Uyahudi

Wanawake Wapalestina wanateseka katika jela za Israel

Wanawake Wapalestina wanateseka katika jela za Israel

Kwa mujibu wa takwimu za hivi karibuni, utawala haramu wa Israel umewatia mbaroni zaidi ya wanawake 16,000 wa Kipalestina tangu mwaka 1967 huku mashirika ya haki za binadamu yakionya kuhusu hali mbaya ya wafungwa wa kike katika jela za kuogofya za Israel. Addameer, asasi isiyo ya kiserikali ya Wapalestina ambayo inafuatilia jinsi wafungwa wa Kipalestina…

Mshikamano kambi ya muqawama, ujumbe wa Hamas wakutana na Sayyid Nasrullah

Mshikamano kambi ya muqawama, ujumbe wa Hamas wakutana na Sayyid Nasrullah

Ujumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS umeonana na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon mjini Beirut, ukiwa ni ushahidi wa kuzidi kushikamana kambi ya muqawama katika eneo hili. Shirika la habari la Quds limeripoti habari hiyo na kuongeza kuwa, ujumbe huo wa ngazi za juu wa HAMAS…

Palestina yataka uanachama kamili wa Umoja wa Mataifa lakini Marekani inapinga

Palestina yataka uanachama kamili wa Umoja wa Mataifa lakini Marekani inapinga

Mamlaka ya Ndani ya Palestina imeanzisha tena msukumo wake wa kutaka uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa (UN) huku Marekani ikiendeleza njama zake za muda mrefu za kupinga hatua hiyo. “Tunajadiliana kwa nia njema na wanachama wote Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa,” amesema Riyad Mansour, balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa huku…

HAMAS: Jinai za Wazayuni haziwezi kusimamisha muqawama katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

HAMAS: Jinai za Wazayuni haziwezi kusimamisha muqawama katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesisitiza kuwa, kujeruhiwa askari wa utawala dhalimu wa Israel katika mapigano katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan ni ishara ya wazi ya sisitizo la vijana wa Kipalestina juu ya kupambana na uvamizi wa utawala ghasibu wa Israel Hazim Qassim amebainisha kuwa, vita na utawala…

Ziyad al-Nakhala: Katu hatutasalimu amri; adui anataka kutufanya watumwa

Ziyad al-Nakhala: Katu hatutasalimu amri; adui anataka kutufanya watumwa

Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesisitiza kuwa, katu wananchi wa Palestina hawatasalimu amri mbele ya adui Mzayuni na kwamba, bendera ya Palestina itaendelea kupepea. Ziyad al-Nakhala, Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amebainisha kuwa, lengo la adui ni kutufanya watumwa hivyo katu hatuwezi kusalimu amri. Kiongozi huyo mwandamizi wa Harakati ya…

Iran: Israel inapaswa kuharibu silaha zake za nyuklia na ijiunge na NPT

Iran: Israel inapaswa kuharibu silaha zake za nyuklia na ijiunge na NPT

Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel uharibu silaha zake za nyuklia na ujiunge haraka na Mkataba za Kuzuia Uzalishaji na Usambazaji wa Silaha za Nyuklia (NPT). Majid Takht Ravanchi alisema hayo katika Mkutano wa Kumi wa Kuangalia Upya Maazimio ya Nchi…

HAMAS: Jukumu la kambi ya muqawama ni kuifuta Israel katika uso wa dunia

HAMAS: Jukumu la kambi ya muqawama ni kuifuta Israel katika uso wa dunia

Kiongozi mmoja mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, jukumu kuu la kambi ya muqawama ni kuhakikisha ardhi zote za Palestina zinakombolewa na hiyo maana yake ni kufutwa katika uso wa dunia, utawala pandikizi wa Kizayuni ambao unazikalia kwa mabavu ardhi za Palestina. Shirika la habari la FARS limemnukuu Mahmoud…

Nasrullah: Ushindi wa mwaka 2000 wa Muqawama ulitamatisha mradi wa “Israel Kubwa”

Nasrullah: Ushindi wa mwaka 2000 wa Muqawama ulitamatisha mradi wa “Israel Kubwa”

Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, ushindi wa mwaka 2000 wa Muqawama ulihitimisha mradi wa “Israel Kubwa.” Sayyid Hassan Nasrullah ameyasema hayo katika hotuba ya ufungaji wa sherehe za kuadhimisha “Machipuo Arubaini” kwa mnasaba wa kutimia miaka 40 tangu ilipoasisiwa harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah. Nasrullah ameeleza kuwa kuna mafungamano makubwa baina ya…