HRW: Maadamu Israel haiadhibiwi, mashambulio dhidi ya Gaza yataendelea
Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema, kutoadhibiwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndiko kunakoufanya utawala huo uendeleze hatua unazochukua. Katika taarifa kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter, Human Rights Watch imesema, Wapalestina zaidi ya 40, wakiwemo watoto 15 wameuawa katika vita vya siku tatu za karibuni kati ya utawala…
Wairani waandamana kulaani ukatili wa Israel dhidi ya wakazi wa Gaza
Wananchi wa Iran jana Jumanne walifanya maandamano katika mji mkuu Tehran kulaani jinai za utawala wa Kizayuni za kuwaua shahidi wanawake na watoto wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza. Maelfu ya waandamanaji walioshiriki kwenye maandamano hayo walikusanyika katika Medani ya Palestina jijini Tehran, karibu na ubalozi wa Palestina nchini Iran huku wakiwa wamebeba bendera za…
AU yalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza
Umoja wa Afrika (AU) umeungana na jamii ya kimataifa kulaani jinai za kinyama zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Ukanda wa Ghaza huko Palestina. Katika taarifa jana Jumapili, Mwenyekiti wa Kamisheni ya AU, Moussa Faki Mahamat amesema kushambuliwa raia na kuendelea kukaliwa kwa mabavu maeneo ya Palestina na…
Raia Wapalestina 45 wameuawa shahidi katika siku 3 za hujuma za kikatili za Israeli huko Gaza
Siku tatu za mashambulizi ya utawala haramu wa Israel huko Gaza yamesababisha vifo vya raia Wapalestina 45 wakiwemo watoto 15 na wanawake wanne huku wengine 360 wakijeruhiwa Hayo yameripotiwa baada ya mapatano ya usitishaji vita kutangazwa kuanzia saa tano usiku jana Jumapili kwa saa za Gaza (20:30 GMT). Tangu Ijumaa, utawala wa Kizayuni wa Israel…
Nasrullah: Makombora ya muqawama yameilazimisha Israel isalimu amri
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema maadui Wazayuni wametangaza kuwa wako tayari kufikia makubaliano ya usitishaji vita baada ya makombora na maroketi ya wanamuqawama wa Ukanda wa Gaza kuutiwa kiwewe na wahakama utawala huo wa Kizayuni. Sayyid Hassan Nasrullah amesema hayo jana Jumapili na kuongeza kuwa, “Napongeza uthubutu wa Palestina kujibu mapigo, kwa…
Ukaidi wa Tel Aviv juu ya muendelezo wa mashambulizi
Sambamba na siku ya tatu ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza, muqawama ya Palestina bado inaendelea kurusha makombora katika vitongoji vya walowezi wa Kizayuni karibu na Ukanda wa Ghaza na mji wa Quds unaokaliwa kimabavu. Duru za hivi punde ni kuwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza yalianza…
HAMAS: Jihadi na mapambano yataendelea hadi kitakapokombelewa Kibla cha Kwanza cha Waislamu
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa tamko rasmi na sambamba na mkono wake wa pole kufuatia kuuwa shahidi Khalid Mansour, mmoja wa makamanda wa Brigedi za Quds, tawi la kijeshi la harakati ya Jihad al Islami ya Palestina, imesema kuwa, mapambano yataendelea hadi utakapokombolewa Msikiti wa al Aqsa ambao ndicho Kibla cha…
Watoto 6 ni katika Wapalestina 24 waliouliwa kikatili na Wazayuni tangu Ijumaa
Idadi ya Wapalestina waliouliwa shahidi katika jinai zinazoendelea za utawala wa Kizayuni huko Ghaza imeongezeka na kufikia watu 24 wakiwemo watoto wadogo sita. Utawala katili wa Israel unaoua watoto wadogo bila kiwewe, ulianzisha mashambulizi makubwa juzi Ijumaa dhidi ya maeneo ya makazi ya watu huko Ghaza na hadi leo Jumapili, mashambulio hayo yanaendelea. Wizara ya…