Taarifa ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu; mzongano usiozongoka wa uzushaji tuhuma dhidi ya Iran
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani taarifa ya hivi karibuni ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na ya ile inayojiita kamati ya pande nne na kusisitiza kuwa hatua zinazochukuliwa na Iran kuhusiana na visiwa vyake vitatu zinalenga kulinda mamlaka ya kujitawala ardhi yote ya taifa…
Hamas: Mauaji ya raia wa Kipalestina yanaonesha sura mbaya ya Israel
Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, mauaji yanayofanywa kwa makusudi na askari wa Israel dhidi ya raia wa Kipalestina yanaonyesha sura mbaya ya wavamizi hao wanaoikalia Palestina kwa mabavu. Katika mahojiano yake na kituo cha redio cha Saut al-Aqsa, Fouzi Barhoum ameongeza kuwa, matamshi yaliyotolewa na Waziri Mkuu wa…
Mamlaka ya Ndani ya Palestina: Matamshi ya karibuni ya Lapid ni sawa na kutoa kibali cha kuuliwa Wapalestina
Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni unabeba dhima ya kuwa masuuli wa jinai zinazofanywa kwa Wapalestina, kukiukwa haki za raia hao, ardhi na matukufu ya Palestina kwa hatua yake ya kuwaunga mkono kikamilifu wauaji, watenda jinai, na magaidi wake. Wazayuni maghasibu kila siku huvamia na…
Baraza la Wanazuoni Wataalamu: Palestina ndio kadhia ya kwanza ya ulimwengu wa Kiislamu
Baraza la Wanazuoni Wataalamu linalomchagua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na kusimamia kazi zake limesisitiza kuwa, Palestina ndio kadhia ya kwanza katika ulimwengu wa Kiislamu kama ilivyo pia suala la Beitul-Muqaddas. Sisitizo hilo limo katika taarifa ya mwisho ya mkutano wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu linalomchagua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya…
Mazoezi ya vikosi vya nchi kavu vya jeshi; maonyesho ya nguvu na uwezo wa Iran ya Kiislamu
Mazoezi ya Uwezo 1401 ya jeshi la Iran yanafanyika kwa muda wa siku mbili kwa lengo la kutathmini na kuboresha kiwango cha nguvu na utayari wa kupambana wa Jkikosi cha Jeshi la Nchi Kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na vitisho tarajiwa. Mazoezi hayo yalianza jana Jumatano kwa kushirikisha askari wa miguu, drone,…
Syria: Tutatumia haki yetu ya kisheria kujibu jinai za utawala haramu wa Israel
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Syria imetangaza kuwa, mashambulio ya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Uwanja wa Ndege wa Halab ni jinai za kivita na kwamba, Damascus itatumia haki yake ya kisheria kwa ajili ya kujibu jinai za utawala huo. Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Syria imeeleza kwamba, mashambulio…
Rais wa Lebanon: Hizbullah ni mshirika wetu na tunaiunga mkono
Rais Michel Aoun wa Lebanon amesisitiza kuwa anaiunga mkono Hizbullah na akabainisha kwamba, hatua iliyochukuliwa na muqawama wa Lebanon imesukuma mbele mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana ya kuainisha mipaka ya bahari. Mzozo kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Lebanon kuhusu mipaka ya bahari ya pande hizo mbili umeongezeka, huku Wazayuni wakiwa wanavikodolea…
Kuendelea mwenendo wa Uturuki wa kufufua uhusiano wake na Israel
Baada ya miaka 15, sasa ndege za utawala haramu wa Israel zinaweza kufanya safari nchini Uturuki. Yair Lapid, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel ametangaza habari ya kupasishwa hati ya makubaliano ya mahusiano ya safari za ndege baina ya Uturuki na utawala huo. Amesema hayo katika kikao cha hivi karibuni cha Baraza la Mawaziri…