Ripoti kuhusu jinai za kivita za muungano wa Saudia na Imarati nchini Yemen
Kituo cha sheria cha Ain al-Insaniyah (Jicho la Ubinadamu) cha Yemen kimetoa takwimu za kushtua kuhusu maafa ya kibinadamu na kiwango cha uharibifu uliosababishwa na mashambulio ya muungano vamizi wa Saudia na Imarati katika nchi hiyo, takwimu ambazo zinaanika wazi wigo wa jinai za kivita zilizofanywa na muungano huo na waungaji mkono wake wa Magharibi…
Kanali ya Kizayuni: Israel inakabiliwa na Intifadha mpya ya Wapalestina
Chombo kimoja cha habari cha Kizayuni kimesema hali ya usalama katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu ni ya ‘hatari’ na kwamba Tel Aviv inakabiliwa na Intifadha mpya ya Wapalestina. Kwa mujibu wa mwandishi wa habari wa Kanali ya 12 ya Kizayuni, tangu kuanza kwa operesheni za hivi karibuni katika…
Russia, Uchina zalaani ‘matumizi ya nguvu kupita kiasi’ ya Israel dhidi ya Wapalestina
Russia na China zimeulaani vikali utawala wa Israel kutokana na utumiaji wake mabavu kupita kiasi dhidi ya Wapalestina huku hali ya wasiwasi ikiongezeka katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu. Akizungumza katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya Mashariki ya Kati, likiwemo suala la Palestina, siku ya Jumatatu, naibu balozi wa…
Mzayuni Ben-Gvir asema ataushambulia msikiti wa al Aqsa, HAMAS yamjibu kuwa atashindwa!
Itamar Ben-Gvir, mzayuni mwenye misimamo ya kufurutu mpaka na kiongozi wa chama cha Nguvu ya Kiyahudi ambaye amependekezwa kuwa waziri wa usalama wa ndani katika baraza la mawaziri la Benjamin Netanyahu, ametangaza kuwa, mnamo siku chache zijazo ataushambulia Msikiti wa Al-Aqsa. Kwa mujibu wa tovuti ya Falastin Al-Yum, Ben-Gvir, amesisitiza katika mahojiano ya televisheni akisema:…
Wapalestina pawatatu wakiwemo ndugu wawili wa kiume wauliwa shahidi Ukingo wa Magharibi
Wapalestina watatu wakiwemo ndugu wawili wa kiume Jawaad na Dhaafar Abdurrahman wameuawa shahidi asubuhi ya leo baada ya kupigwa risasi na askari katili wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika kijiji cha Kafr Ain kaskazini mwa Ramallah, Ukingo wa Magharibi Palestina inayokaliwa kwa mabavu. Duru za Palestina zimeripoti kuwa Dhaafar Abdurrahman Rimawi mwenye umri…
Wazayuni: Katika Kombe la Dunia la Qatar, tumejua ni kiasi gani tunachukiza
Gazeti la Kizayuni la Yedioth Ahronoth limeashiria matatizo makubwa yanayowakumba waandishi wa habari wa utawala wa Kizayuni katika mashindano ya Kombe la Dunia 2022 yanayoendelea hivi sasa nchini Qatar na kuandika, katika mashindano haya tumeelewa ni kiasi gani hatupendwi na tunachukiza vibaya katika ulimwengu wa Kiarabu. Kwa mujibu wa shirika la habari la FARS, gazeti…
Jumuiya 198 za Palestina na za kimataifa zatoa mwito kwa ICC kuchunguza jinai za Israel
Makumi ya asasi za Palestina na za kimataifa zimeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ifanye uchunguzi kuhusu jinai zinazofanywa na Wazayuni dhidi ya wananchi wa Palestina. Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa leo na Falastin al-Yaum, jumuiya 198 za Palestina na za kimataifa zimemtaka Karim Khan, Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai na…
Mashabiki wa Tunisia wanaunga mkono Palestina wakati wa Mechi ya Kombe la Dunia la 2022
Mashabiki wa Tunisia walipeperusha bendera ya “Palestine Huru” katika dakika ya 48 ya mechi yao ya Kombe la Dunia la Qatar dhidi ya Australia siku ya Jumamosi, wakimaanisha kile kinachojulikana na Waarabu kama Nakba ya 1948 wakati mamia ya maelfu ya Wapalestina walipotimuliwa kutoka nchi yao na wanamgambo wa Kizayuni na baada ya hapo ukanduwa…