Uzayuni

Zaidi ya waumini 100,000 wahudhuria swala ya Eid al-Fitr katika Msikiti wa Al-Aqsa

Zaidi ya waumini 100,000 wahudhuria swala ya Eid al-Fitr katika Msikiti wa Al-Aqsa

Makundi tofauti ya wananchi wa Palestina wamefanya ibada ya Swala ya Eid al-Fitr katika maeneo tofauti ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu Ijumaa asubuhi ya leo. Takriban watu 120,000 waliswali swala ya Idi katika Msikiti wa Al-Aqsa. Licha ya utayarifu kamili wa jeshi la Kizayuni katika Jerusalem inayokaliwa kwa mabavu na kuunda vizuizi vya kijeshi na…

Sherehe za upandishaji bendera ya utawala wa Kizayuni mjini Sydney zazua matatizo

Sherehe za upandishaji bendera ya utawala wa Kizayuni mjini Sydney zazua matatizo

Wakaazi kutoka kote Sydney watahudhuria mkutano wa Jumanne usiku wa Halmashauri ya Jiji la Randwick ili kuhimiza baraza hilo kubatilisha uamuzi huo. Kwa mujibu wa Mtandao wa Habari wa Al-Alam ulionukuliwa na Shirika la Habari la Associated Press, baadhi ya wananchi watakusanyika nje ya ukumbi wa kikao cha Baraza la Mji wa Randwick mjini Sydney,…

Mmoja wa makamanda wa utawala wa Kizayuni afutwa kazi baada ya kushindwa kumtia mbaroni kijana wa Kipalestina

Mmoja wa makamanda wa utawala wa Kizayuni afutwa kazi baada ya kushindwa kumtia mbaroni kijana wa Kipalestina

Kamanda wa kitengo cha vikosi vya siri vya utawala wa Kizayuni alitimuliwa kwa kushindwa kumkamata kijana wa Kipalestina anayeishi Jenin na kuhatarisha maisha ya askari waliokuwa chini yake pasi na sababu. Shirika la habari la Sama la Palestina limenukuu gazeti la Yediot Aharonot na kuandika: Meja Jenerali Amir Cohen, Mkuu wa Polisi wa mpaka wa…

Ajali ya ndege isiyo na rubani ya jeshi la Kizayuni nchini Syria

Ajali ya ndege isiyo na rubani ya jeshi la Kizayuni nchini Syria

Ndege isiyo na rubani ya Israel ilianguka nchini Syria. Msemaji wa jeshi la utawala huo ghasibu amesema: Ndege isiyo na rubani ya jeshi la utawala huu ilianguka ndani ya ardhi ya Syria. Alisema kuanguka kwa ndege hii isiyo na rubani jana usiku wakati wa operesheni za kawaida nchini Syria kulitokana na hitilafu ya kiufundi na…

Wapiganaji wa Kipalestina walipambana na askari wa Kizayuni mjini Jenin

Wapiganaji wa Kipalestina walipambana na askari wa Kizayuni mjini Jenin

Mapema leo Jumatano wapiganaji wa Kipalestina wamekabiliana vikali na utawala wa Kizayuni katika eneo la Jenin katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan. Vyanzo vya habari kwa kuchapisha faili za video vimebainisha kuwa kufuatia shambulio la jeshi la Kizayuni dhidi ya makazi ya Qabatiya kusini mwa mji wa Jenin, sauti ya risasi na mapigano kati…

Tovuti 60 za utawala wa Kizayuni zililengwa katika shambulio la kimtandao

Tovuti 60 za utawala wa Kizayuni zililengwa katika shambulio la kimtandao

Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni viliripoti Jumamosi usiku kwamba tovuti 60 za utawala huu ziliharibiwa na mashambulizi ya mtandaoni katika muda wa siku 2 zilizopita. Kanali ya 12 ya utawala wa Kizayuni imeripoti kuwa, shambulio hilo la mtandao ni shambulio kubwa zaidi katika miaka ya hivi karibuni ambalo limelenga mkusanyiko mkubwa wa tovuti…

Mihadhara kutoka kwa shakhsia tofauti tofauti ulimwenguni na mhimili wa upinzani katika mpango wa  “Minbar ya al-Quds al-alami”

Mihadhara kutoka kwa shakhsia tofauti tofauti ulimwenguni na mhimili wa upinzani katika mpango wa “Minbar ya al-Quds al-alami”

Katika mkesha wa Siku ya Quds Duniani, Mitandao ya Habari ilianza kuwasilisha maoni ya viongozi na shakhsia wa kisiasa wa Ulimwengu wa Kiislamu kuhusu Quds katika harakati ya kukabiliana na utawala wa Kizayuni na makundi ya muqawama kwa kutangaza moja kwa moja kipindi cha “Minbar ya al-Quds”. . Katibu Mkuu wa Islamic Jihad: Tunafanya upya…

Netanyahu aamuru Mayahudi wasiingie Msikiti wa Al-Aqsa mpaka mwisho wa Ramadhani

Netanyahu aamuru Mayahudi wasiingie Msikiti wa Al-Aqsa mpaka mwisho wa Ramadhani

Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ametangaza kuwa kwa ushauri wa maafisa usalama wa Israel, Mayahudi wasiende katika Msikiti wa Al-Aqsa hadi mwisho wa mwezi wa Ramadhani. Kwa mujibu wa shirika la habari la ISNA, Wapalestina waliuwekea mashinikizo utawala dhalimu wa Kizayuni baada ya wanajeshi wa Israel kuwavamia waumini waliokuwa kwenye ibada ya…