Uyahudi

Maandamano ya Wamorocco kupinga uhusiano na Israel

Maandamano ya Wamorocco kupinga uhusiano na Israel

Watu wamefanya maandamano katika maeneo tofauti ya Morocco ili kutoa maoni yao ya kupinga kuhalalisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel. Washiriki wa maandamano hayo yaliyoandaliwa katika miji tofauti kama vile mji mkuu Rabat, walibeba bendera za Palestina na kupiga nara dhidi ya uhusiano wa karibu na utawala wa Tel Aviv. Walitoa wito kwa…

Khiyana zingine mbili za Imarati dhidi ya Palestina

Khiyana zingine mbili za Imarati dhidi ya Palestina

Isaac Herzog, Rais wa utawala haramu wa Israel Jumatatu alasiri aliwali Abu Dhabi mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarat) ikiwa ni safari yake ya pili katika nchi hiyo kwa mwaka huu wa 2022. Herzog pamoja na mambo mengine amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Imarati Mohmammad bin Zayed al-Nahyan. Rais wa…

Ya’alon : Baraza la mawaziri la Netanyahu ni baraza la mawaziri mtenda jinai

Ya’alon : Baraza la mawaziri la Netanyahu ni baraza la mawaziri mtenda jinai

Waziri wa zamani wa ulinzi wa Israel ameashiria baraza la mawaziri linaloundwa na Benjamin Netanyahu na kusisitiza kuwa linaonekama kuwa ni baraza la vita. Waziri wa zamani wa vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel, Moshe Ya’alon, amesisitiza kwamba Israel iko katika hali ya mparaganyiko na utata. Ya’alon ameongeza kuwa waziri ajaye wa usalama wa…

Wabahrain waandamana kulaani safari ya Rais wa Israel nchini kwao

Wabahrain waandamana kulaani safari ya Rais wa Israel nchini kwao

Maandamano makubwa ya kupinga safari ya Rais Isaac Herzog wa utawala haramu wa Israel yamefanyika katika mji mkuu wa Bahrain, Manama. Waandamanaji hao wakiwa wamebeba mabango na maberamu walisikika wakipiga nara dhidi ya utawala haramu wa Israel na kutangaza kuliunga mkono taifa madhulumu la Palestiina. Kadhalika waandamanaji hao mbali na kulaani jinai za Israel huko Palestina…

Malengo ya pamoja ya Aal-Khalifa na Israeli kuhusu safari ya Herzog mjini Manama

Malengo ya pamoja ya Aal-Khalifa na Israeli kuhusu safari ya Herzog mjini Manama

Isaac Herzog, mkuu wa utawala wa Kizayuni unaokalia kwa mabavu Quds Tukufu, aliwasili nchini Bahrain tarehe 4 Disemba kwa ziara rasmi ambapo alikutana na kuzungumza na Mfalme Hamad bin Issa wa nchi hiyo. Safari hiyo imefanyika kwa mwaliko rasmi wa mfalme huyo. Isaac Herzog alitangaza mapema Jumamosi kwamba alikuwa amepanga kuelekea Manama kwa mwaliko wa…

‘Arin al Usud: Tumefanya operesheni 5 za kulipiza kisasi dhidi ya Wazayuni

‘Arin al Usud: Tumefanya operesheni 5 za kulipiza kisasi dhidi ya Wazayuni

Kundi la mapambano ya Kiislamu la ‘Arin al Usud (Pango la Simba) linaloendesha mapambano yake katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina limetoa taarifa na kusisitiza kuwa limefanya operesheni tano za kulipizia kisasi cha kuuliwa shahidi na kikatili kijana wa Kipalestina, Ammar Mefleh. Taarifa ya kundi hilo la muqawama wa Kiislamu imesema kuwa,…

Harakati za Hamas, Jihad Islami zalaani vikali ziara ya rais wa Israel nchini Bahrain

Harakati za Hamas, Jihad Islami zalaani vikali ziara ya rais wa Israel nchini Bahrain

Harakati mbili za mapambano ya Kiislamu (muqawama) Palestina za Hamas na Jihad Islami zenye makao yake katika Ukanda wa Gaza zimelaani vikali ziara inayoendelea nchini Bahrain ya rais wa utawala ghasibu wa Israel. Afisa mwandamizi wa Hamas Basim Naim na msemaji wa Jihad Islami Tariq Salmi walilaani safari hiyo siku ya Jumapili saa chache baada…

Njama ya UAE yazimwa na “kampeni ya kufelisha uanzishaji uhusiano na Israel”

Njama ya UAE yazimwa na “kampeni ya kufelisha uanzishaji uhusiano na Israel”

Kuzinduliwa kampeni kwenye mitandao ya kijamii yenye alama ya hashtag “Kufeli Uanzishaji Uhusiano na Israel Katika Kombe la Dunia Qatar” kumekaribishwa kwa wingi na wanaharakati wa Muungano wa Falme za Kiarabu, Imarati na nchi zingine za Kiarabu ambao wote wamesisitiza kwa kauli moja kwamba, Kombe la Dunia la Soka nchini Qatar limefichua na kuzima njama…