Uzayuni

Wapalestina wapongeza operesheni ya al-Quds, wasema ni kulipiza kisasi kwa mauaji ya Jenin

Wapalestina wapongeza operesheni ya al-Quds, wasema ni kulipiza kisasi kwa mauaji ya Jenin

Makundi ya muqawama na mapambano ya ukombozi wa Palestina yamepongeza operesheni ya kulipiza kisasi karibu na sinagogi katika makazi haramu ya walowezi wa Kizayuni kwenye eneo la al- Quds (Jerusalem) Mashariki linalokaliwa kwa mabavu na Israel, na kueleza kuwa oparesheni hiyo ni ‘jibu la moja kwa moja’ kwa uvamizi mbaya zaidi wa kijeshi wa Israel…

Ansarullah: Uhalifu wa Wazayuni mjini Jenin ni nukta ya aibu kwa kutaka kuhalalisha mahusiano

Ansarullah: Uhalifu wa Wazayuni mjini Jenin ni nukta ya aibu kwa kutaka kuhalalisha mahusiano

Ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Ansarullah nchini Yemen imesisitiza kuwa, mauaji ya Wapalestina yaliyotekelezwa  na adui Mzayuni huko mjini Jenin ni chanzo cha aibu kwa tawala ambazo zimegeukia kuhalalisha uhusiano na utawala huo ghasibu, kwa sababu kwa kupiga hatua katika swala la kuhalalisha inampa nguvu adui Mzayuni na kumhimiza kuwakalia kwa mabavu na kuendeleza…

Mashambulizi ya anga ya utawala wa Israel dhidi ya Gaza/majibu ya roketi ya upinzani kusini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu/majibu ya ulinzi wa muqawama dhidi ya mashambulizi ya Wazayuni

Mashambulizi ya anga ya utawala wa Israel dhidi ya Gaza/majibu ya roketi ya upinzani kusini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu/majibu ya ulinzi wa muqawama dhidi ya mashambulizi ya Wazayuni

Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni zimelenga moja ya makao makuu ya muqawama wa Palestina katikati mwa Ukanda wa Gaza leo hii asubuhi (Ijumaa). Shambulio hilo la anga la utawala wa Kizayuni lilifanyika kufuatia shambulio la roketi la mapema asubuhi la makundi ya muqawama wa Palestina katika vitongoji vya walowezi wa Kizayuni karibu na…

Muungano unaolegalega wa utawala wa Kizayuni wakaribia kusambaratika

Muungano unaolegalega wa utawala wa Kizayuni wakaribia kusambaratika

Duru za utawala wa Kizayuni wa Israel zimetangaza hbari ya kujiuzulu kiongozi mwingine wa serikali ya utawala huo bandia na hivyo kuongeza uwezekano wa kusambaratika muungano unaolegalega wa serikali yenye misimamo ya kufurutu ada ya Benjamin Netanyahu. Kwa siku kadhaa sasa utawala wa Kizayuni unashuhudia mapambano baina ya serikali mpya yenye misimamo mikali na wapinzani….

Hamas: Kutiwa nguvuni wanamuqawama kunakofanywa na Mamlaka ya Ndani ya Palestina ni kuihudumia Israel

Hamas: Kutiwa nguvuni wanamuqawama kunakofanywa na Mamlaka ya Ndani ya Palestina ni kuihudumia Israel

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa radiamali kufuatia hatua ya idara za usalama za Mamlaka ya Ndani ya Palestina ya kuwatia nguvuni wanamuqawama na wanachama wa harakati hiyo katika Ukingo wa Magharibi na kusisitiza kuwa, kitendo hicho ni sawa na kuuhudumia utawala wa Kizayuni. Uratibu wa masuala ya usalama umeanzishwa kati ya…

Jeshi la utawala wa Kizayuni limekiri kuwauwa kwa makusudi raia wa Palestina

Jeshi la utawala wa Kizayuni limekiri kuwauwa kwa makusudi raia wa Palestina

Jeshi la utawala wa Kizayuni limetoa taarifa na kukiri kwa namna isiyo rasmi kwamba lilimlenga na kumuua shahidi mwanamme wa Kipalestina bila ya sababu yoyote ile. Jeshi la utawala wa Kizayuni limekiri kuwa, shahidi Ahmad Hassan Kahlah ambaye wiki iliyopita aliuliwa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala huo huko Silwad katika mji wa…

Netanyahu azidi kupelekwa mchakamchaka, kiongozi mwingine wa serikali ajiuzuluu

Netanyahu azidi kupelekwa mchakamchaka, kiongozi mwingine wa serikali ajiuzuluu

Duru za utawala wa Kizayuni wa Israel zimetangaza hbari ya kujiuzulu kiongozi mwingine wa serikali ya utawala huo poandikizi na kuzidi kuipeleka mchakamchaka serikali yenye misimamo ya kufurutu ada ya Benjamin Netanyahu. Kwa siku kadhaa sasa utawala wa Kizayuni unashuhudia mapambano baina ya serikali mpya yenye misimamo mikali na wapinzani. Jumamosi wiki hii kulifanyika maandamano…

Mwanariadha  wa Yemen ajiondoa katika mashindano dhidi ya mwakilishi wa utawala wa Kizayuni

Mwanariadha wa Yemen ajiondoa katika mashindano dhidi ya mwakilishi wa utawala wa Kizayuni

Mwanariadha huyo wa Yemen alijiondoa katika mashindano hayo ili kuepusha makabiliano na mwakilishi wa utawala wa Kizayuni katika mashindano ya “Grand Prix” ya Ufaransa. Kwa mujibu wa tovuti ya habari ya Al-Ahed, “Ebrahim Al-Shabami”, mwanamieleka wa fremu wa kilo 66 wa Yemen, alitangaza kujiondoa baada ya kuchujwa dhidi ya mwanariadha kutoka utawala wa Kizayuni katika…