Uwahabi

Rais wa Syria asisitiza ulazima wa kupambana na misingi ya kifikra ya ugaidi

Rais wa Syria asisitiza ulazima wa kupambana na misingi ya kifikra ya ugaidi

Rais Bashar al Assad wa Syria amesisitiza ulazima wa kupambana na misingi ya kifikra ya ugaidi na akaeleza kwamba, kupambana na ugaidi hakutawezekana kwa kutumia nguvu za kijeshi pekee, kwa sababu idiolojia ya mitazamo ya kufurutu ada haitambui mipaka bali inajipanua na kuenea kwa kasi kutoka nchi moja hadi nyingine. Rais wa Syria ameyasema hayo…

Mashambulizi haramu ya Marekani nchini Syria, nembo ya ubeberu wa Washington

Mashambulizi haramu ya Marekani nchini Syria, nembo ya ubeberu wa Washington

John Kriby, mratibu wa mahusiano ya kiistratijia ya baraza la usalama wa taifa la ikulu ya Marekani, White House amejaribu kuhalalalisha mashambulio haramu ya nchi yake huko Syria na kudai kuwa, eti Washington haina nia ya kuzidisha machafuko katika eneo hili. Vile vile amedai kuwa, lengo la mashambulizi ya hivi karibuni ya Marekani huko Syria…

Palestina yataka uanachama kamili wa Umoja wa Mataifa lakini Marekani inapinga

Palestina yataka uanachama kamili wa Umoja wa Mataifa lakini Marekani inapinga

Mamlaka ya Ndani ya Palestina imeanzisha tena msukumo wake wa kutaka uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa (UN) huku Marekani ikiendeleza njama zake za muda mrefu za kupinga hatua hiyo. “Tunajadiliana kwa nia njema na wanachama wote Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa,” amesema Riyad Mansour, balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa huku…

Rais wa Somalia atangaza vita dhidi ya kundi la al-Shabab, aahidi kulitokomeza

Rais wa Somalia atangaza vita dhidi ya kundi la al-Shabab, aahidi kulitokomeza

Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud ametangaza vita dhidi ya kundi la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab ambalpo limekuwa likifanya mashambulio na mauaji mara kwa mara katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika. Rais huyo mpya wa Somalia ameahidi vita vikali vya kutokomeza kundi la al-Shabab katika taarifa yake ya kwanza kwa taifa tangu wanamgambo…

Nasrullah: Ushindi wa mwaka 2000 wa Muqawama ulitamatisha mradi wa “Israel Kubwa”

Nasrullah: Ushindi wa mwaka 2000 wa Muqawama ulitamatisha mradi wa “Israel Kubwa”

Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, ushindi wa mwaka 2000 wa Muqawama ulihitimisha mradi wa “Israel Kubwa.” Sayyid Hassan Nasrullah ameyasema hayo katika hotuba ya ufungaji wa sherehe za kuadhimisha “Machipuo Arubaini” kwa mnasaba wa kutimia miaka 40 tangu ilipoasisiwa harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah. Nasrullah ameeleza kuwa kuna mafungamano makubwa baina ya…

HAMAS yalaani hatua ya Polisi ya Ujerumani ya kufuatilia kauli ya Abbas kuhusu Holocaust

HAMAS yalaani hatua ya Polisi ya Ujerumani ya kufuatilia kauli ya Abbas kuhusu Holocaust

Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, imelaani hatua ya maafisa wa Polisi ya Ujerumani ya kuamua kuchunguza matamshi aliyotoa Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina na kusisitiza kuwa hatua hiyo inadhihirisha kuwa si kweli kama Berlin haipendelei upande wowote. Hivi karibuni, wakati Mahmoud Abbas maarufu kwa lakabu ya Abu Mazin…

Muungano vamizi wa Saudia waendelea kukiuka usitishaji vita nchini Yemen

Muungano vamizi wa Saudia waendelea kukiuka usitishaji vita nchini Yemen

Muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia umeendelea kukiuka makubaliano ya usitishaji viita ambapo katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita umekiuka usitishaji vita huo mara 202. Usitishaji vita wa muda wa miezi miwili ulianza kutekelezwa Aprili mwaka huu na mwezi Juni mwaka huu Hans Grunberg, mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya…

Wapalestina wafichua njama ya Israel ya kuubomoa kikamilifu msikiti wa Al Aqsa

Wapalestina wafichua njama ya Israel ya kuubomoa kikamilifu msikiti wa Al Aqsa

Duru za Palestina katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu zimefichua njama ya awamu tatu iliyoandaliwa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwa lengo la kuubomoa msikiti mtukufu wa Al Aqsa. Kwa mujibu wa duru hizo, lengo la njama hiyo ni kuchimba misingi kwa madhumuni ya kuzifanya kuta za msikiti wa Al…