Uzayuni

Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni atishia kujiuzulu

Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni atishia kujiuzulu

Waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni alitoa onyo kwa baraza la mawaziri la utawala wa Kizayuni ya kwamba atajiuzulu iwapo mageuzi ya mahakama yatafanyika. Yoaf Gallant, Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni alitishia kujiuzulu kwa baraza la mawaziri la Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu siku ya Jumatatu. Kanali ya 13 ya utawala wa Kizayuni…

Wapalestina waanzisha kampeni ya kuusafisha msikiti wa al-Aqsa kuukaribisha mwezi wa Ramadhani

Wapalestina waanzisha kampeni ya kuusafisha msikiti wa al-Aqsa kuukaribisha mwezi wa Ramadhani

Mamia ya Wapalestina wakazi wa mji wa Baitul Muqaddas unaokaliwa kwa mabavu wameanzisha kampeni ya kuusafisha Msikiti mtukufu wa Al-Aqsa sambamba na kukaribia mwandamo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la IranPress, katika kampeni hiyo, mamia ya Wapalestina wanaojitolea na kushughulika na hafla za kitaifa na Kiislamu huko Palestina inayokaliwa…

Mufti wa Oman: Mapatano ya Iran na Saudia yameutia hofu na kiwewe utawala wa Kizayuni wa Israel

Mufti wa Oman: Mapatano ya Iran na Saudia yameutia hofu na kiwewe utawala wa Kizayuni wa Israel

Mufti wa Oman Sheikh Ahmad bin Hamad Al-Khalili amesisitiza haja ya kudumishwa amani na utangamano katika eneo la Ghuba ya Uajemi na kubainisha kwamba, makubaliano na mapatano yaliyofikiwa kati ya Iran na Saudi Arabia yameutia hofu na kiwewe utawala haramu wa Kizayuni wa Israel. Kufuatia mazungumzo ya hivi karibuni kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya…

Hofu ya Wazayuni juu ya uwezekano wa kurudi kwa uhusiano wa kawaida kati ya Iran na Misri

Hofu ya Wazayuni juu ya uwezekano wa kurudi kwa uhusiano wa kawaida kati ya Iran na Misri

Baada ya makubaliano hayo kati ya Iran na Saudi Arabia, hivi sasa vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vinazungumzia wasiwasi na hofu ya mamlaka ya Tel Aviv kuhusu kuhalalisha uhusiano kati ya Tehran na Cairo katika siku za usoni. Kwa mujibu wa shirika la habari la Palestina “Sama”, tovuti ya habari ya “Makor Rashon”…

Vikosi maalum vya Kizayuni: Hatutahudumu jeshini kuanzia Jumapili

Vikosi maalum vya Kizayuni: Hatutahudumu jeshini kuanzia Jumapili

Vikosi mia moja vya akiba vya operesheni maalum ya utawala wa Kizayuni vilitangaza Alhamisi usiku kwamba havitahudumu katika jeshi kuanzia Jumapili katika harakati ya kupinga mageuzi ya mahakama. Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni viliripoti kuwa mamia ya vikosi maalum vya akiba vya idara ya ujasusi ya kijeshi, Mossad na Shabak vilitangaza kuwa havitaendeleza…

Vikosi vya muqawama vya Palestina vyafanya operesheni 22 dhidi ya Wazayuni

Vikosi vya muqawama vya Palestina vyafanya operesheni 22 dhidi ya Wazayuni

Duru za habari zimeripoti hivi karibuni kwamba, wanajeshi wa muqawama wa Palestina walifanya oparesheni 22 dhidi ya Wazayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan katika muda wa saa 24 zilizopita. Kituo cha Takwimu na Habari cha Palestina kinachojulikana kwa jina la “Mu’ti” kilitangaza kuwa, vikosi vya muqawama vya Palestina vilifanya operesheni 22 dhidi ya…

Kejeli za Lapid kwa Netanyahu: baraza la mawaziri linaendeshwa na mtu mwengine

Kejeli za Lapid kwa Netanyahu: baraza la mawaziri linaendeshwa na mtu mwengine

Yair Lapid, Waziri Mkuu wa zamani na kiongozi wa sasa wa upinzani katika baraza la mawaziri la Benjamin Netanyahu, alimwambia Waziri Mkuu wa Israel kwa maneno ya kejeli: “Ushahidi na nyaraka tulizopokea usiku wa leo ni kwamba Bibi hadhibiti baraza lake la mawaziri.” Akijibu kukataa kwa Netanyahu ombi la Rais wa Israel Isaac Herzog kuhusu…

Safari ya Netanyahu nchini Ujerumani huku maandamano ya Wazayuni yakiendelea

Safari ya Netanyahu nchini Ujerumani huku maandamano ya Wazayuni yakiendelea

Serikali ya Ujerumani ilitangaza kuwa kansela wa nchi hiyo atakuwa mwenyeji wa waziri mkuu wa Israel katika mkutano wa “chakula cha mchana” mjini Berlin Alhamisi hii. Afisa wa Ujerumani alitangaza mpango wa Waziri Mkuu Olaf Schultz kwa ajili ya mkutano wa pande mbili na Benjamin Netanyahu huko mjini Berlin. Vyanzo vya habari kutoka Berlin, mji…