Tutaendelea na mapambaSyria: Tutaendelea na mapambano dhidi ya ugaidi hadi tutakapoisafisha ardhi yetu yoteno dhidi ya ugaidi hadi tutakapoisafisha ardhi yetu yote
Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetangaza kuwa, mapambano dhidi ya magenge ya kigaidi huko kaskazini na kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu yataendelea hadi kila shibri ya ardhi ya Syria itakaposafishwa kikamilifu. Hayo yamekuja baada ya jeshi la Syria kusambaratisha kambi za mafunzo za magenge ya kigaidi katika mkoa wa Idlib wa kaskazini…
Kiongozi wa HAMAS: Mazingira ya Ukingo wa Magharibi ni utangulizi wa kuutokomeza utawala wa Kizayuni
Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema mazingira ya hivi sasa katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan ni utangulizi wa kutokomezwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel. Mahmoud Az-Zahar ameongeza kuwa, nchi kama Syria, Lebanon na Palestina ambazo zimedhuriwa na utawala wa Kizayuni, inapasa zisimame pamoja…
Mzayuni aangamizwa katika operesheni ya wanamapambano wa Palestina
Kanali ya televisheni ya KAN ya utawala wa Kizayuni, mapema leo Jumanne imetangaza habari ya kuangamizwa mlowezi mmoja Mzayuni anayejulikana kwa jina la Shalom Sofer ambaye alijeruhiwa katika operesheni moja ya mwanamapambano wa Palestina. Televisheni hiyo imetangaza kuwa, Shalom Sofer alikuwa mlowezi wa Kizayuni anayeishi katika kitongoji cha Kedumim cha walowezi wa Kizayuni kilichojengwa kwenye ardhi…
Jordan yaonya kuhusu hatua za Israel za kuzusha mizozo Palestina
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jordan ameonya kuhusiana na hatua za utawala haramu za Israel za kuzusha mivutano na mifarakano dhidi ya Wapalestina. Ayman Safadi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jordan amesema hayo katika mazungumzo yake na mratibu maalumu wa Umoja wa Mataifa katika mwenendo wa amani ya Asia Magharibi na kutahadharisha kuhusiana…
Vyombo vya habari vya Israel: Miaka 25 ijayo, utawala wa Kizayuni utakuwa umeshatoweka
Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa Israel yanaonyesha kuwa theluthi moja ya walowezi wa Kizayuni hawataki kuajiriwa jeshini na wanaamini kuwa nchi iitwayo Israel haitakuwepo tena baada ya miaka 25. Kwa mujibu wa televisheni ya Al-Mayadeen, baadhi ya vyombo vya habari vya Israel vimefichua kuwa thuluthi moja ya vijana wa Israel hawaamini kama Israel itakuwepo…
HAMAS: Msikiti wa Aqsa uko chini ya dhulma kubwa ya Wazayuni
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, Msikiti wa al Aqsa (ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu) ni miongoni mwa nembo kuu ya Uislamu na kwamba mji mtakatifu wa Quds uliko Msikiti huo mtakatifu, daima umekuwa ukilengwa na maadui Wazayuni. Ayad Fannunah, mmoja wa viongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu…
Onyo la Russia kuhusu Wamagharibi kutuma magaidi nchini Ukraine
Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia, Nikolay Patrushev, ametangaza kuwa Marekani na Uingereza zinasajili na kuajiri magaidi wa kimataifa kwa ajili ya kushirikiana na jeshi la Ukraine katika vita dhidi ya Russia. Patrushev, ambaye alikuwa akizungumza katika mkutano wa makatibu wa Baraza la Usalama la Jumuiya ya Madola Huru (CIS) siku ya…
Uingereza yalegeza kamba, yaghairi kuuhamishia ubalozi wake Baitul Muqaddas
Vyombo vya habari vimeripoti kuwa serikali mpya ya Uingereza imelegeza kamba kuhusiana na mpango wa serikali ya waziri mkuu wa zamani Liz Truss wa kuhamishia ubalozi wa nchi hiyo katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu. Tarehe 22 Septemba, wakati Liz Truss alipokutana na waziri mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel…