Uzayuni

Mpalestina Khader Adnan akata roho na kufa shahidi akiwa ndani ya gereza la Israel

Mpalestina Khader Adnan akata roho na kufa shahidi akiwa ndani ya gereza la Israel

Wizara inayoshughulikia masuala ya Wapalestina wanaoshikiliwa mateka na walioachiwa huru imetangaza kuwa Sheikh Khader Adnan, mfungwa Mpalestina amekata roho na kufa shahidi ndani ya gereza la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel. Adnan, mmoja wa viongozi wa harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina, alikamatwa na utawala wa Kizayuni Februari 5 na kuamua kususia kula kwa muda wa…

Wasia wa Shahidi Khizr Adnan

Wasia wa Shahidi Khizr Adnan

“Esraa Al-Bahisi” ripota wa Habari ameripoti kuhusu wasia ulioandikwa na mfungwa wa Kipalestina na shahidi mwanajeshi Khizr Adnan kabla ya kuuawa shahidi. Usia ulioandikwa na shahidi Sheikh Khizr Adnan kwa mkewe, watoto wake na watu wote waliodhulumiwa wa Palestina ni kama ifuatavyo: Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema “Wale walioamini hawana khofu juu…

Hali mbaya katika jela za utawala unaoukalia kwa mabavu baada ya tangazo la kuuawa shahidi Khizr Adnan

Hali mbaya katika jela za utawala unaoukalia kwa mabavu baada ya tangazo la kuuawa shahidi Khizr Adnan

Hali katika jela za utawala ghasibu wa Kizayuni katika kukabiliana na kuuawa shahidi Sheikh Khizr Adnan, mateka wa Kipalestina katika jela za utawala huo ghasibu, inaripotiwa kutokuwa shwari, na wafungwa wa Kipalestina waliitikia pakubwa habari za kuuawa shahidi Khizr. Adnan. Ripota wa habari mjini Ramallah ameripoti kuwa jela za utawala huo ghasibu zilishuhudia mapigano makali…

Majibu ya jeshi la anga la Syria kwa shambulio la utawala wa Kizayuni

Majibu ya jeshi la anga la Syria kwa shambulio la utawala wa Kizayuni

Duru rasmi za Syria ziliripoti mapema Jumamosi kwamba ulinzi wa anga wa jeshi la nchi hiyo ulizima hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya Homs. Shirika rasmi la habari la Syria; SANA, ikithibitisha habari hii, imetangaza kuwa ulinzi wa anga wa jeshi la Syria umekabiliana na makombora ya Kizayuni huko Homs na kuangamiza baadhi yao….

Kuanza tena mashambulizi ya Wazayuni kwenye Msikiti wa Al-Aqsa baada ya Ramadhani

Kuanza tena mashambulizi ya Wazayuni kwenye Msikiti wa Al-Aqsa baada ya Ramadhani

Mivutano mipya inazuka katika Msikiti wa Al-Aqsa sambamba na kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani. Sababu ni kuwa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel baada ya kukabiliwa na hatari ya kufunguka medani mpya za mapambano kutokea Gaza, kusini mwa Lebanon na Golan ya Syria kwa ajili ya kuzuia mashambulizi na uvamizi zaidi wa…

Wanamambano kutoka Gaza walifanyia majaribio kombora la kutoka ardhini hadi angani

Wanamambano kutoka Gaza walifanyia majaribio kombora la kutoka ardhini hadi angani

Vyanzo vya habari viliripoti majaribio ya kombora la kutoka ardhini hadi angani huko Gaza na vikosi vya upinzani. Vyanzo vya ndani vya Gaza vimeripoti leo (Alhamisi) jaribio la kombora la kutoka ardhini hadi angani katika anga ya eneo hili. Kwa mujibu wa Shahab News, kombora hili lilirushwa kuelekea baharini na baada ya hapo, sauti ya…

Balozi wa Palestina nchini Iran: Wakati umewadia kwa taifa madhulumu la Palestina kukombolewa na kupata uhuru

Balozi wa Palestina nchini Iran: Wakati umewadia kwa taifa madhulumu la Palestina kukombolewa na kupata uhuru

Salam Zawawi, balozi wa Palestina mjini Tehran amesema: Wakati umefika kwa taifa kubwa la Palestina kukombolewa na kusali pamoja katika Msikiti wa Al-Aqswa. Salam Zawawi, katika mahojiano na kituo cha habari cha Ofisi ya Hifadhi na Uchapishaji wa Kazi za Kiongozi Muadhamu, yaliyofanyika Jumamosi (Mei 2) pembezoni mwa kikao cha viongozi wa nchi na mabalozi…

Meli ya Norway ikiwa njiani kwa ajili ya kuvunja kizuizi cha Gaza

Meli ya Norway ikiwa njiani kwa ajili ya kuvunja kizuizi cha Gaza

Wanaharakati wa kimataifa na wafuasi wa taifa la Palestina wanapanga kutuma meli mpya katika Ukanda wa Gaza, kwa mara nyingine tena ili kuvunja vizuizi hivyo. Muungano wa “Freedom Fleet Coalition” umetangaza utayarifu wa meli mpya kuanza kusafiri kutoka bandari za nchi za Ulaya, ambayo itaanza safari yake kuelekea Ukanda wa Gaza katika mfumo wa juhudi…