Uzayuni

Uchambuzi wa hisia za kufedhehesha za Imarati kwa jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza

Uchambuzi wa hisia za kufedhehesha za Imarati kwa jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza

Katika utafiti uliochapishwa na Kituo cha Mafunzo ya Mashariki ya Kati huko Washington (MEI), imeelezwa kuwa Imarati imekuwa na nafasi ya uungaji mkono mkubwa wa kieneo wa utawala huu katika kipindi chote cha shambulio la jinai la Israel dhidi ya Gaza – ambalo liliingia katika mkondo wa pili. Katika utafiti huu, imeelezwa kuwa vita ambavyo…

Vyombo vya habari vya Israel: Hadi kufikia sasa Nasrullah bado hajatumia kadi zake zote

Vyombo vya habari vya Israel: Hadi kufikia sasa Nasrullah bado hajatumia kadi zake zote

Katika mkesha wa hotuba mpya ya Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, vyombo vya habari vya Israel viliendelea kuichambua hotuba ya Sayid Hassan Nasrallah wiki 2 zilizopita na kusisitiza kuwa bado hajatumia kadi zake zote na uwezo wa makombora wa muqawama wa Lebanon ni upo juu zaidi ya mawazo ya Tel Aviv. Katibu Mkuu wa…

Ufaransa yaimarisha hatua za usalama kwa Wayahudi

Ufaransa yaimarisha hatua za usalama kwa Wayahudi

Katika kipindi hiki ambapo nchi nyingi za Magharibi zinaendelea kuunga mkono utawala wa Kizayuni, Rais wa Ufaransa ameamuru kutumwa kwa askari 10,000 wa polisi ili kulinda maeneo ya Mayahudi nchini humo. “Gerald Darmanin”, ambaye ni Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa, huku akionya kuhusu ongezeko la vitendo vya hujuma dhidi ya Wayahudi katika nchi…

Njama ya pamoja ya Washington-Tel Aviv ya kuwaondoa Hamas mamlakani

Njama ya pamoja ya Washington-Tel Aviv ya kuwaondoa Hamas mamlakani

Bloomberg ilifichua njama za utawala wa Kizayuni na Marekani za kutaka kuwaondoa Hamas madarakani na kupeleka vikosi vya kulinda amani huko Ghaza. Utawala wa Kizayuni kwa dhana ya kuangamiza harakati ya Hamas, umekuwa ukiendelea kuushambulia Ukanda wa Gaza kwa muda wa siku 26 na kuua maelfu ya Wapalestina, na hauko tayari kutoa wito wa kusitishwa…

Rabi wa Kiyahudi: Tunaomba kwa ajili ya kuangamia kwa Israeli

Rabi wa Kiyahudi: Tunaomba kwa ajili ya kuangamia kwa Israeli

Rabi mmoja wa Marekani ambaye ni mwanachama wa harakati ya chuki dhidi ya Uzayuni anasema: Utawala wa Kizayuni ulianzisha serikali yake kwa kuwaibia Waarabu.Sisi Mayahudi wa kidini tunamuomba Mwenyezi Mungu kila siku kwa ajili ya mwisho wa haraka wa Israel. Rabi huyo wa Israel ajulikanaye kama David Weiss, ambaye ni mjumbe wa shirika la kimataifa…

Hotuba ya Ijumaa – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hotuba ya Ijumaa – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan October 27, 2023     Mahubiri ya 1: Wapiganaji wa Vita vya Msalaba wana nafasi mbele ya Mwenyezi Mungu Leo hii ubaya unafanywa kote ulimwenguni. Kuna wale ambao ni…

Muqtada Sadr adai kufungwa kwa ubalozi wa Marekani nchini Iraq

Muqtada Sadr adai kufungwa kwa ubalozi wa Marekani nchini Iraq

Kiongozi wa harakati ya Sadr nchini Iraq amechapisha makala akiiomba serikali na bunge la nchi ya Iraq ya kwamba watafute jinsi ya kufikia makubaliano ya kusitisha shughli za ubalozi wa Washington mjini Baghdad, kutokana na uungaji wake mkono usio na kikomo wa Marekani kwa jinai za kigaidi zinazofanywa na Wazayuni dhidi ya watu wa Gaza…

Hamas yaonya kuhusu uhalifu mpya mjini Gaza

Hamas yaonya kuhusu uhalifu mpya mjini Gaza

Harakati ya Hamas ilitangaza kuwa uwongo wa msemaji huyo wa adui Mzayuni ni ishara ya uamuzi wa utawala huo wa kufanya jinai nyingine dhidi ya Wapalestina, hali ambayo inaweza kuwa mbaya zaidi kuliko jinai ya hospitali ya al-Mu’amdani. Hamas ilisema: Zaidi ya Wapalestina 40,000 walikimbilia katika Hospitali ya al-Shafa. Tunatahadharisha kuhusu mauaji mapya na tunatoa…