Uwahabi

Bin Salman akaribishwa kwa maandamano nchini Uingereza

Bin Salman akaribishwa kwa maandamano nchini Uingereza

Makumi ya watetezi wa haki za binadamu wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini London, kulaani safari ya Mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman nchini Uingereza. Wananchi wa Uingereza pamoja na wakosoaji wa Saudia walioko London wameshiriki maandamano hayo ya kukosoa safari ya Bin Salman nchini humo, ambaye wanasema rekodi nyeusi…

Jeshi la Somalia: Wanamgambo 18 wa kundi la kigaidi la al-Shabab wamepelekwa jongomeo

Jeshi la Somalia: Wanamgambo 18 wa kundi la kigaidi la al-Shabab wamepelekwa jongomeo

Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, limewaangamiza wanachama 18 wa kundi la kigaidi la a-Shabab lenye mfungamano na mtandao wa al-Qaeda. Hayo yameelezwa na Brigedia Jenerali Odowaa Yusuf Rageh Mkuu wa jeshi la Somalia  ambaye amebainisha kuwa, magaidi hao wameuawa katikati ya nchi baada ya kutokea mapigano makali kati yao na jeshi. Aidha amesema kuwa, jeshi la Somalia…

Waziri wa Ulinzi Yemen: Uporaji wa mali ya Yemen hautapita bila jibu

Waziri wa Ulinzi Yemen: Uporaji wa mali ya Yemen hautapita bila jibu

Waziri wa Ulinzi wa Serikali ya Uokoaji wa Kitaifa ya Yemen ameashiria njama za muungano wa vita wa Saudi Arabia za kupora utajiri wa Yemen na kusisitiza kuwa operesheni ya uporaji wa mali ya Yemen haitapita bila jibu. Yemen ni moja ya nchi ambazo zina mapato ya nishati, ingawa ni ndogo na vyanzo vya nishati vya…

Amir-Abdollahian: Iran daima itaendelea kuwa pamoja na wananchi wa Yemen

Amir-Abdollahian: Iran daima itaendelea kuwa pamoja na wananchi wa Yemen

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu daima itaendelea kuwa pamoja na wananchi wa Yemen. Hossein Amir-Abdollahian amesema hayo hapa Tehran katika mazungumzo yake na Mkuu wa timu ya mazungumzo ya serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen ambapo pande mbili zimejadiliana masuala ya pande mbili, ya kieneo na ya…

Wayemen walivyojiimarisha kwa nguvu za kijeshi kuzuia adui asijusuru kuanzisha mashambulio

Wayemen walivyojiimarisha kwa nguvu za kijeshi kuzuia adui asijusuru kuanzisha mashambulio

Wakati mwaka wa nane wa vita vilivyoanzishwa na muungano wa kijeshi wa Saudi Arabia dhidi ya Yemen ukiwa unaendelea kupita, Wayemen wanazidi kuongeza nguvu na uwezo wao wa kijeshi wa kumzuia adui asithubutu kuanzisha mashambulio dhidi ya nchi hiyo. Mwaka wa nane wa vita ulivyoanzisha muungano wa Saudia dhidi ya Yemen umeambatana na kuanza usitishaji vita uliopendekezwa…

Kununuliwa ardhi kwa ajili ya Wazayuni; juhudi za kuyahudishwa Manama

Kununuliwa ardhi kwa ajili ya Wazayuni; juhudi za kuyahudishwa Manama

Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya al-Wifah nchini Bahrain amesema kuna mpango wa siri unaotekelezwa kwa lengo la kuanzisha mtaa wa Mayahudi katika sehemu kongwe ya Manama, mji mkuu wa Bahrain. Tangu mwaka 2020, Bahrain imeanzisha uhusiano wa wazi wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel unaokalia kwa mabavu Quds Tukufu, na uhusiano huo umekuwa…

Magaidi wa al Shabab waua raia wasiopungua 18 na kuchoma moto malori ya chakula katikati ya Somalia

Magaidi wa al Shabab waua raia wasiopungua 18 na kuchoma moto malori ya chakula katikati ya Somalia

Genge la kigaidi na ukufurishaji la al Shabab limeua raia wasiopungua 18 katika eneo la Hiran la katikati mwa Somalia na kuteketeza kwa moto malori yaliyokuwa yamesheheni chakula kwa ajili ya watu wenye njaa wa eneo hilo. Genge hilo lenye silaha lilianzisha mashambulizi katika eneo la Hiran katika jimbo la Hirshabelle la katikati mwa Somalia…

CNN: Saudia inaelekea kuwa kitovu cha matumizi ya madawa ya kulevya Mashariki ya Kati

CNN: Saudia inaelekea kuwa kitovu cha matumizi ya madawa ya kulevya Mashariki ya Kati

Televisheni ya CNN ya Marekani imetangaza habari ya kukamatwa kete karibu milioni 47 za madawa ya kulevya nchini Saudi Arabia na kuongeza kuwa, nchi hiyo ya kifalme hivi sasa inaelekea kuwa kitovu cha matumizi ya mihadarati katika eneo la Mashariki ya Kati. Katika taarifa yake hiyo, televisheni ya CNN ya Marekani imetangaza kwamba, siku ya…