela za utawala wa kifalme wa nchi hiyo wa ukoo wa Aal Khhalifa wameeleza katika taarifa waliyotoa kumhutubu Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis kwamba, wanatumai kiongozi huyo wa kidini atasema ukweli na kuitikia wito wa imani katika ziara yake ijayo huko Bahrain. Shirika la habari la IRNA limeripoti…

Hizbullah: Saudia na Marekani zinakwamisha uchaguzi wa Rais wa Lebanon

Hizbullah: Saudia na Marekani zinakwamisha uchaguzi wa Rais wa Lebanon

Afisa mwandamizi wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema balozi za Saudi Arabia na Marekani jijini Beirut zimekula njama na kuweka vizingiti vya kila aina ili kukwamisha uchaguzi wa rais, huku ikiwa imesalia wiki moja tu kabla ya kumalizika muhula wa Rais Michel Aoun wa nchi hiyo. Sheikh Nabil Qaouk, Naibu Mkuu wa…

Netanyahu: Kama si msaada wa Saudia tusingeweza kupatana na Waarabu

Netanyahu: Kama si msaada wa Saudia tusingeweza kupatana na Waarabu

Waziri Mkuu wa zamani wa utawala haramu wa Israel amesema kuwa, kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya Israel na baadhi ya nchi za Kiarabu kumefanikiwa kwa mwafaka na baraka za Saudi Arabia. Benjamin Netanyahu amesema: “Jambo la kwanza ninalopaswa kukiri ni kwamba Saudi Arabia ilianza kutekeleza mpango wa kuanzishwa uhusiano baina ya Israel na nchi za…

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq: Ulaya haiko tayari kuwarejesha raia wake wanachama wa Daesh walioko Syria

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq: Ulaya haiko tayari kuwarejesha raia wake wanachama wa Daesh walioko Syria

Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iraq amesema kuwa nchi za Ulaya haziko tayari kuwarejesha nyumbani raia wa nchi hizo wanachama wa kundi la Daesh. Daesh na makundi mengine ya kigaidi mwaka 2017 yalisambaratika na kushindwa baada ya miaka minne ya operesheni kubwa za kigaidi huko Syria na Iraq na baada ya kukalia…

Hukumu ya Saudia Arabia dhidi ya daktari Mtunisia yapingwa na kulaaniwa vikali

Hukumu ya Saudia Arabia dhidi ya daktari Mtunisia yapingwa na kulaaniwa vikali

Taasisi ya Kitaifa ya Kuunga Mkono Muqawama na Kupinga Kuanzishwa Uhusiano wa Kawaida na utawala haramu wa Israel ya nchini Tunisia imelaani vikali hukumu ya Saudi Arabia ya kumfunga jela miaka 15 daktari mmoja wa kike raia wa Tunisia kwa kuweka video ya maandamano ya kuiunga mkono Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon. Taasisi…

Kushambuliwa bandari ya al Dabah, onyo la Wayemen kwa wezi na waporaji wa mafuta

Kushambuliwa bandari ya al Dabah, onyo la Wayemen kwa wezi na waporaji wa mafuta

Ijumaa ya tarehe 21 Oktoba 2022, jeshi la Yemen lilitumia droni zake kushambulia bandari ya al Dabah huko Hadhramaut likiwa ni pigo jipya kwa wavamizi na onyo kwa madola vamizi yanayoongozwa na Saudi Arabia ambayo yanaendelea kupora utajiri wa nchi hiyo maskini zaidi ya Kiarabu. Al Dabah ni bandari muhimu katika mkoa wa Hadhramaut wa…

Safari 10 za ndege za Israel kuelekea India zafutwa baada ya Oman kukataa kutumiwa anga yake

Safari 10 za ndege za Israel kuelekea India zafutwa baada ya Oman kukataa kutumiwa anga yake

Duru za habari za utawala wa Kizayuni wa Israel zimeripoti kuwa, safari zisizopungua 10 za ndege za utawala huo haramu kuelekea India zimefutwa baada ya Oman kukataa kuzipatia ndege hizo kibali cha kupita katika anga yake. Kwa mujibu wa tovuti ya habari ya Shahab News, ripota wa redio ya jeshi la utawala wa Kizayuni amethibitisha…

Saudia yamfunga jela daktari Mtunisia kwa kuweka video tu ya Watunisia kuhusu Hizbullah

Saudia yamfunga jela daktari Mtunisia kwa kuweka video tu ya Watunisia kuhusu Hizbullah

Saudi Arabia imemfunga jela miaka 15 daktari mmoja wa kike raia wa Tunisia kwa kuweka video ya maandamano ya kuiunga mkono Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon huko Tunisia. Kwa mujibu wa shirika la habari la FARS, mahakama moja nchini Saudia imemuhukumu kifungo cha miaka 15 jela Bi Mahdiyah al Barzouqi kwa madai ya…