Uyahudi

Walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa al-Aqsa katika muendelezo wa uchochezi

Walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa al-Aqsa katika muendelezo wa uchochezi

Makumi ya walowezi Waisraeli wamevamia eneo la Msikiti wa al-Aqsa huko Quds (Jerusalem) Mashariki inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel, katika hatua nyingine ya uchochezi dhidi ya waumini Waislamu wa Kipalestina. Walioshuhudia wanasema kwamba uvamizi wa walowezi hao  wenye itikadi kali ulifanyika chini ya ulinzi mkali kutoka kwa wanajeshi wa utawala ghasibu wa…

Wapalestina 75,000 washiriki katika Sala ya Ijumaa kwenye Kibla cha Kwanza cha Waislamu

Wapalestina 75,000 washiriki katika Sala ya Ijumaa kwenye Kibla cha Kwanza cha Waislamu

Makumi ya maelfu ya Waislamu wa Palestina jana walishiriki katika ibada ya Sala ya Ijumaa kwenye Kibla cha Kwanza cha Waislamu yaani Msikiti wa al Aqsa, licha ya vikwazo vingi vya utawala wa Kizayuni. Hayo yameripotiwa na Shirika la Habari la Tasnim ambalo limezinukuu duru za Palestina zikitangaza kuwa, Sala ya Ijumaa ya jana katika Msikiti…

Januari 19; Siku ya Ghaza ni Kielelezo cha Mapambano ya Kiislamu

Januari 19; Siku ya Ghaza ni Kielelezo cha Mapambano ya Kiislamu

Januari 19 inatambuliwa katika kalenda ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni “Siku ya Ghaza” kwa mnasaba wa kumbukumbu ya vita vya siku 22 vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza (Gaza) huko Palestina Utawala ghasibu wa Kizayuni unaoikalia Quds Tukufu kwa mabavu Disemba 27 mwaka 2008 ulianzisha vita dhidi ya…

Kuongezeka idadi ya Wazayuni waliokimbia kutoka ardhi za Wapalestina mwaka 2022

Kuongezeka idadi ya Wazayuni waliokimbia kutoka ardhi za Wapalestina mwaka 2022

Vyombo vya habari vya Kiibrania vimetangaza karibuni kwamba idadi ya Wazayuni waliokimbia kutoka ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu mwaka uliopita wa 2022 kutokana na mapambano makali ya Waplestina dhidi ya askari vamizi wa utawala wa Israel iliongezeka sana. Katika miaka iliyopita Wazayuni wamekuwa wakihamia katika ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu…

Kura ya Alyoum: Biden hatoingia katika kamari hatari ya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran

Kura ya Alyoum: Biden hatoingia katika kamari hatari ya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran

Gazeti la ‘Raei Alyoum’ lilichapisha dokezo na kuandika kwamba ni kweli Washington na Tel Aviv zinaweza kupanga vita dhidi ya Iran; Lakini vita kama hivyo, vikianza, vitasimama tu na mwishowe mchokozi atakua ni mwenye kushindwa, na majibu ya Iran na washirika wake yatakuwa ni yenye uchungu mwingi. Gazeti la ‘Raei Alyoum’, kwa kuchapisha dokezo lililoandikwa…

China yaitaka Israel kusitisha ‘uchokozi’ dhidi ya Wapalestina

China yaitaka Israel kusitisha ‘uchokozi’ dhidi ya Wapalestina

Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesema utawala wa Israel lazima ukomeshe “uchochezi na chokochoko” dhidi ya Wapalestina, hususan katika mji wa al-Quds (Jerusalem) huku kukiwa na hali ya wasiwasi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu. Qin Gang amesema, “Tunautaka upande wa Israel kuacha uchochezi na kujizuia kuchukua hatua yoyote ya upande mmoja…

‘Kufanyika kikao cha Kizayuni Azerbaijan ni utangulizi wa mapatano baina ya Baku na Tel Aviv’

‘Kufanyika kikao cha Kizayuni Azerbaijan ni utangulizi wa mapatano baina ya Baku na Tel Aviv’

Makundi ya Muqawama ya Palestina yametangaza kuwa, kufanyika mkutano wa Wazayuni nchini Azerbaijan ni utangulizi wa kufikiwa mapatano baina ya Baku na Tel Aviv. Ubalozi wa Israel mjini Baku ulitangaza Jumatatu kuwa, kikao rasmi cha mabalozi wa utawala wa Kizayuni katika nchi za eneo la Eurasia kitafanyika mjini Baku mnamo siku chache zijazo kwa kuhudhuriwa na…

Maandamano ya mapema dhidi ya serikali ya Netanyahu; indhari kuhusu vita vya ndani

Maandamano ya mapema dhidi ya serikali ya Netanyahu; indhari kuhusu vita vya ndani

Makumi ya maelfu ya wakazi wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel) wameandamana kulalamikia maamuzi yaliyochukuliwa na serikali ya Benjamin Netanyahu ya kubana mfumo wa mahakama wa utawala huo. Maandamano ambayo yamefanyika karibuni katika miji ya Tel Aviv na Haifa yamewashirikisha watu wengi zaidi ikilinganishwa na yale yaliyofanyika katika miji mingine ya ardhi zinazokaliwa…