Uyahudi

Uhusiano wa Tanzania, Israel ulivyoibua mjadala mpya wa kidiplomasia nchini

Uhusiano wa Tanzania, Israel ulivyoibua mjadala mpya wa kidiplomasia nchini

Haya ni baadhi  ya maoni yaliotolewa na Watalaamu na Wachambuzi wa Siasa na uhusiano wa Kimataifa baada ya Tanzania kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel. Mapema wiki hii historia ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel uliingia katika sura mpya. Dunia imeshuhudia Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Dk Augustine Mahiga…

Kusalimu amri utawala wa Kizayuni mbele ya upinzani wa wananchi wa Eritrea

Kusalimu amri utawala wa Kizayuni mbele ya upinzani wa wananchi wa Eritrea

Waziri Mkuu wa muda wa utawala haramu wa Israeli, Yair Lapid, ametoa amri ya kufungwa kwa ubalozi wa utawala huo nchini Eritrea baada ya viongozi wa nchi hiyo ya Mashariki mwa Afrika kukataa kumpokea balozi mpya wa utawala huo haramu kwa miaka miwili sasa. Katika miaka ya hivi karibuni, utawala wa Kizayuni wa Israel umeweka…

Ubalozi wa Palestina nchini Tanzania walaani mauaji ya mwandishi wa Al-Jazeera

Ubalozi wa Palestina nchini Tanzania walaani mauaji ya mwandishi wa Al-Jazeera

Dar es Salaam. Ubalozi wa Palestina nchini Tanzania unalaani vikali mauaji ya kikatili ya Israel yaliyomlenga mwandishi wa habari mkongwe wa Al-Jazeera, Shireen AbuAqla katika kambi ya wakimbizi ya Jenin. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ubalozi huo Mei 11, 2022, wanajeshi wa Israel walimpiga risasi Shireen kichwani. Mwandishi huyo aliuawa wakati akiripoti uhalifu wa…

Tanzania inaathirikaje Jerusalem ukiwa mji mkuu Israel

Tanzania inaathirikaje Jerusalem ukiwa mji mkuu Israel

Huu ni uchambuzi uliotolewa na mchambuzi wa Gazeti Mwananchi kuhusu  kuhamishwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv kwenda Jerusalem akisema: Hivi karibuni Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza kuitambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel na kwamba ubalozi wake utahamishwa kutoka Tel Aviv kwenda Jerusalem. Akitetea uamuzi huo, Trump alisema ulishapitishwa na Baraza la Congress…

Uungaji mkono wa wanazuoni wa Bahrain kwa mpango wa Sheikh Isa Qassim; umoja wa wapinzani wa utawala wa Aal Khalifa

Uungaji mkono wa wanazuoni wa Bahrain kwa mpango wa Sheikh Isa Qassim; umoja wa wapinzani wa utawala wa Aal Khalifa

Kwa kuunga mkono taarifa iliyotolewa na Sheikh Isa Qassim, kiongozi wa kidini, dhidi ya utawala wa Aal Khalifa, wanazuoni wa Bahrain wamesisitiza udharura wa kuwepo umoja miongoni mwa wapinzani wa utawala wa kidikteta wa nchi hiyo. Tangu Februari 2011 hadi sasa, Bahrain imekuwa ikishuhudia maandamano na mapambano ya wananchi dhidi ya utawala wa kidikteta wa…

Ukatili ambao Wazayuni wanawafanyia Wapalestina ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa

Ukatili ambao Wazayuni wanawafanyia Wapalestina ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa

Mwakilishi wa kudumu wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amesema, ukatili wa mtawalia na wa kimfumo ambao utawala haramu wa Kizayuni wa Israel unawafanyia Wapalestina ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa. Katika kuhakikisha unafikia malengo yake ya kujipanua, utawala wa Kizayuni kila siku unavamia maeneo tofauti ya Palestina na kuwaua shahidi, kuwajeruhi au…

Ripoti: Wazayuni wamewaua shahidi watoto 15 wa Kipalestina

Ripoti: Wazayuni wamewaua shahidi watoto 15 wa Kipalestina

Ripoti mpya ya shirika moja la kutetea haki za watoto imesema askari makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi kwa kuwapiga risasi watoto 15 wa Palestina. Shirika hilo la kimataifa la Defense for Children International tawi la Palestina (DCI-P) lenye makao yake mjini Geneva limesema, mbali na watoto 15 wa Kipalestina kuuawa na wanajeshi wa…

Mpalestina mmoja auawa na wengine 6 kujeruhiwa kujeruhiwa katika shambulio la Wazayuni mjini (Jenin)

Mpalestina mmoja auawa na wengine 6 kujeruhiwa kujeruhiwa katika shambulio la Wazayuni mjini (Jenin)

Wanamgambo wa Kizayuni wamemuua mpiganaji mmoja wa muqawama na kuwajeruhi wengine sita katika shambulio lililotokea katika mji wa Yabd, Jenin. Vyombo vya habari vya Palestina viliripoti Alhamisi asubuhi kwamba utawala wa muda wa Kizayuni umeushambulia kinyama mji wa Jenin ulioko kaskazini magharibi mwa nchi hiyo. Wavamizi hao waliweka kizuizi cha kuhama karibu na kituo cha…