
Jeshi la utawala wa Kizayuni limekiri kuwauwa kwa makusudi raia wa Palestina
Jeshi la utawala wa Kizayuni limetoa taarifa na kukiri kwa namna isiyo rasmi kwamba lilimlenga na kumuua shahidi mwanamme wa Kipalestina bila ya sababu yoyote ile. Jeshi la utawala wa Kizayuni limekiri kuwa, shahidi Ahmad Hassan Kahlah ambaye wiki iliyopita aliuliwa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala huo huko Silwad katika mji wa…

Netanyahu azidi kupelekwa mchakamchaka, kiongozi mwingine wa serikali ajiuzuluu
Duru za utawala wa Kizayuni wa Israel zimetangaza hbari ya kujiuzulu kiongozi mwingine wa serikali ya utawala huo poandikizi na kuzidi kuipeleka mchakamchaka serikali yenye misimamo ya kufurutu ada ya Benjamin Netanyahu. Kwa siku kadhaa sasa utawala wa Kizayuni unashuhudia mapambano baina ya serikali mpya yenye misimamo mikali na wapinzani. Jumamosi wiki hii kulifanyika maandamano…

Kukalia kuti kavu baraza la mawaziri la Benjamin Netanyahu
Baraza la mawaziri la Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel Benjamiin Netanyahu halijafikisha hata muda wa mwezi mmoja ambapo tayari linakabiliwa na hatari ya kusambaratika. Serikali ya Netanyahu inakabiliwa na matatizo mawili makuu na ya kimsingi ambayo yameifanya ikabiliwe na hatari ya kusambaratika. Tatizo la kwanza ni maandamano makubwa na ya mapema ya wananchi…

Balozi mwingine wa Israel ajiuzulu kulalamikia serikali ya misimamo ya kufurutu mpaka ya Netanyahu
Baada ya kujiuzulu balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Ufaransa, balozi wa utawala huo nchini Canada naye pia amejiuzulu wadhifa wake kulalamikia baraza la mawaziri lenye misimamo ya kufurutu ada linaloongozwa na Benjamin Netanyahu na kumuunga mkono waziri mkuu wa zamani Yair Lapid ambaye ni kiongozi wa wapinzani wa Netanyahu. Gazeti la kizayuni…

Kiwewe cha nchi za Ulaya kwa nafasi ya kudhamini usalama ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amesema katika mazungumzo ya simu aliyofanya na mwenzake wa Uswisi Tobias Billström kwamba, nchi za Ulaya zina deni la malipo ya shukrani kwa juhudi kubwa za Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika kupambana na ugaidi na akabainisha kwamba: Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya…

Wajordan wakusanyika mbele ya ubalozi wa Israel kuunga mkono msikiti wa al-Aqswa
Makumi ya wananchi wa Jordan wamekusanyika mbele ya ubalozi wa utawala haramu wa Israel mjini Amman ambapo sambamba na kuulaani jinai za utawala haramu wa Israel wametangaza himaya na uungaji mkono wao kwa msikiti wa al-Aqswa. Waandamanaji hao wakiwemo wajumbe wa vyama mbalimbali vya siasa na wanaharakati wa asasi na jumuiya mbalimbali za kiraia wamesisitiza…

Maelfu waandamana tena dhidi ya serikali yenye misimamo mikali ya Netanyahu
Kwa mara nyingine, makumi ya maelfu ya wakazi wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina na kupachikwa jina la Israel wameandamana dhidi ya serikali yenye misimamo ya kuchupa mipaka ya Benjamin Netanyahu. Maandamano ya jana Jumamosi yanahesabiwa kuwa makubwa zaidi kuwahi kufanyika mjini Tel Aviv, tangu baada ya Netanyahu kurejea madarakani mwezi uliopita kuongoza baraza…

Kufutwa kazi Waziri wa Mambo ya Ndani katika baraza la mawaziri la Netanyahu
Licha ya Mahakama Kuu ya utawala wa Kizayuni kubatilisha uamuzi wa Aryeh Deri kuwa Waziri wa Afya na wa Masuala ya Ndani wa utawala huo kutokana na rekodi yake mbaya ya uhalifu; vyombo vya habari vya utawala wa Israel vimetangaza kuwa Benjamin Netanyahu amemuuzulu waziri huo. Baraza jipya la Mawaziri la Benjamin Netanyahu tayari limeanza…