Uyahudi

Wanachama wa mtandao wenye uhusiano na Mossad wanyongwa nchini Iran

Wanachama wa mtandao wenye uhusiano na Mossad wanyongwa nchini Iran

Wanachama wa mtandao wa majambazi na makundi yenye uhusiano na shirika la ujasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel wamenyongwa alfajiri ya leo nchini Iran. Vyombo vya habari rasmi vimesema kuwa watu hao wanne walikuwa sehemu ya mtandao wa kijasusi ambao ulikuwa ukishirikiana na shirika ya ujasusi la Israel, Mossad. Taarifa ya Jeshi la Walinzi wa…

Kombe la Dunia Qatar limeonyesha kufeli mpango wa kuanzisha uhusiano na Israel

Kombe la Dunia Qatar limeonyesha kufeli mpango wa kuanzisha uhusiano na Israel

Khatibu wa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa huko Palestina amesema, wananchi wa mataifa ya Kiarabu na Kiislamu wanaoshuhudia mashindano ya soka ya Kombe la Dunia yanayoendelea nchini Qatar wamethibitisha kugonga mwamba mpango mchafu wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Israel. Samahat Sheikh Ikrima Sabri sambamba na kuashiria msimamo sahihi unaoonyeshwa na Waislamu katika…

Kuwait ni jinai mpango wowote wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel

Kuwait ni jinai mpango wowote wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel

Bunge la Kuwait kwa mara nyingine limechukua hatua inayoashiria msimamo usiotetereka wa nchi hiyo kuhusiana na Palestina, na sasa linaandaa mpango wa kisheria wa kufanya kuwa jinai mpango wowote wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel. Abdullah Al-Mousawi, mtafiti wa masuala ya Palestina amenukuliwa na shirika la habari la Iran Press akisema…

Ismail Ridhwan: Jinai ya kumuua shahidi Ammar Mefleh haitasalia bila jibu

Ismail Ridhwan: Jinai ya kumuua shahidi Ammar Mefleh haitasalia bila jibu

Afisa wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameeleza kuwa, jinai ya kumuua shahidi Ammar Mefleh ni jinai ya kivita na dhidi ya binadamu na haitasalia bila jibu. Mwanajeshi wa utawala ghasibu wa Israel juzi Ijumaa alikabiliwa na muqawama wakati alipojaribu kumtia nguvuni Ammar Mefleh katika kitongoji cha Huwara…

Kombe la Dunia; mwanajeshi Mzayuni akimbia haraka Qatar baada ya kugunduliwa uhakika wake

Kombe la Dunia; mwanajeshi Mzayuni akimbia haraka Qatar baada ya kugunduliwa uhakika wake

Mwanajeshi mmoja Mzayuni aliyejipenyeza nchini Qatar kwa sura bandia ya msanii wa vichekesho, amekimbia haraka nchini humo baada ya Mpalestina mmoja kumgundua na kufichua uhakika wake kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter. Tovuti ya habari ya al Khalij al Jadid imeripoti habari hiyo leo Jumapili na kuongeza kuwa, Samar Dahmash Jarrah, mwandishi Mpalestina raia wa Marekani…

Wananchi wa Argentina waandamana kuliunga mkono taifa la Palestina

Wananchi wa Argentina waandamana kuliunga mkono taifa la Palestina

Makumi ya wananchi wa Argentina wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Buenos Aires na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa taifa madhulumu la Palestina. Waandamanaji hao wakiwa wamebeba bendera za Palestina wakiwa pia na mabango na maberamu  yaliyoandikwa jumbe mbalimbali za kuwaunga mkono Wapalestina walikusanyika mbele ya ubalozi wa Israel mjini Buenos Aires…

Sheikh Ali Da’mush: Mshindi halisi wa Kombe la Dunia Qatar ni Palestina

Sheikh Ali Da’mush: Mshindi halisi wa Kombe la Dunia Qatar ni Palestina

Naibu wa Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, mshindi halisi wa fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea nchini Qatar ni taifa la Palestina kutokana na wimbi kubwa la wachezaji na mashabiki wa soka kuwaunga mkono wananchi wa Palestina. Sheikh Ali Da’mush amebainisha kuwa, matukio mbalimbali yanayoshuhudiwa hivi sasa katika mashindano…

Kimya cha jamii ya kimataifa na kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

Kimya cha jamii ya kimataifa na kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

Mashambulizi ya Wazayuni dhidi ya raia wa Palestina yanaendelea katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu katika kivuli cha kimya na upuuzaji wa jamii ya kimataifa. Mashambulizi ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni yameshtadi katika miezi kadhaa ya karibuni katika maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan hasa katika miji ya Jenin na…